uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,657
- 2,406
Wanamfurahisha mh.rais si ajabu wakitoka hapo wenaenda hospital kutibiwa.
Kuna historia zinaonyesha walikuwepo wafalme waliokuwa wanalazimisha watu kupigana na simba bila silaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamfurahisha mh.rais si ajabu wakitoka hapo wenaenda hospital kutibiwa.
Aliemaindi ndo shoga usijifiche anti ndomyanaKaka we ni shoga itakua mbona unapenda sana kuitangaza biashara yako apq
😀Nakumbuka tabia hiyo alikuwa nayo mzee wetu flani, ahahahaa...!
Ilikua Sychelles kama sijakosea,pia Comoros hilo lilifanyika.HahahaHaaa. Umenikumbusha enzi zile JWTZ katika visiwa vya Moroni (nimesahau jina)walizichapa kavu-kavu na wavamizi kumwondoa aliyejitangazia Mapinduzi........
Kwa ujinga wako kila sehemu ni ya kutumia bunduki!?Mtu analeta mbwembwe zote hizo zakuvunja tofali Kwa kichwa mm niko hatua nne nyuma nachukua chuma naikoki halafu namzibua nayo maeneo laini,kwisha kazi.Kiduku kama nae anafanyisha wanajeshi wake huu upuuzi basi nae mchuba tu.
Mazingira ya vita unayajua?Mtu analeta mbwembwe zote hizo zakuvunja tofali Kwa kichwa mm niko hatua nne nyuma nachukua chuma naikoki halafu namzibua nayo maeneo laini,kwisha kazi.Kiduku kama nae anafanyisha wanajeshi wake huu upuuzi basi nae mchuba tu.
Halafu watashangaa kukuta kwamba kwenye vita halisi hayo hayapo.
Sio tuu kuiga ,mafunzo ya kikomando tunapata kwaoUkweli utabaki kua ukweli tunaiga mambo yote kutoka kwao
Chadema mnaumbuka maana ndio Huwa mnapinga na kutukana Jeshi Kwa maonesho ya kikomando.
Wapo komando wa aina tofauti tofautiUkweli hata hao wanafanya ila Kuna baadhi ya vitu hutoviona kwao na hapo utabaini Kuna kitu Cha ziada wanacho sisi hatukijui
Hao ni makomando lakini vp umewaona wamevimba vimba kma makomando wetu ? yaani kifua hiko au mkono una tonge hilo
Yaani ukimwangalia huyo anayevunjiwa tofali kifuani unamwona kabisa ana mwili wa kawaida ila una ukakamavu wa wa kuanzia ndani sio wa mwonekano wa nje sasa hizo code kwetu hutozikuta , sisi unakuta makomando wengi wamejaa kama KONDE BOY
Inabidi tuachane na hayo mambo sasa,Ukweli utabaki kua ukweli tunaiga mambo yote kutoka kwao
AaahaaaKorea kaskazini nao si wahuni tuu