Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari, sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu.
Mungu Ibariki Chadema.
Mungu Ibariki Chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana haya ni matokea ya mazungumzo baina yake na chufu Hangaya kule Brussels.Hebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari , sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu .
View attachment 2135701
Mungu Ibariki Chadema .
Ngoja tuoneIna maana haya ni matokea ya mazungumzo baina yake na chufu Hangaya kule Brussels. View attachment 2135703
OK, muda ndiyo utatupa majibu sahihi.Ngoja tuone
Yeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia.Ina maana haya ni matokea ya mazungumzo baina yake na chufu Hangaya kule Brussels. View attachment 2135703
Ila kwa kuwa walizungumza ana kwa ana lazima hilo waliliongelea pia, Wahenga walisema 'ukishaumwa na nyoka hata ukiona unyasi unashtuka'.Yeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia
ngoja tusubiriYeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia.
Kama sikosei, walitangaza kupitia Mariaspace na uzi hapa JF nadhani upo.
HayaWaoga tu hao makamanda uchwara.
Sawa.Haya
wala hatuna shida na buku lako , Taarifa kutoka Chadema Digital inaonyesha kwamba , mpaka sasa Chadema ina wanachama 12mil plus ...Yaanj nimpe buku langu Lisu akanywee bia??
kumbe ni bakuri!Hebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari , sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu .
View attachment 2135701
Mungu Ibariki Chadema .
Acha za kuleta, Lissu hawezi kukuajiri wewe kuwa shambaboi wake, hauna sifa hiyo.Yaanj nimpe buku langu Lisu akanywee bia??
Wazee wa sakosi! Chadema kwa upigaki ni nomaaaHebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari , sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu .
View attachment 2135701
Mungu Ibariki Chadema .
Arudi tu aje ashiriki kujenga nchi kwa siasa za kistarabu. Lile shetani la Chato linaoza kaburini kwa vile mwezi huu linatimiza mwaka mmoja toka lizikwe.Hebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari , sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu .
View attachment 2135701
Mungu Ibariki Chadema .