Haya mambo mbona yanachanganya, ina maana Tundu Lissu anarejea Tanzania hivi karibuni?

Haya mambo mbona yanachanganya, ina maana Tundu Lissu anarejea Tanzania hivi karibuni?

Kubwa la maadui anarejea... Mama samia ajiandae kulala macho..

Lissu ni mwiba mkali sana kwa wana sisiemu wote..

Acha tusubiri....
 
Yeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia.

Kama sikosei, walitangaza kupitia Mariaspace na uzi hapa JF nadhani upo.
Na kwenye hotuba ya kuaga mwaka 2021 na kupokea 2022 kuna sehemu alitaja muda wanao tarajua kurudi
 
Back
Top Bottom