Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Huyo wa chini tangu apigwe chini kwenye unaibu Waziri amechanganyikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo wa chini tangu apigwe chini kwenye unaibu Waziri amechanganyikiwa
Ujumbe gani?Haisaidii ila ujumbe umefika sio⛹️😄.
Acha uchonganishinyie bakieni na Ligaidi lenu huko.
nimeamua kuunga mkono jitihada zinazo fanywa na Rais Samia.
Mbowe atajijuwa mwenyewe, kwani alipo kuwa anapanga huo ujinga wake wa kuihujumu Serikali alinishirikisha mm kama makamu wake?! wacha apambane na hali yake.
Ndio mjiulize Sasa ujumbe Gani umewafikieni ⛹️Ujumbe gani?
Kila binadamu kuna wanaompenda na wasiompenda. Si kila binadamu anapendwa na wote.Yeye ndiye anayewajua kwani aliwaona na gari aliliona, gari alishaliripoti na polisi uchwara hakuchua hatua hivyo hao waliotaka kumuua ni wenzake au la kitu muhimu ni kuwa kama hii issue aliiongea na chifu Hangaya na akajiona yuko salama arudi tu, hayo mengine mdogomdogo yatabainika tu.
Kuna uwezekano wale walenga shabaha uchwara waliommiminia risasi wako humu JF, baadhi ya comments hunifanya nihisi hiyo.
Au wote
Yeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia.
Kama sikosei, walitangaza kupitia Mariaspace na uzi hapa JF nadhani upo.
We mwenyewe hilo buku huna,sasa utampaje mtu kitu ambacho huna?Yaanj nimpe buku langu Lisu akanywee bia??
[emoji38][emoji38][emoji38]We mwenyewe hilo buku huna,sasa utampaje mtu kitu ambacho huna?
Sina muda huo.Ndio mjiulize Sasa ujumbe Gani umewafikieni ⛹️
Endelea kupambana na Hali yakoSina muda huo.
Duh Lissu mbona unawananga wenzako?nyie bakieni na Ligaidi lenu huko.
nimeamua kuunga mkono jitihada zinazo fanywa na Rais Samia.
Mbowe atajijuwa mwenyewe, kwani alipo kuwa anapanga huo ujinga wake wa kuihujumu Serikali alinishirikisha mm kama makamu wake?! wacha apambane na hali yake.
Bado linakuchapa hata baada ya kufa?Arudi tu aje ashiriki kujenga nchi kwa siasa za kistarabu. Lile shetani la Chato linaoza kaburini kwa vile mwezi huu linatimiza mwaka mmoja toka lizikwe.
Akina Makonda wapo mtaani ila siyo tishio kama walivyokuwa wakati wa Magufuli. Sana sana naye Makonda hajui kesho yake ikoje
Kabisa mkuu!Kifo Cha yule mwendawazimu kimeifungua nchi yetu. Tuliishi kama mashetani
Fact👍, ni kweli kabisa haiwezekani kupendwa na kila mtu lakini hilo haliondoi ukweli kwamba kuna uwezekano wa kuwa waliommiminia risasi wakawa humu janvini na kwa kuwa hawakufanikiwa kumuua basi hasira zao watakuwa wakizitumia kwa kumkashifu, kumtukana na kumsimanga kwenye kila uzi atakaotajwa.Kila binadamu kuna wanaompenda na wasiompenda. Si kila binadamu anapendwa na wote.
Join the chain.Hebu wote tuangalie video hii halafu tutafakari, sitaki kuongeza maneno nisije nikaharibu.
View attachment 2135701
Mungu Ibariki Chadema.
🤣🤣🤣Kifo Cha yule mwendawazimu kimeifungua nchi yetu. Tuliishi kama mashetani
sio kuwananga bali haya maisha kila mtu ana akili zake siyo?Duh Lissu mbona unawananga wenzako?
Hata uwe na nguvu vipi huwezi kupambana na simbaWalikimbia mwanaume Sasa wameona mwanamke madarakani wanataka karudi.
kwa ubunifu huu wa buku buku. Chama tutavuna pesa nyingi kutoka kwa watanzania wapenda amani, utawala bora na demokrasia endelevu.wala hatuna shida na buku lako , Taarifa kutoka Chadema Digital inaonyesha kwamba , mpaka sasa Chadema ina wanachama 12mil plus ...