Haya mambo mbona yanachanganya, ina maana Tundu Lissu anarejea Tanzania hivi karibuni?

Haya mambo mbona yanachanganya, ina maana Tundu Lissu anarejea Tanzania hivi karibuni?

nyie bakieni na Ligaidi lenu huko.
nimeamua kuunga mkono jitihada zinazo fanywa na Rais Samia.

Mbowe atajijuwa mwenyewe, kwani alipo kuwa anapanga huo ujinga wake wa kuihujumu Serikali alinishirikisha mm kama makamu wake?! wacha apambane na hali yake.
Acha uchonganishi
 
Yeye ndiye anayewajua kwani aliwaona na gari aliliona, gari alishaliripoti na polisi uchwara hakuchua hatua hivyo hao waliotaka kumuua ni wenzake au la kitu muhimu ni kuwa kama hii issue aliiongea na chifu Hangaya na akajiona yuko salama arudi tu, hayo mengine mdogomdogo yatabainika tu.

Kuna uwezekano wale walenga shabaha uchwara waliommiminia risasi wako humu JF, baadhi ya comments hunifanya nihisi hiyo.
Kila binadamu kuna wanaompenda na wasiompenda. Si kila binadamu anapendwa na wote.
 
Yeye na Lema walipanga kurudi nchini kabla hata ya kukutana na Mama Samia.

Kama sikosei, walitangaza kupitia Mariaspace na uzi hapa JF nadhani upo.

Tunashukuru kwa kukumbusha hili maana watu wanaweza kupotosha ukweli huo.
 
nyie bakieni na Ligaidi lenu huko.
nimeamua kuunga mkono jitihada zinazo fanywa na Rais Samia.

Mbowe atajijuwa mwenyewe, kwani alipo kuwa anapanga huo ujinga wake wa kuihujumu Serikali alinishirikisha mm kama makamu wake?! wacha apambane na hali yake.
Duh Lissu mbona unawananga wenzako?
 
Arudi tu aje ashiriki kujenga nchi kwa siasa za kistarabu. Lile shetani la Chato linaoza kaburini kwa vile mwezi huu linatimiza mwaka mmoja toka lizikwe.

Akina Makonda wapo mtaani ila siyo tishio kama walivyokuwa wakati wa Magufuli. Sana sana naye Makonda hajui kesho yake ikoje
Bado linakuchapa hata baada ya kufa?



Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kila binadamu kuna wanaompenda na wasiompenda. Si kila binadamu anapendwa na wote.
Fact👍, ni kweli kabisa haiwezekani kupendwa na kila mtu lakini hilo haliondoi ukweli kwamba kuna uwezekano wa kuwa waliommiminia risasi wakawa humu janvini na kwa kuwa hawakufanikiwa kumuua basi hasira zao watakuwa wakizitumia kwa kumkashifu, kumtukana na kumsimanga kwenye kila uzi atakaotajwa.
 
Duh Lissu mbona unawananga wenzako?
sio kuwananga bali haya maisha kila mtu ana akili zake siyo?

waswahili wanasema akili ni nywele siyo? kila mtu anazake siyo?...suala la msingi ni kuwa unazitumiaje hizo akili zako ww mwenyewe bila kufuata mkumbo.

Umepewa akili ili uzitumie kutafakari na kufanya maamuzi......kwa sasa chama kimesha kuwa genge la kihuni....tulimshauri mwenyekiti aachie ngazi siku nyingi lkn alikuwa king'ang'anizi hadi yamemkuta hayo tena.
 
wala hatuna shida na buku lako , Taarifa kutoka Chadema Digital inaonyesha kwamba , mpaka sasa Chadema ina wanachama 12mil plus ...
kwa ubunifu huu wa buku buku. Chama tutavuna pesa nyingi kutoka kwa watanzania wapenda amani, utawala bora na demokrasia endelevu.
 
Back
Top Bottom