mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Hatar sana !Labda Bw.Joseph anabaki akizubaa kushangaa kiti badala ya kuweka usikivu kwenye ibada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatar sana !Labda Bw.Joseph anabaki akizubaa kushangaa kiti badala ya kuweka usikivu kwenye ibada.
Mzee ukishakua rais ule ndo utambulisho wako,sio kiti tu hata kitanda kina hyo nembo hata kwenye gari kwenye seat anayokaa hyo nembo ipo.Kama ana tatizo la kiafya asiloweza kulivumilia, ni sahihi, anaweza kuwekewa kiti kinachoendana na afya yake, lakini si vema kuwa kiti cha ikulu. Kiti cha ikulu kina nembo. Ile nembo ni alama ya ufalme na mamlaka. Ndani ya nyumba ya ibada, ufalme ni wa Mungu pekee, hatustahili kupeleka ufalme mwingine ndani ya nyumba yake.
View attachment 2976278
View attachment 2976279
View attachment 2976280
View attachment 2976281
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na kiti chake cha ikulu kwenda kukalia kanisani,sawa na alivyofanya Makamo wake wa Rais.
Hili jambo kwa ujumla linapaswa kukemewa kwa sababu liko kinyume kabisa na maadili ya kiroho.
Inapaswa ieleweke kwamba kuna maeneo huwa binadamu tunapaswa tufanane katika safu moja ili utofauti abaki nao mwenyezimungu peke yake.
Ni wazi kwamba nyumba za ibada ni nyumba za mwenyezimungu,na ni mungu pekee anaepaswa kuenziwa katika nyumba hizo.
Bila kujalisha madaraka uliyonayo,unapofika katika nyumba ya mungu ni vyema kujidunisha na kukubali kuwa sawa na viumbe wengine.
SSH ni muislam na taratibu za kiislam anazifahamu.Anataka kutwambia hata anapokwenda msikitini huenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au anataka kusema siku akienda kuhiji Makka atakwenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au atakataa kuvaa mavazi ya hija kwa kuwa yeye ni rais??
Nafikiri ufike wakati,binadamu tupunguze kuwakweza binadamu wenzetukwa namna ya kumkufutu mwenyezimungu.
Nafasi ya urais haipo Tanzania tu.Pichani juu ni rais wa Zambia na Rais wa Marekani wakiwa katika nyumba za ibada na wamekalia bench.Huyu wa kwetu anashindwa nini kukalia bench,kwamba utakatifu wake umezidi marais wengine ama vp??
Mungu awabariki sana!!
Maaskofu (Bishops) mfano KKKT, nao wakienda kwenye makanisa wasiende na viti vyao vyao. Inashangaza kuona watumishi wakibeba viti vyao kila wakati.View attachment 2976278
View attachment 2976279
View attachment 2976280
View attachment 2976281
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na kiti chake cha ikulu kwenda kukalia kanisani,sawa na alivyofanya Makamo wake wa Rais.
Hili jambo kwa ujumla linapaswa kukemewa kwa sababu liko kinyume kabisa na maadili ya kiroho.
Inapaswa ieleweke kwamba kuna maeneo huwa binadamu tunapaswa tufanane katika safu moja ili utofauti abaki nao mwenyezimungu peke yake.
Ni wazi kwamba nyumba za ibada ni nyumba za mwenyezimungu,na ni mungu pekee anaepaswa kuenziwa katika nyumba hizo.
Bila kujalisha madaraka uliyonayo,unapofika katika nyumba ya mungu ni vyema kujidunisha na kukubali kuwa sawa na viumbe wengine.
SSH ni muislam na taratibu za kiislam anazifahamu.Anataka kutwambia hata anapokwenda msikitini huenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au anataka kusema siku akienda kuhiji Makka atakwenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au atakataa kuvaa mavazi ya hija kwa kuwa yeye ni rais??
Nafikiri ufike wakati,binadamu tupunguze kuwakweza binadamu wenzetukwa namna ya kumkufutu mwenyezimungu.
Nafasi ya urais haipo Tanzania tu.Pichani juu ni rais wa Zambia na Rais wa Marekani wakiwa katika nyumba za ibada na wamekalia bench.Huyu wa kwetu anashindwa nini kukalia bench,kwamba utakatifu wake umezidi marais wengine ama vp??
Mungu awabariki sana!!
Umesahau Kile kiti cha Hayati kilichokuwa na fan yake?View attachment 2976278
View attachment 2976279
View attachment 2976280
View attachment 2976281
Kumekuwa na picha zinazoenea kwenye mitandao zikimuonyesha rais samia akiwa katika ibada kanisani,sina uhakika ikiwa ni ibada ya pasaka au otherwise lakini kinachoonekana ni kwamba amekwenda na kiti chake cha ikulu kwenda kukalia kanisani,sawa na alivyofanya Makamo wake wa Rais.
Hili jambo kwa ujumla linapaswa kukemewa kwa sababu liko kinyume kabisa na maadili ya kiroho.
Inapaswa ieleweke kwamba kuna maeneo huwa binadamu tunapaswa tufanane katika safu moja ili utofauti abaki nao mwenyezimungu peke yake.
Ni wazi kwamba nyumba za ibada ni nyumba za mwenyezimungu,na ni mungu pekee anaepaswa kuenziwa katika nyumba hizo.
Bila kujalisha madaraka uliyonayo,unapofika katika nyumba ya mungu ni vyema kujidunisha na kukubali kuwa sawa na viumbe wengine.
SSH ni muislam na taratibu za kiislam anazifahamu.Anataka kutwambia hata anapokwenda msikitini huenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au anataka kusema siku akienda kuhiji Makka atakwenda na kiti cha ikulu kukalia??
Au atakataa kuvaa mavazi ya hija kwa kuwa yeye ni rais??
Nafikiri ufike wakati,binadamu tupunguze kuwakweza binadamu wenzetukwa namna ya kumkufutu mwenyezimungu.
Nafasi ya urais haipo Tanzania tu.Pichani juu ni rais wa Zambia na Rais wa Marekani wakiwa katika nyumba za ibada na wamekalia bench.Huyu wa kwetu anashindwa nini kukalia bench,kwamba utakatifu wake umezidi marais wengine ama vp??
Mungu awabariki sana!!
nilishawahi kusimamishwa na msafara wa JPM alikuwa anatoka kanisani pale bandarini, kumbe walisahau kiti chake kikapelekwa kwenye gari husika haraka ndiyo msafara ukaondoka.Sasa unatoa mfano wa marais wa marekani, kwanini hukutoa mfano wa marais wetu? JPM, Nyerere, Kikwete, Mkapa, Mwinyi walivyokuwa wanaenda makanisani walienda na viti vyao?
Hujaona hapo mbele kaweka mswala maalumu wa kusujudia.?!Mbona akienda msikitini haendi na kiti? Dharau ya Mungu wa kanisa!
Siku waislamu wakianza kuswali wakiwa wamekalia mabenchi lazima kiti Cha rais kitawekwa!. Lakini kwakuwa msikitini tunakalia mazulia mh rais anakuja na mswala wa kusujudia.Mbona akienda msikitini haendi na kiti? Dharau ya Mungu wa kanisa!
Msikitini anakaa chini kwakuwa ndio utamaduni wa waislamu kuswali wakiwa wamekaa chini.Mbona marais wengine walikua wanaenda kukalia mabenchi? Na mbona msikitini huwa anakaa chini.
Akija kwenye KANISA lako mfukuze. Uwepo wa rais kanisani ni kwa manufaa ya viongozi wa KANISA Wala sio manufaa ya rais. Rais akiwa kanisani huwa furaha na shangwe kwa viongozi wa KANISA hivyo hawana jeuri ya kumzuia asiingie kanisani kwa kuwa itakuwa wanamfukuza baraka.Mna Rais mbaguzi na mdini sana nadhani anaendeshwa na watu nyuma yake ambao ni very immature, Kama Magufuli alikufa kwa Covid 19 ananyanyapaa makanisa kwa lipi? kama ukristo ni najisi kwake aache kwenda makanisani halazimishwi
Mleta mada yupo sahihi. Kanisani au msikitini ni mahali ambapo unajinyenyekesha mbele za Mungu, siyo mahali pa kwenda kuonesha kuwa wewe au mwingine yeyote ni zaidi ya wengine. Kujifanya bora zaidi kuliko wengine mbele za Mungu, iwe kwa kunena au kutenda, Mungu amelikataza. Kumbuka:
"Mtoza ushuru na mfarisayo walienda kuomba. Mfarisayo alitazama juu mbinguni, akasema, tazama, mimi si kama huyu mtoza ushuru. Mimi nasali, natoa sadaka, nafunga mara 3 kwa siku. Lakini mtoza ushuru alipiga magoti, hakunyanyua hata macho juu mbinguni, akajipigapiga kifua chake, akasema, mimi ni mwenye dhambi. Naomba unisamehe. Yesu akasema hakika huyu mtoza ushuru ndiye aliyesali"
Ibadani tunaenda kutafuta huruma ya Mungu, siyo kwenda kujionesha kuwa sisi ni tofauti au bora kuliko wengine. Tunamwachia Mungu, yeye ndiye ajuaye nani aliye bora zaidi katika ufalme wake.
Tukio alilolisema mleta mada, wa kulaumiwa ni hao watu wa protokali.
Kumbuka kinachompeleka Mh Samia kanisani ni siasa Wala siyo dini.Mleta mada yupo sahihi. Kanisani au msikitini ni mahali ambapo unajinyenyekesha mbele za Mungu, siyo mahali pa kwenda kuonesha kuwa wewe au mwingine yeyote ni zaidi ya wengine. Kujifanya bora zaidi kuliko wengine mbele za Mungu, iwe kwa kunena au kutenda, Mungu amelikataza. Kumbuka:
"Mtoza ushuru na mfarisayo walienda kuomba. Mfarisayo alitazama juu mbinguni, akasema, tazama, mimi si kama huyu mtoza ushuru. Mimi nasali, natoa sadaka, nafunga mara 3 kwa siku. Lakini mtoza ushuru alipiga magoti, hakunyanyua hata macho juu mbinguni, akajipigapiga kifua chake, akasema, mimi ni mwenye dhambi. Naomba unisamehe. Yesu akasema hakika huyu mtoza ushuru ndiye aliyesali"
Ibadani tunaenda kutafuta huruma ya Mungu, siyo kwenda kujionesha kuwa sisi ni tofauti au bora kuliko wengine. Tunamwachia Mungu, yeye ndiye ajuaye nani aliye bora zaidi katika ufalme wake.
Tukio alilolisema mleta mada, wa kulaumiwa ni hao watu wa protokali.