Haya maradhi sasa imekuwa too much!

Haya maradhi sasa imekuwa too much!

Yaani tangu tuanze hakuna kupumua wala kupumzika kila siku ni mlipuko wa maradhi bandika bandua!

Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣

Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?

Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!
Kuna mtu aliandika kwenye comment moja humu kwamba tunashangilia wawekezaji ila cha moto tutakiona, akasema kwa deposits za resources tulizo nazo watafanya kila njia kutupunguza ili mwisho wa siku watu-dominate, sasa hivi kila kitu ni fake, dawa hospitali nyingi fake, vyakula fake, mbegu za mazao ya vyakula fake, vyombo vya chakula fake, viongozi fake, hali ya hewa fake, maji ya kunywa na kupikia fake tutakosaje kuugua magonjwa yasiyoeleweka?
 
Acha yule hawa wa Mond aliyeonekana kwenye shilawadu hapo chuzi kati kakonda mpk huruma.

Huyu mgonjwa anaitwa Careen Hawa
Nimeona video yake YouTube akisimulia, so scary

Kuna watu operation Moja tu unauguza kidonda Mwaka mzima sasa yeye operation 22🙌

Mungu ampe uponyaji
 
Yaani tangu tuanze hakuna kupumua wala kupumzika kila siku ni mlipuko wa maradhi bandika bandua!

Ilianza CORONA mara ikaja VICHWA NA MAFUA mara ikaja MATUMBO NA KUHARISHA mara ikaja MADONDA KWA WATOTO mara KUKOHOA mara tena MACHO MEKUNDU Mara nasikia kuna inakuja hiyo ya MATAKO KUUMA bila sababu mwee! Tutakaaje sasa!?🤣

Mbona kila siku tunapigwa na kitu kizito kichwani tena chenye ncha kali?

Tumuombe sana Mwenyezi Mungu kwakweli atujaalie mwisho mwema maana kufa ni lazima ila haya mateso siyo lazima!
Tuombe toba uchaguzi wa 2020 January kasema haukuwa halali
 
Kuna mitihani haibebeki. Tiktok kuna msanii anaitwa Hawa, b4 hapo sijawahi kumfahamu.
Nimeanza kumuona hivi wanavyompost post na maradhi yake.
Haelewi haswa chanzo cha ugonjwa, ila unaambiwa amefanyiwa operation 22 za tumbo 🥹😭
Mara mshono ufumukuke. Yan ni heka heka nzito

Kapigwa kipapai...?
 
Unajifungia ndani utaonaje unakaa ushuani utegemee utaona macho mekundu ungeenda uswahilini ungewakuta watu kibao wanaumwa
Najifungia ndani ili nile magodoro sio? Nje natoka, na ninatembea vizuri tu. Ila sijawaona red eyes.
 
Najifungia ndani ili nile magodoro sio? Nje natoka, na ninatembea vizuri tu. Ila sijawaona red eyes.
We unatembea ushuani unge ingia uswahilini huko ukawaone ungekimbia alafu watu wale walivyo washenzi ukiwaangalia wanakupanulia macho ili na wewe ukupate
 
Back
Top Bottom