Pre GE2025 Haya Maridhiano yanamjenga Rais Samia au yanambomoa kuelekea 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kweli kabisa.
1. Watanzania wanalia na tatizo la umeme, yeye yupo busy na maridhiano.

2. Watanzania wanalia na mfumuko wa bei, yeye yupo busy na maridhiano.

3. Watanzania wanalia na hali ngumu ya Maisha, yeye yupo busy na maridhiano.

Mama, Watanzania hawatashiba maridhiano. Watanzania wanataka hali bora ya Maisha.

RIP, JPM, BABA YETU MPENDWA.
 
Yan CCM hata wakisimamisha mbwa atapata zaidi ya kura 35%

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umeandika sana, Hongera. Maridhiano huwa hayana faida wala hasara kwa pande zote mbili. Kama wanandugu "WATANZANIA" wa chuki miongoni mwao na wakakubaliana wawe na "MARIDHIANO" basi tambua kuwa NURU imepatikana kwa wote. Kwa mtazamo wangu wewe nakuona huna haiba ya "maridhiano" hata ukikosana na ndugu zako hujutii na hauoni umuhimu wa maridhiano.
Tanzania sio ya kwanza, hata South Africa alikuwa na maridhiano.
Mkuu sioni sababu za kumjadiri Rais, umepotoka sana, Mungu akusamehe bure.
 
 
Nani kasema Rais anachaguliwa kwa kura zako? Ingekua kura zinaamuliwa na wananchi basi CCM ingeng'olewa 2010 na 2015 ingezikwa rasmi.

Samia akiamua kugombea hata asipopiga kampeni watamjazia masanduku business as usual.
 
Bado kuna mtu mwenye vihoja vya kishamba kama huyu?
 
Samia akiamua kugombea hata asipopiga kampeni watamjazia masanduku business as usual.
Hizo za kujazwa kwenye masanduku si kura halali. Nilichoandika ni kwamba akipata kura halali 35% amshukuru Mungu.
 
Hizo za kujazwa kwenye masanduku si kura halali. Nilichoandika ni kwamba akipata kura halali 35% amshukuru Mungu.
Ni lini CCM ilishinda kwa kura zote halali? JPM Ile 2015 hakufika hta 45% ila amekua Rais ndio sembuse Samia.
 
Ni lini CCM ilishinda kwa kura zote halali? JPM Ile 2015 hakufika hta 45% ila amekua Rais ndio sembuse Samia.
Sijui nitumie lugha gani! Sisemi kwamba 2025 mgombea wa ccm hatatangazwa mshindi, ninachosema ni kwamba pamoja na kutangazwa mshindi, hawezi kupata zaidi ya 35% ya kura halali.

Labda nitakuwa nimeeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…