Haya mavazi ya Kipa wa Yanga, Diarra yanafikirisha sana

Ukipendeza wwe inatosha kwan yeye kaja kweny mashindano ya fashion
 
Mwanaume kazi !
 
Hivi YANGA WANALIPA MISHAHARA KWELI?????
Hapana hicho kiatu aibuu sanaa labda kuna ujumbe anataka Kutumaa Hajavaa kwa bahati mbayaa. Kiatu kimepaukaaa kiko upende upandee kama fungus weupe kwa mbalii jamani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Fei itakuwa anasema ukweli.
 
Hilo ni la kuchumpa lakuparama,na hii sarawili na wasiwasi kaazima sijui kwa Morison.
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€lakuchumpaaa lililopaukaaa
 
Kana
 

Attachments

  • images (22).jpeg
    21 KB · Views: 15
  • images (21).jpeg
    11.9 KB · Views: 15
  • images (20).jpeg
    30.4 KB · Views: 13
Acha ushamba buti la jeje hilo
 
Haya mambo ndio alikataaga Wolper miaka ile. Mnampiga picha na tecno zenu, anatokea vibaya Kisha mnaanza kumsema mitandaoni.
 
Pengine Alikuwa mgambo kabla ya kuwa kipa sasa kavaa viati vyake vya ugamboni.
 
Ukiishakuwa na hela kila kitu kinakosa maana.

Sasa mtu kavaa huo mkiatu na nje kapaki harrier,wewe ukikaba timberland na umekuja na daladala ina maana gani kiongozi???
 
Ukiishakuwa na hela kila kitu kinakosa maana.

Sasa mtu kavaa huo mkiatu na nje kapaki harrier,wewe ukikaba timberland na umekuja na daladala ina maana gani kiongozi???

πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ kwa hiyo hao wengine waliovaa vizuri wamekuja na bajaji au?? jamaa kazingua inabdi ajiweke kiproffesional kuanzia uvaaji kesho club flani inaweza muhitaji ila ikamwambia hela ya kifalaa sababu kajiweka cheap.
 
Namuona hapo kwenye picha Al Duktuur shekh Diamond Al-platnumz 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…