Haya mavazi ya Kipa wa Yanga, Diarra yanafikirisha sana

Haya mavazi ya Kipa wa Yanga, Diarra yanafikirisha sana

😀 😀 😀 😀 kwa hiyo hao wengine waliovaa vizuri wamekuja na bajaji au?? jamaa kazingua inabdi ajiweke kiproffesional kuanzia uvaaji kesho club flani inaweza muhitaji ila ikamwambia hela ya kifalaa sababu kajiweka cheap.

Mpira na ubishoo ni mbali mbali.ndio maana mess alitinga na pensi nchi ua watu wamekwenda kumpokea na suti.

Labda wa kuwalaumu ni wale waliomuona anatoka hivyo kisha wakamwacha tu.
 
Mpira na ubishoo ni mbali mbali.ndio maana mess alitinga na pensi nchi ua watu wamekwenda kumpokea na suti.

Labda wa kuwalaumu ni wale waliomuona anatoka hivyo kisha wakamwacha tu.
yaah mkuu yani jamaa ndo anatengeneza jina hivii so asijiweke ovyoo ovyoo... binadamu tunatabia ya kumkadiria mtu kuanzia uvaaji wake so ajiweke smart hivyo viatu as if kaokotaa alafu anakuja kwenye appearance kama hiyo. kuna shida mahali
 
Aibu jamani, serious mtu uaanzisha topic kama hii?
 
Na wale matajir wa mwanza wanavaa yeboyebo oversize utasemaje
 
Men at Work

Hiyo buti la kuchumpa la Kumpa Rama, ikipigwa maji inatosha mambo ya neutral na Dye peleka kwenye moka
 
yaah mkuu yani jamaa ndo anatengeneza jina hivii so asijiweke ovyoo ovyoo... binadamu tunatabia ya kumkadiria mtu kuanzia uvaaji wake so ajiweke smart hivyo viatu as if kaokotaa alafu anakuja kwenye appearance kama hiyo. kuna shida mahali

Ila nina uhakika sio ya pesa.

Ndio maana sina shaka[emoji28][emoji28]
 
Viatu tuu alivyovaa vinatia huruma, ina maana hata neutral ya 2k walishindwa kumnunulia angalau kiatu king'ae?

Nguo ndiyo usiseme, kapiga tshirt na suruali ya kitambaa. Buti ndiyo likaharibu kabisaaaaa, buti kuuubwa la mtumba halafu hata rangi halijapigwa.

Kwa timu iliyofika fainali ya shirikisho, wachezaji wake hawapaswi kupitia haya, kwenye hizo bilioni kadhaa, wapeni wachezaji wenu hata milioni 20 tuu kila mmoja ili hizi aibu ndogondogo zisijitokeze..

View attachment 2646665

View attachment 2646666
Aliyejigubika kwa kanzu na vitambaa ni nani?
 
Viatu tuu alivyovaa vinatia huruma, ina maana hata neutral ya 2k walishindwa kumnunulia angalau kiatu king'ae?

Nguo ndiyo usiseme, kapiga tshirt na suruali ya kitambaa. Buti ndiyo likaharibu kabisaaaaa, buti kuuubwa la mtumba halafu hata rangi halijapigwa.

Kwa timu iliyofika fainali ya shirikisho, wachezaji wake hawapaswi kupitia haya, kwenye hizo bilioni kadhaa, wapeni wachezaji wenu hata milioni 20 tuu kila mmoja ili hizi aibu ndogondogo zisijitokeze..

View attachment 2646665

View attachment 2646666
Angevaa ya bati si ya kitambaa. Ninjuavyo mimi nguo huwa ni za vitambaa siyo chuma
 
Khaaa sasa wana attack mavazi na personality.....amekuja kutafuta pesa sio kushindana kuvaa...acheni azichange mpira una muda mfupi sana...
 
Mbongo akishakuwa na kadegree kamoja, ka IST, na smart phone kila kitu anajua
-von819.jpg
 
Fei kasema Yanga ni kausha damu, na hizo hela hapo wanazitaka. Utasikia bila Yanga Diamond asingekujua.
 
Fei kasema Yanga ni kausha damu, na hizo hela hapo wanazitaka. Utasikia bila Yanga Diamond asingekujua.
Zile za mama ulishawahi kusikia zikichukuliwa na yyte zaidi ya wachezaji na technical bench? Au ndo magazeti ya shigongo . Akili yako inafikiria vizuri kweli wewe? Yaani mtu akaushwe damu halafu alipwe ml 4? Wewe unalipwa ngapi...
 
Back
Top Bottom