Haya mazungumzo ndio ya kumkamata Slaa?!! Mbowe kweli anapewa msaada na dola kubaki CHADEMA?!! Mbowe aaminiwe ama amegeuka kua dalali wa watawala?!

Takataka
 
Mu Mungu yupo kazini, walio lamba lupia kama wapo chadema ,watakufa midomo wazi asema Bwana
 
Kwani Abdul Nina mbona lisu hataji jina kamili la huyo anayamuita abdul?
 
Uko sawa mkuu.Swali kwako COVID 19 baraka zake zimetoka kwa nani?
 
Uko sawa mkuu.Swali kwako COVID 19 baraka zake zimetoka kwa nani?
Hamna kiongozi wa Chadema aliyetoa baraka zozote. Hivi kwa jinsi Ndugai na JPM walivyokuwa hawakipendi Chadema wangeacha kuweka hadharani ushahidi wowote wa kuhusika kwa kiongozi wa Chadema?

Hizi ndio conspiracy theories mnazozipenda.

Amandla...
 
Wewe mlemavu wa akili ungekuwa unatulia yanapojadiliwa mambo yanayohitaji akili.

Kwa upuuzi unaouweka humu kila mara, ukikumbuka hata kuvaa suruali, ujisifu kuwa angalao umeweza kulifanya hilo kwa ufanisi.

Pole sana kwa kujaliwa akili kibaba, ni vema hiyo akili kidogo uliyo nayo uchague maeneo unayoweza kwenda kuitumia kwa faida, badala ya kujidhalilisha JF. JF inahitaji waliokamilika kiakili.
 
Hamna kiongozi wa Chadema aliyetoa baraka zozote. Hivi kwa jinsi Ndugai na JPM walivyokuwa hawakipendi Chadema wangekaacha kuweka hadharani ushahidi wowote wa kuhusika kwa kiongozi wa Chadema?

Hizi ndio conspiracy theories mnazozipenda.

Amandla...
Hapana mkuu.Mwenyekiti wetu siyo mbaya kivile ubaya wake unakuja tu pale unapopenda kuridhiana na watu ambao hawakitaki au hawakipendi chama chako.Hivi kwa uchaguzi huu wa juzi wa Serikali za mitaa mtu mwenye akili timamu unaweza endelea kuamini katika haya maridhiano ya Rais ambaye anaabudu mambo ya kijinga?
 
Hapana. Hata Mbowe amekiri kuwa wa upande wa pili hawana nia ya dhati ya kufikia kwenye maridhiano. Alichokifanya Mbowe kwa kushiriki kwenye uchaguzi wa juzi ni kupata ushahidi kuwa hiyo nia haipo. Angesusa kama alivyotaka Lissu, serikali ingeweza kudai kuwa wangeweza kushinda sehemu nyingi kama wangehudhuria. Sasa hivi wameona wameona hata aibu kushangilia.

Amandla...
 
Mzee walimdanganya kwamba yupo safe sababu alijiunga kwa VPN.

Hajui kwamba once your device is connected to the Internet your info is NOT 100% safe & secure.

Mbaya zaidi jamaa waliomdanganya wamemtelekeza.
 
DMC,RMC,AMC,KMC- is it a coincidence IDs zote hizo zinafanana mawazo na jambo la kutetea?!! Ama ni kile kitengo cha online Lumumba?!!

Ni muhimu kujua kama unawasiliana na watu automated on duty ama personal thinker!!
Mimi binafsi siwafahamu hao wengine.

Michango yangu humu ni objective
ndio maana unaweza kukuta mtu niliyemuunga mkono leo kesho nikampinga. Mimi sifuati mkumbo nafikirisha kichwa na kusimamia ukweli.
 
Ajabu wanachama ndio wanamsikiliza zaidi kuliko Mwenyekiti wao 😀

Ukienda huko clubhouse utashangaa sana wanavojifanya wapambanaji wa chama 😀
 
Mlitaka akae mahabusu mpk leo?
Kuongea ni rahisi sana

Mpeni Dr slaa uenyekiti,maana ndie mnaemuamini kwa sasa
 
muerevu sasa mbona hata hunaga pweinti aise,
una mbwelambwela na mihemko tu
 
We nawe umeandika upumbavu wako wote hapa.
 
We mbwa umenichekesha kama mazuri vile, eti ni muhimu awekwe kwa kipindi kirefu kidogo! Jinga kabisa wewe
 
Tatizo Slaa anachukuliaga siasa serious sana.
 
Tatizo Slaa anachukuliaga siasa serious sana.
 
Umeandika ujinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…