Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

Hahaha hapo no 7 kweli isiyopingika mkuu Yaani tunavoongea nipo practically 🤣
 
Wasukuma wamegawanyika, wanaozungumziwa hapa ni wale wa Ntuzu 😁😁😁wale wanakamua maziwa na kulima na Ng'ombe. Vina tabia ya kutusi Baba mkwe au mama mkwe (Yaani mzazi wa mume wake)

Wasukuma wa Mwanza, Shinyanga, na Geita Hawana Shida
 
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania.
1. Wachaga
2. Wakurya
3. Wanyakyusa
4. Wahaya
5. Wapare
6. Wasukuma
7. Wameru
8. Wajaluo
Yani hawa watu unaweza kupiga mtu makofi kila siku na bado asikuelewe.
Wanyakyusa nambari wani.

HAWAFAI KABISA.
 
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania.
1. Wachaga
2. Wakurya
3. Wanyakyusa
4. Wahaya
5. Wapare
6. Wasukuma
7. Wameru
8. Wajaluo
Yani hawa watu unaweza kupiga mtu makofi kila siku na bado asikuelewe.
Wahaya,wanyakyusa,hata wanaume wanajiona kujua kila mola alichoumba duniani plus kiburiiiiii,dharau mpk mabosi zao na usisi(wanapendana kikabila sna)
 
Back
Top Bottom