Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
 
Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Kazi iendelee......
 
Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Haya ndo mambo yanayozidi kuongeza hasira za wananchi dhidi ya Serikali yao na kushusha morali katika ulipaji kodi.

Serikali yetu ina matumizi mabaya sana ya fedha za walipakodi
 
Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Hili nalo mkalitazame...

Au nasema uongo ndugu zangu....
 
Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
 
Back
Top Bottom