Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Hizi ni zile zimekatwa kutoka kwenye ile 1000 ya kila kilo 1 ya Sukari. All in all haya mambo hayataisha bila action
 
Kwanza nieleweke , hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 Kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie Kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana Sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii Kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu Kwa wafanyabiashara matajiri kutoa Fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni

Hotel, ya kiwango Cha kawaida ni kama 2,00,000 za kitanzania Kwa wasanii 40 Kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni

Posho Kwa wasanii 40 arubaini Kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil

Hivyo Kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatuka gharama za seeikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni. Na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24
Ujinga huu ndiyo alioufanya Rais William Ruto kwa kutumia pesa za Kenya zaidi ya milioni 200 kwenda USA na badae anaandaa finance bill insyotoza Kodi kwenye kila kitu mpaka pedi za kike, mikate nk

Wakenya wamekataa ujinga huo na Sasa wanaiadabisha na kuiwajibisha serikali ya Ruto

Mpaka Sasa hawana hamu. Nchi imeharibika kwa maamuzi madogo sana lakini ya kijinga!
 
Jamani na sisi tunaodaiwa na bodi ya mikopo si watusamehe tu. Kama pesa ya kuwasafirisha wasanii, kuwalipa wenza wa viongozi zipo kwanini za kutusamehe pesa ya loan board lishindkane kama hata wao walisomeshwa bure.
 
Tumetumia fedha zote hizo.

Na bado tukawahonga bahari hao wakorea.

Na wamekuja kufuata na madini.

Ila SISI wanatuambia eti tulipe KODI.
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
 
Walupiga kampeni hao na wananenepeshwa wapate nguvu ya kupiga kampeni tena...
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Mbona kidogo sana hizo.
 
Back
Top Bottom