KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Serikali ni Nani?Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ni Nani?Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
Pesa ndogo sana hiyo kwa Sirikali....Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Pesa ndogo sana hiyo kwa Siri-kaliKwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Serikali ni taasisi au chombo kinachotawala na kusimamia mambo ya nchi au eneo fulani. Inahusika na kutunga sheria, kutekeleza sera, na kudumisha utaratibu na usalama wa umma. Serikali inaweza kuwa ya kitaifa, ya jimbo, au ya mtaa na inaongozwa na viongozi waliochaguliwa au walioteuliwa, kama vile rais, waziri mkuu, mawaziri, wabunge, na maafisa wengine wa serikali.Serikali ni Nani?
kali kweli..Pesa ndogo sana hiyo kwa Siri-kali
Serikali ni taasisi au chombo kinachotawala na kusimamia mambo ya nchi au eneo fulani. Inahusika na kutunga sheria, kutekeleza sera, na kudumisha utaratibu na usalama wa umma. Serikali inaweza kuwa ya kitaifa, ya jimbo, au ya mtaa na inaongozwa na viongozi waliochaguliwa au walioteuliwa, kama vile rais, waziri mkuu, mawaziri, wabunge, na maafisa wengine wa serikali.
kali....
Mbona hawanilipi kampuni yangu nawadai 12m, kama kwao hiyo ni pesa ndogo?Pesa ndogo sana hiyo kwa Serikali.
Dahhhhhhhhhhh!!
Sijui! Nielimishe!Serikali ni Nani?
Waombe Mwambukusi na Madeleka wakusaidie.Mbona hawanilipi kampuni yangu nawadai 12m, kama kwao hiyo ni pesa ndogo?
Serekali za majizi haziogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu.Waombe Mwambukusi na Madeleka wakusaidie.
Kwahiyo akina Kibatala, Madeleka na Mwambukusi huwa wanapoteza muda mahalamani sio? Nimekuelewa sana bro!Serekali za majizi haziogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu.
Unauliza au unapigia jibu mstari?Kwahiyo akina Kibatala, Madeleka na Mwambukusi huwa wanapoteza muda mahalamani sio? Nimekuelewa sana bro!
Ahahahahaha!Unauliza au unapigia jibu mstari?
Uzi wako ni wakichochezi,kama kila wizara Ina bajeti na funguo lake la fedha,unashangaa nini wizara inayohusika na Sanaa kama imetumua sh640milioni kusafirisha Wasanii Korea? Kama wizara zingine zinaweza kupeleka wataalamu wake nje iweje unashtushwa na wizara ya Sanaa na michezo kupeleka Wasanii nje? Au una vinasaba vya wivu? Mimi naona una roho ya kwanini halafu hupendi maendeleo ya wengine.Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Halafu badala ya mtu aliyefanya haya kufukuzwa kazi, anahamishwa na kupewa cheo kingine mahali. Tutafikia maendeleo tukiwa hoi sana.Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Teheeeeeeee kwaiyo kituo Cha afya kimoja kimetafunwa katika Hali ya masialaKwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.
Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.
Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.
Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.
Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.
Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!