Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Haya ndio makadirio ya gharama (ukitumia rate za kiserikali) kusafirisha wasanii 40 Korea

Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Pesa ndogo sana hiyo kwa Sirikali....
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Pesa ndogo sana hiyo kwa Siri-kali
Serikali ni Nani?
Serikali ni taasisi au chombo kinachotawala na kusimamia mambo ya nchi au eneo fulani. Inahusika na kutunga sheria, kutekeleza sera, na kudumisha utaratibu na usalama wa umma. Serikali inaweza kuwa ya kitaifa, ya jimbo, au ya mtaa na inaongozwa na viongozi waliochaguliwa au walioteuliwa, kama vile rais, waziri mkuu, mawaziri, wabunge, na maafisa wengine wa serikali.
kali....
 
Wenzio wanashangilia chama na aziz ki yanga wew unawaambia finance bill

Ningumu Sana hii nchi Maskini bado
 
Pesa ndogo sana hiyo kwa Siri-kali

Serikali ni taasisi au chombo kinachotawala na kusimamia mambo ya nchi au eneo fulani. Inahusika na kutunga sheria, kutekeleza sera, na kudumisha utaratibu na usalama wa umma. Serikali inaweza kuwa ya kitaifa, ya jimbo, au ya mtaa na inaongozwa na viongozi waliochaguliwa au walioteuliwa, kama vile rais, waziri mkuu, mawaziri, wabunge, na maafisa wengine wa serikali.
kali....
kali kweli..
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Uzi wako ni wakichochezi,kama kila wizara Ina bajeti na funguo lake la fedha,unashangaa nini wizara inayohusika na Sanaa kama imetumua sh640milioni kusafirisha Wasanii Korea? Kama wizara zingine zinaweza kupeleka wataalamu wake nje iweje unashtushwa na wizara ya Sanaa na michezo kupeleka Wasanii nje? Au una vinasaba vya wivu? Mimi naona una roho ya kwanini halafu hupendi maendeleo ya wengine.
 
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Halafu badala ya mtu aliyefanya haya kufukuzwa kazi, anahamishwa na kupewa cheo kingine mahali. Tutafikia maendeleo tukiwa hoi sana.

Vv
 
T
Kwanza nieleweke, hapa natoa mfano wa Makisio ya jumla ya gharama endapo kama serikali au mtu binafsi ameamua kugaramia safari za wasanii 40 kwa kutumia rates za kiserikali kuwasafirisha kwenda Korea wasanii 40 wa tasnia ya bongo movie kwa ajili ya kwenda kujifunza mambo ya tasnia ya uigizaji kimataifa.

Angalizo wasanii ni watu wenye kipato kikubwa sana sasa huenda walijigharamikia wao wenyewe, ama matajiri wanaosaport serikali waligharamikia safari hii kwa ajili ya kuisaport tasnia ya filamu, japo ni ngumu kwa wafanyabiashara matajiri kutoa fedha pasipo wao kunufaika.

Ndege safari ya kwenda na kurudi Korea ni 4,000,000 x wasanii 40 = 160milioni.

Hotel, ya kiwango cha kawaida ni kama 2,00,000 za Kitanzania Kwa wasanii 40 kwa siku 10 ni kama ni 400*200,000 = 80 milioni.

Posho kwa wasanii 40 arubaini kwa siku kumi itakuwa jumla ya 400 mil.

Hivyo kusafirisha wasanii hao katika kipindi hiko kama zitatoka gharama za serikali itachukua jumla mil 80+160+400 = mil640, au kiufupi ni 0.64 Bilioni, na kama ni serikali imegharamia hii inamaana Fedha hizi zilipitishwa katika finance bill ya Mwaka 23/24!
Teheeeeeeee kwaiyo kituo Cha afya kimoja kimetafunwa katika Hali ya masiala
 
Wametumia fedha za umma huu kwa kweli ni ubadhirifu na matumizi ya hovyo sana
 
Back
Top Bottom