Kwa maneno hayo si kwamba hataki siri kali 3. Bali muungano uwepo ili mradi ni njia gani ya kuufanya uwepo. Sisiem kama wanataka mbili wakae tayari kunyolewa. Na watambue sa hivi hatuishi kwa historia sie
chama cha mapinduzi chenye wanachama wenye akili,na ukweli,na ujasiri,hakiwezi katu kukubali sera ya serikali tatu, kikijua wazi wazi kwamba matokeo na kshabaha ya sera hiyo ni kuiua, na kuizika tanzania. Chama cha mapinduzi kikiwa na msimamo huo, na wala kisiuonee haya, tanzania itadumu.
Julius k nyerere
uongozi wetu na hatima ya tanzania ;1994
Nyerere siyo MUNGU full stop. Alikuwa binadamu kama wewe, na hamna binadamu asiye na mapungufu yake. Moja ya mapungufu makubwa ya Nyerere ni katika huu muungano wa kimagumashi. kila uwambialo usikariri, changanya na akili zako.
Wakati huu tulionao hata angekuepo Nyerere asingeweza kuzuia serikali tatu,Zanzibar walishavunja muungano toka pale walipopitisha katiba yao.
hata ukimfuata mkulu pale magogoni ukimwambia muungano una faida gani? atakuambia hauna faida yeyote
ccm/serekali wanachohofia muungano ukivunjika zanzibar haichewi kuwa kama somalia
na huku tanganyika hatutakuwa salama
wazazibar wengi ni watu wasiopenda kufanya kazi ni watu wanapenda kushinda vijiweni na kunywa kahawa mchana wa jua kali.
muungano ukivunjika ndio mwanzo wa kuipoteza zanzibar sababu pemba na unguja nazo zitatengana
- Mkuu hebu rudia tena unasema nini hasa? Wapi umeshindwa kuyaelewa haya maneno mbona yapo very clear na to the point, au?Le Mutuz
- Kaka punguza hasira haya maneno sio yangu sasa pingana basi na Muasisi wa Muungano aliyesema sio mimi ndugu yangu, vipi maneno yanawasuta haya ni mazito I know, ha! ha! ha!
Le Mutuz