Makete Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 531
- 165
...kaka we una chuki na watanganyika na ni chuki ambayo itaishia kukupakijiba moyoni....hivi ni siri kwamba waafrika na washirazi walifanya mapinduzi? hivi ni siri kwamba umma party ilikuwa na makada wengi ambao walikuwa wamepewa mafunzo cuba kwa ajili ya kuja kuikomboa nchi yao na kuifanya cuba ya afrika masahariki? kwa nini wazanzibar wengi walioupenda usultani wa kiarabu wasingempigania sultani na kuzuia mauaji ya raia wasio na hatia yaliyokuwa yakifanywa na kama unavyodai 'watanganyika'? hivi, kinasaidi abdallah natepe. mohamed babu na wenzao walikuwa ni watanganyika? okello alikuwa mtanganyika? washirazi na waafrika wakiupenda usultani, na wakitendewa haki?....pamoja na hayo, mauaji ya watu ambao hawakuwa na hatia yanasikitisha na hayakustahili...laiti yasingetokea....! lkn wenye kuamini ktk uislam tunasoma ktk qur'an 8;25..."na iogopeni adhabu ya allah (ya hapa duniani) ambayo haitawasibu peke yao wale waliodhulumu nafsi zao miongoni mwenu; na jueni ya kuwa allah ni mkali wa kuadhibu..".....ukoloni ni ukoloni..na dhambi zake ni zile zile..!..mungu awarehem wale wote ambao walidhulumiwa nafsi zao ktk matukio na harakati za kuung'oa ukoloni na dhulma zake ktk kila kona ya afrika na palestina ,......babou
kitachosikitisha ni kitu kimoja tu nacho ni kwamba watu wasomi wanashindwa kutafautisha baina ya mapinduzi na massacre. 1964 kulifanyika mambo mawili
1. mapinduzi
2. massacre.
Tatizo la pili nanialiyefanya mapinduzi hayo.
1. Mipango yote ilitoka Ulaya na USA tunawajuwa kwa majina walioshiriki katika kupanga mapinduzi lakini siwataji humu.
2. Aloshika bunduki ni MTANGANYIKA. Hili ndio linalotukera sisi wazanizbari. Walituulia jama zetu wapatao 17,000 kwa usiku mmoja tu. Jesgi la tanganyika lilipewa mazoezi maalum huko Tanga na likapitia Bagamoyo kidogo kidogo kwenda kujipanga.
3. Ufunguo wa ghala za silaha alikuwa Kakabidhiwa Bwana Mohammed suleiman Mohammed Al Mfadhil, wiki moja hivi kabla ya mapinduzi akapokonywa na kamanda wake muingereza na kupewa mznzibara ambae alitakiwa awabidhi ufungu huo majeshi ya tanganyik amuda ukifika na alifanya hivo. Bwana huyo Mohammed ndie wakanza alouliwa
Sasa nadhani unafamu kwamba jitendo baya walilolifanya ni kuwatarget watu kwa kabila zao na rangi zao.
Nakwa hilo hatuwasamehe watanganyika maisha na musituone kimya lakini litasemewa hilo wakati wake ukifika
Shukran sana;
1. Video ya kwanza yenye mauaji na maiti makaburini ni ya rangi. 1964 ni vigumu kikundi cha kiitalia kuwa na colored videography ya ku-shoot zenj
2. Ukiiangalia hiyo helikopta kuna mahali wanatupa kitambaa cheupe, Chanini?
3. Makaburini maiti wamepangwa na wengi wana kofia zao vichwani!!!!
4. Mtangazaji anazungumza Nyerere, Rais Tanzania wakati hakukuwa na Tanzania wakati wa Mapinduzi hayo
5. Maiti wote wameuliwa chini ya MTI wa KIVULI!!!!!!! wamelaliana bila dalili za kukurupuka kuhami maisha yao. Wamefia kivulini!!!!!!
6. Kaburi lilichimbwa siku gani? ya kupindua au kabla au baada? na ukiyaangalia yamefuatana.
7. Angalieni mengine na nyie.
Bobwe; wenye ile documentary ya Okello ni ya BBC hata mwandishi anajulikana. Angalia kuwa ni ya Black and white. Video zote mbili zimepiga tukio la siku moja hiyo hiyo. Uwezekano wa kikundi cha kiitalia 1964 kiwe na COLOR VIDEOGRAPHY halafu BBC wawe na black and white HAUPO.
Huwezi kusanya watu 500-600 chini ya mti wa kivuli ukaanza kuwafyatulia marisasi bila kutokea patashika ya baadhi kukimbia na kuondoka walipokuwa wamekaa. Hiyo video hayo marehemu wote hakuna dalili za kukimbia toka hicho kivuli cha huo mti
Zoom down kwenye image yenyewe tafuta wenye damu za marisasi zionyeshe!!!!!
By the way, umeona mitaa ya zanzibar? Hawa si walikuwa na ndege?
Mwisho ni kuwa usije-confuse kuwa sina huruma na wale waliopoteza maisha yao katika jambo hili. Nachokwambia na wote pia ni kuwa ukiona jambo chunguza. Aliyeiweka hiyo video pia ana yake. Mi namsikia tuu akisema "barbaric africans killing ARABS AND MOSLEMS" sijui hao waarabu ni dini ipi na waislamu ni kina nani!!!!
....inasikitisha..lakini lazima ukweli useme...matokeo ya matumizi ya silaha siku zote huwa hayana heri, na mara zote muhanga wanakuwa ni wanyonge ktk jamii..watoto, wanawake, na vikongwe..hiyo si kwa zanzibar tu, lkn kila mahali ambapo watu waliamua kutumia silaha, hilo limetokea...!lingine ni ukweli kuwa ukoloni haukubaliki...!usultani wa kiarabu ktk eneo hili la afrika ni jambo ambalo lilikuwa halikubaliki na wana waafrika na hata wengine ambao hawana asili ya uafrika lkn wakaweka makazi zanzibar! usultan na uhuru (ambao bado haukutoa haki kwa wengi ) vilikuwa ni ghilba ambazo suala lilikuwa muda ufike ving'olewe...ukoloni ni ukoloni tu...! uwe wa mturuki kwa muarabu, muyahudi kwa mpalestina, mwarabu kwa mwafrika,..ni ukoloni tu..hauwezi kujificha..ubaya mwingine ni fitna inayoambatana na namna /mbinu inayotumika kuutoa.....! lakini mwishowe ukoloni lazima ushindwe na ung'olewe...
...kaka historia inatufundisha kuwa miongoni mwa wakoloni waliokutana mwaka 1884 huko berlin ujerumani ili kugawana afrika sultan wa oman alikuwa mmojawapo....!yeye alipewa viswa vya zanzibar na kilomita kumi za mraba kutoka pwani kwenda bara..! ktk pwani yote ya afrika mashariki..! ..ni mkoloni alikuwa...!suala la kutokuwepo muafrika ktk zanzibar ni upotoshaji mwingine wa historia ambao sasa unafanywa zaidi na washabiki wa usultani wa kiarabu ktk zanzibar..!na labda nikuulize..nani alitangulia kufika zanzibar kati ya mashiraz wa uajemi na waarabu wa kioman? vp waarabu wa kiyemen? unajua ni kwa nini pamoja na zanzibar kuwa chini ya sultan ambae anatoka nchi ambayo ni waislam wa dhehb la ibaadh, lkn wengi wa watu wake toka siku hizo ni ordhodox muslims kama walivyo waumini wengi wa bara?......tuache hayo..mi ni mzanzibar pia..! lkn ni ukoloni upi wa bara ktk zanzibar? naam..! kuna matatizo na kero ktk muungano wetu..lakini ukoloni kwa tafsiri halisi ya ukoloni ni upi? weka chuki ya uafrika pembeni..weka mapenzi yaliyokithiri ya uarabu pembeni...karibu tujadiliane..sisi ni ndugu..kama si kiimani, alhamdullillah, huwezi jua...wazee wetu walikuwa si haba ...lol..labda babu zetu ni ndugu..karibu..!uloyasema hapa ni kweli tupu 100%.
hata leo znaizbar hatuoni raha kutawaliwa na tanganyika na hili tunalitizamia njia ya kulimaliza pia.
Lakin iinakupasa ujuwe kwamba kuanzia mwaka 650 AD warabu tayari wamefika zanzibar. Na vitabu vipo ziloandika juu ya hilo
Hakuna mtu leo anayethubu kusema znzn ni ya wafrika. Mimi binafsi ninaamini kwamba hakuna mtanganyika alokuwa na sababu ya kuja znz katik amiaka ya 1800s, isipokuwa wale walioletwa.
watu walisafiri sababu ya shida za maisha na huko tanganyika kulikuwa kuko poa sana, wanyama na mazao yalikuwa yanawatosha wenyeji wa huko siku hizo, yaani yata watu kusini hawakuwa na sababu ya kwenda kaskazini
kwa mtazamo huo mwarabu alipokuwa zanzibar alikuwa yupo nyubani kwao kabisa.
...kaka we una chuki na watanganyika na ni chuki ambayo itaishia kukupakijiba moyoni....hivi ni siri kwamba waafrika na washirazi walifanya mapinduzi? hivi ni siri kwamba umma party ilikuwa na makada wengi ambao walikuwa wamepewa mafunzo cuba kwa ajili ya kuja kuikomboa nchi yao na kuifanya cuba ya afrika masahariki? kwa nini wazanzibar wengi walioupenda usultani wa kiarabu wasingempigania sultani na kuzuia mauaji ya raia wasio na hatia yaliyokuwa yakifanywa na kama unavyodai 'watanganyika'? hivi, kinasaidi abdallah natepe. mohamed babu na wenzao walikuwa ni watanganyika? okello alikuwa mtanganyika? washirazi na waafrika wakiupenda usultani, na wakitendewa haki?....pamoja na hayo, mauaji ya watu ambao hawakuwa na hatia yanasikitisha na hayakustahili...laiti yasingetokea....! lkn wenye kuamini ktk uislam tunasoma ktk qur'an 8;25..."na iogopeni adhabu ya allah (ya hapa duniani) ambayo haitawasibu peke yao wale waliodhulumu nafsi zao miongoni mwenu; na jueni ya kuwa allah ni mkali wa kuadhibu..".....ukoloni ni ukoloni..na dhambi zake ni zile zile..!..mungu awarehem wale wote ambao walidhulumiwa nafsi zao ktk matukio na harakati za kuung'oa ukoloni na dhulma zake ktk kila kona ya afrika na palestina ,......
Kaka wengi wa wazee wakizanziabri wameliswa sumu ya mapinduzi na maji yabendera ya CCM huna vyakuawaambia kuhusu muungano na baadh ya vijana mbulula wasioa Soma wana kula hayo mabaki bila yakujielew wanacho kifanya ila kwawale wanao jijua na kuifuatilia historia ya nchi yao ndio wajua ukweli wanchi yao.
Niliingiwa na wasiwasi na haya yaitwayo mapinduzi yaliyo leta ukoloni hadi hii Leo.
Mkuu minashindwa kuelewa nikigezo gani kilicho pelekea karume (asie msomi) kukabidhiwa nchi badala ya Babu alie msomi? Ikiwa hata ngeli ya ugoko tu alikua hana? Kumbe hili tatizo la nchi kuongozwa na vilaza halikuanza leo
Sawa Sheikh wangu tuko pamoja. Hili la Polisi kuwaambia washukiwa haya tangulieni NAJA limenichekesha sana, huku bara bwana, mahali kama Arusha au kwetu Tarime hukuti mtu ustadh....., haya bwana Pole lakini, tena SERIOUSLY kwa uliowapoteza. M\Mungu awape makazi mema huko waliko. Niliyempa nakala naye alipoteza ndugu. Sio mbaya ukimwandikia hata kama ni PM mention kuwa nime-recommend mfahamiane. Ijumaa Kareem.
cc Gombesugu
Bin Faza,
Mkuu wangu endelea kutoa darsa kupitia huu uzi wako kwa kweli kuna mengi unadadavua watu hawakupata kuyafahamu.
CC; Boko haram, THE BIG SHOW, gombesugu,
mi nafikiri hizi video zinaweza kuleta tafsiri ya huruma kwa wale walioathiriwa na mapinduzi. lakini ktuoka moyoni bado naamini kulikuwa na uhalali wa kufanya mabadiliko ya kisiasa zanzibar wakati ule. na kwa vile udhalimu haukuruhusu mabadiliko ya amani mapinduzi yasinge epukika. madhambi yaliyofanywa na waarabu kuwakamata, kuwatesa na kuwatumikisha weusi kama watumwa lazima yangelipwa tu hata na vitukuu vya waarabu husika. unyanyasaji wa hali ya juu kufanywa na serikali ya Jamshid ndani ya mwezi mmoja baada ya uhuru ulitosha kuiondoa serikali yoyote madarakani. mfano kukamata, kutesa na kufungia wapinzani, kufungia magazeti yanayokosoa serikali, kufukuza kazi polisi wote wenye aasili ya bara na kushindwa kurekebisha mgawanyo wa ardhi wa kibaguzi uliokuwepo ni miongoni mwa uhuni uliofanywa na serikali ilyokabidhiwa uhuru desemba 1963.
Hizo propaganda ndio tulizosomeshwa shuleni kuwa warabu waliwanyansa na kuwafanya watumwa watu weusi lakini hiyo sio kesi ya zanizbar,watumwa walikuwa wanaletwa zanzibar kuuzwa tna waliokuwa wakikamata watumwa ni waafrika wenyewe kutoka na tafauti zao za makabila,hakuna mzanzibari aliyewahi kuwa mtumwa,wazanzibar ni watu waliochamnganya damu na wakabila mbali mbali ya afrika na nje ya afrika
Katika afrika mashariki na kati zanzibar ndio likuwa nchi yenye wafrika wasomi kuliko nchi yoyote katika ukanda huu wa Afrika,mafano angali hao akina babu,Hanga na wengineo,watu weusi wa zanzibar walikuwa wanamiliki ardhi walikuwa wamechanganya damu na famili za kisultani,kwaupi hao wanaotwa masultani walikuwa ni machotara wakiarabu waliochanganyika na wamanyema
kama hayo unayoyasema kuhusu utawala Jemshid ni kweli mbona akina karume wameishi mpaka wakuwa maraisi,moja katika mahojiano na mke wa Karume aliwahi kusema kuwa karume alikuwa anapinga mapinduzi,sasa jiulize kwanini Karume alikuwa anapinga mapinduzi kama utawala wa jemshid ulikuwa wa kinayama?Uongo huo haufanyi kazi tena katika karne hii ya "Information technology" kila kitu kiko wazi
Hayo uliyoyasema kuhusu udhalimu wa utawala wa Jemshid kuwatesa na kuwakamata watu ndio tunayoyaona sasa kati ya utawala wa CCM na wapinzani je serikali ya CCM nayo ipinduliwe wanachama wa CCM wauliwe kama kuku!!!!? au unataka kuniambia wapinzania hawakatwi na kuteswa na utawala tuliona sasa!!!? tafakari
Kuuwa ni dhambi,kuuwa watu walikuwa hawana hatia ni kufuru na dhambiMapinduzi ya zanzibar yalikuwa ni "Genocide"
Nina swali kabla sijaenda mbele zaidi: Waitaliano walishiriki katika mapinduzi ya Zanzibar?
babou
kitachosikitisha ni kitu kimoja tu nacho ni kwamba watu wasomi wanashindwa kutafautisha baina ya mapinduzi na massacre. 1964 kulifanyika mambo mawili
1. mapinduzi
2. massacre.
Tatizo la pili nanialiyefanya mapinduzi hayo.
1. Mipango yote ilitoka Ulaya na USA tunawajuwa kwa majina walioshiriki katika kupanga mapinduzi lakini siwataji humu.
2. Aloshika bunduki ni MTANGANYIKA. Hili ndio linalotukera sisi wazanizbari. Walituulia jama zetu wapatao 17,000 kwa usiku mmoja tu. Jesgi la tanganyika lilipewa mazoezi maalum huko Tanga na likapitia Bagamoyo kidogo kidogo kwenda kujipanga.
3. Ufunguo wa ghala za silaha alikuwa Kakabidhiwa Bwana Mohammed suleiman Mohammed Al Mfadhil, wiki moja hivi kabla ya mapinduzi akapokonywa na kamanda wake muingereza na kupewa mznzibara ambae alitakiwa awabidhi ufungu huo majeshi ya tanganyik amuda ukifika na alifanya hivo. Bwana huyo Mohammed ndie wakanza alouliwa
Sasa nadhani unafamu kwamba jitendo baya walilolifanya ni kuwatarget watu kwa kabila zao na rangi zao.
Nakwa hilo hatuwasamehe watanganyika maisha na musituone kimya lakini litasemewa hilo wakati wake ukifika
Hizo propaganda ndio tulizosomeshwa shuleni kuwa warabu waliwanyansa na kuwafanya watumwa watu weusi lakini hiyo sio kesi ya zanizbar,watumwa walikuwa wanaletwa zanzibar kuuzwa tna waliokuwa wakikamata watumwa ni waafrika wenyewe kutoka na tafauti zao za makabila,hakuna mzanzibari aliyewahi kuwa mtumwa,wazanzibar ni watu waliochamnganya damu na wakabila mbali mbali ya afrika na nje ya afrika
Katika afrika mashariki na kati zanzibar ndio likuwa nchi yenye wafrika wasomi kuliko nchi yoyote katika ukanda huu wa Afrika,mafano angali hao akina babu,Hanga na wengineo,watu weusi wa zanzibar walikuwa wanamiliki ardhi walikuwa wamechanganya damu na famili za kisultani,kwaupi hao wanaotwa masultani walikuwa ni machotara wakiarabu waliochanganyika na wamanyema
kama hayo unayoyasema kuhusu utawala Jemshid ni kweli mbona akina karume wameishi mpaka wakuwa maraisi,moja katika mahojiano na mke wa Karume aliwahi kusema kuwa karume alikuwa anapinga mapinduzi,sasa jiulize kwanini Karume alikuwa anapinga mapinduzi kama utawala wa jemshid ulikuwa wa kinayama?Uongo huo haufanyi kazi tena katika karne hii ya "Information technology" kila kitu kiko wazi
Hayo uliyoyasema kuhusu udhalimu wa utawala wa Jemshid kuwatesa na kuwakamata watu ndio tunayoyaona sasa kati ya utawala wa CCM na wapinzani je serikali ya CCM nayo ipinduliwe wanachama wa CCM wauliwe kama kuku!!!!? au unataka kuniambia wapinzania hawakatwi na kuteswa na utawala tuliona sasa!!!? tafakari
Kuuwa ni dhambi,kuuwa watu walikuwa hawana hatia ni kufuru na dhambiMapinduzi ya zanzibar yalikuwa ni "Genocide"
Yaah! hakika ni uchambuzi mzuri, inawezekana ni CINEMA, je na hawa JOHN OKELO, ABEDI AMANI KARUME na MOHAMED BABU, PIA NI CENEMA. Je tunahoja za kuwakana hao. Wasi wasi ndio Akili. Sipingi uchambuzi huu (OBSERVATIONS). Ila tusiwe washabiki, kama ni changa la Macho, tulijadili kwa Maslahi ya Vizazi vijavyo.
Haaaa haaa! Haya mafundisho kwamba Mtanganyika aliua Wazanzibari ni ya Gaidi Sheikh Ilunga! Kama mwanaume mbona kaikimbia nchi?