Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Mwanaadamu sio kiumbe pekee wa MUNGU, yeye kaumba viumbe vingi kabla ya huyu mwanaadamu, na vipo viumbe vinamtii hadi sasa ikiwemo mwanaadamu mwenyewe, ispokuwa wachache walio potoka
 
Kwetu sisi Wailsamu Imani ni kuwa na yakini juu ya kuwepo kwamba muumba ni mmoja tu kwa dhati na sifa zake. Nguzo nyingine za imani zinajengwa juu ya imani ya Mungu mmoja wa kweli, imani juu ya maisha baada ya kifo, imani juu ya Malaika wa Mungu, vitabu vyake na kudra na tafsiri ya vitendo ya imani hii ni: Sala, Zakah, Saumu na Hija.
 
Elim ya anga imekupitia kushoto sana. Mars Jupiter Satan vunus zinaonekana kwa macho bila hata msaada wa viona mbali
Elimu ya Imani imekupitia mgongoni bora mimi imepita kushoto hiyo elimu ya anga
 

Sio kosa na wala hamtendi dhambi Kwa hiyo mungu mnayemuamini.

Kwa mujibu wa Waislam na Quran, mungu wenu anaitwa Nani? Na lini alijitambulisha kuwa Mimi jina langu ni hili?

Hapo ndipo utajua kuwa kuna miungu na Mungu Mkuu
 
Kama wewe umeshindwa kutoa proof za porojo zako mie ambae sijawahi kufa au kushuhudia mtu aliyekufa akafufuka nitapata wapi proof
Kanuni ya kupinga jambo lazima wewe mpingaji uthibitishe ukweli wake wa jambo hilo. Huwezi kupinga bila hoja na kuuleta ukweli wako hapa, kufanya hivyo ni sawa na bure
 
Sio kosa na wala hamtendi dhambi Kwa hiyo mungu mnayemuamini.

Kwa mujibu wa Waislam na Quran, mungu wenu anaitwa Nani? Na lini alijitambulisha kuwa Mimi jina langu ni hili?

Hapo ndipo utajua kuwa kuna miungu na Mungu Mkuu
Rejea kwenye mada Mkuu, huko unakoelekea utachanganyikiwa zaidi, turudi kwenye mada hii nyepesi maisha ya baada ya kufa, na mambo yanayotokea wakati wa kufa ndio mzizi wa mada.
 
Mna shida nyiieee.....sisi wenzenu kuishi ni Kristo,kufa faida,tunakufa km tumelala tunangojea ufufuo!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…