SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
My grandparents died a peaceful death surrounded by their kids and grandkids. I want that.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Surah Qaf Ayat 19 (Quran 50:19)
MUNGU hataki umpende wala hana shida ya upendo wako, yeye ndiye anata akupende kwa wewe kutii amri zake. Sifa ya kupenda ni sifa ya Mwenye kumiliki nasio chenye kumilikiwa. Kwa hivyo ili MUNGU akupende lazima uwe mtiifu na mwenye heshima kwake, kisha yeye atakupa upendo wake. Kamwe ni ngumu kumpenda mtu jeuri, ila ni rahisi sana kumpenda mtu anaye kuheshimu na kukutii.
Kwa watu wengi wa kidini, imani ya uhai baada ya kifo inategemea mafundisho katika maandiko au mapokeo yao. Maandiko matakatifu katika Ukristo, Uyahudi na Uislamu yanazungumza juu ya maisha ya baada ya kifo - kwa hivyo kwa wafuasi wa imani hizi maisha baada ya kifo yameahidiwa na Mungu.Limewasumbua nyinyi tu. Wengine halijawasumbua. Kwa nini useme kwa niaba ya dini nyingine wakati hauamini hizo dini wala haziamini mungu wako?
Kumbe MARS inaonekana kwa kutumia vyombo lakini hadi uwe na elimu ya anga, vipi unakanusha maisha baada ya kifo ilihali huna elimu ya IMANI. Umepata wapi hiyo nguvu? Yaani MARS huwezi kuiyona bila kutumia vyombo maalumu, lakini pia inabidi upite class kujifunza. Ujasiri wa kukanusha maisha baada ya kifo unaupata wapi ilihali hujapita Class la IMANI
Hata pesa huiamuru ikifuate ni lazima uitafute, hata chakula hukiamuru kiingie tumboni ni lazima ukitafute na ukitafune ndio kiingie. MUNGU ahajakufanya wewe kama jiwe, kwasababu amekupa akili sasa lazima akupe kwa hatua za baadae. Hata mwanao utaanza kumlinda akiwa mdogo lakini akishapevuka utamuacha. Hizo ni kanuni ndogo za uwendeshaji wa mamboKama Mungu anatupenda kweli angepambana na shetani yeye mwenyewe kuliko kutuachia msala sisi. alafu yeye akaenda kujificha
Ukiona unaogopa habari za kifo jua una madeni ya kulipa.Kwa nini usilete mafundisho ya wema kuliko kuleta mambo ya kutisha, unapata faida gani.
Karibu sanaUkiachana na Imani kifo si mchezo nmeshuhudia vifo vingi ndo kitu pekee kinachofanya niamini kuna vitu vipo hatuvijui
SAKARATUL MAUTI naweza kusema ni pale ambapo brain inaanza kua deprived na oxygen hivo mtu anapata neurological deficits anaanza kuona watu wanaomtisha na ni kweli utaona mtu anaogopa anajificha
Kutoa haja si lazima ila ni common sababu bladder na njia ya nyuma ukiwa unakata roho kunakua hakuna innervation ya sphincter muscles zinazoshikilia
Ila kama marehem ataempty bladder punde kabla ajakata roho ni uncommon kujiokojolea
ALLAHU AALAM
Ahsante, tutaleta mada yake BossHongera,naona umetayarisha fimbo za kutosha,Kila anayenyanyuka unae.
Ndani ya hizo siku arobaini atatokewa na malaika mara tatu,,,nifunulie hapa.
Ndio mkuu, ndio maana tuko wazi kwasababu kinachokea hapa kinafahamika kinaga ubaga kuliko wewe uliyejificha ambaye huna uhakika wa hicho unachokitetea. Karibu Kimara KorogweUnabishana na wansayansi ukiwa Kimara🤣🤣🤣🤣
Uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu Kila mtu huhisi ndani yake kwamba ana Bwana na Muumba, na anahisi kwamba anamhitaji. Muda wako wa kumuhitaji ukifika utamtafuta BossAcha fix wewe. Huyo alikuumba wewe ulimuona wapi? Wadangaje wajinga wenzako mimi nishushe nimefika.
Ni dini mpya ya scientism, inaamini kuwa sayansi ina majibu ya kila kitu.Mkuu, katika ulimwengu huu wa kawaida kila kitu kina cause and Effect, “nje” ya ulimwengu wa asili, Mungu hawezi kuthibitishwa wala kukanushwa na sayansi pekee. Ninyi mmekua mkitegemea sana Sayansi bila kujua wapi sayansi imetokea.
Ninyi mnakubali kuwa Hakuna uthibitisho wa kudumu wa kisayansi wa kuwako kwa Mungu. Kwa hiyo, katika suala la mtazamo wa ulimwengu unaotegemea tu ushahidi wa kisayansi, ikiwa Mungu yuko au la haijulikani.
Sisi Waislamu tunaamini kwamba Mungu ndiye muumba wa vitu vyote, na kwamba Mungu ni muweza wa yote na mjuzi wa yote. Mungu hana uzao, hana rangi, hana jinsia, hana mwili, na haathiriwi na sifa za maisha ya mwanadamu wala mazingira yake.
Mwambie Mungu wako aende Yemen Sudan afugan Satan na Somalia Kuna watu Ni wanyenyekevu kwake na Wana mtii yeye na Sheria zakeMUNGU hataki umpende wala hana shida ya upendo wako, yeye ndiye anata akupende kwa wewe kutii amri zake. Sifa ya kupenda ni sifa ya Mwenye kumiliki nasio chenye kumilikiwa. Kwa hivyo ili MUNGU akupende lazima uwe mtiifu na mwenye heshima kwake, kisha yeye atakupa upendo wake. Kamwe ni ngumu kumpenda mtu jeuri, ila ni rahisi sana kumpenda mtu anaye kuheshimu na kukutii.
In the end, the best way to attain a good death is to live a good life. A life that is lived in the service of others for the sake of AllahMy grandparents died a peaceful death surrounded by their kids and grandkids. I want that.
Na wanasayansi ndio waliunda dunia na sayari zote piaMars inaonekana Kwa Kutumia vyombo.
Kasome Elimu ya anga.
Suala la sayansi sio ishu ya kuamini Bali ni ishu ya uthibitisho,
Huwezi sema unaamini Mars Ipo Wakati kitu kipo.
Ni kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.Hapa ndipo dini hukosea, Yaani mtu badala ufunze watu kutenda yaliyo mema ili kumtafuta Mungu... ila ninyi hutengeneza story kutisha watu na kufanya Mungu aonekane katili