Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Ni kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.
Kila jambo lina hekima zake Boss. Hata mwanao anapokengeuka lazima umkumbushe kwamba kuna kesho.
Umewahi kujiuliza hayo majeshi yange ishi vp bila uhalifu? Uhalifu unatakiwa kuwepo ili nao wapate kazi
 
Rejea kwenye mada Mkuu, huko unakoelekea utachanganyikiwa zaidi, turudi kwenye mada hii nyepesi maisha ya baada ya kufa, na mambo ya yanayotokea wakati wa kufa ndio mzizi wa mada.

Wakati WA Kufa hakuna kinachotokea. Hakuna maumivu yoyote Wakati MTU anakufa.

Ukimchinja MTU Yale maumivu anayoyapata sio Kwa sababu anakufa Bali ni Kwa sababu unamchinja na kukata kikatili nerves, ndio maana anasikia maumivu.

Mtu anapokufa labda Kwa kukosa hewa, anaumia Kwa sababu mapafu yanakosa hewa na sio Kwa sababu anakufa.

Hicho ndicho najaribu kujieleza kuwa Hakuna uhusiano wowote baina ya Kifo na maumivu.

Ukimpiga mtu risasi ya kichwa hawezi kusikia maumivu Kwa sababu maumivu yanatafsriwa na ubongo.
Mtu anapoungua Kwa Moto mpaka akafa, maumivu anayoyapata ni Kwa sababu ya Moto unaomchoma na sio Kwa sababu anakufa.

Jambo moja iweke akilini ni kuwa, kuna madawa yenye kemikali ukipewa umeze ambayo yatazuia Receptors ili ubongo ushindwe Kupata taarifa (impulses) na kuzitafsiri) MTU anaweza asihisi chochote hata ukimkata kichwa. Ni kama MTU aliyepooza upande mmoja.

Aliyeandika hicho kisasili hakuwa na Elimu ya mfumo wa ufahamu
 
Mabikra 72 na mito ya pombe huwa ni baada ya muda gani muislamu akifa?
 
Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.

Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.

Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.

Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.

Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.

Viwango vya ukali wa kifo

Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.

Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.

Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.

Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.

“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.

Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:

View attachment 2700348
Ahsante kwa ukumbusho ndugu.
 
Ni kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.
Kila jambo lina hekima zake Boss. Hata mwanao anapokengeuka lazima umkumbushe kwamba kuna kesho.
Hapana sio kweli, huwezi kumfanya mtu akawa mwema kwa kumtishia. Zaidi zaidi ataigiza wema tu maana wema hutoka ndani ya mtu kwa kuamua mwenyewe. Mungu hajasema tuwe wema ili tusiteseke na adhabu bali tuwe wema kwa kuwa ndivyo impendezavyo.
 
Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.

Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.

Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.

Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.

Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.

Viwango vya ukali wa kifo

Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.

Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.

Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.

Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.

“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.

Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:

View attachment 2700348
Acha kutisha watu wewe, unapata faida gani kusema uongo?

Haya ni mauongo ya dini tu ili kukamata akili za watu ambao hawajajiandaa kikamilifu.

Nmejiandaa kikamilifu kuskia hadithi hizi.

Hazina mashiko
 
Wewe Mzee wa Elimu ya dini huwezielewa haya 🤪😆

Sayari zote zinaonekana kwenye darubini ila kuzifikia ndio shida
Mkuu, Sayari ya Mars, Venus na Jupiter zinaonekana hata bila darubini.

Hiyo Mars akitaka hata kesho ataiona mimi nitamuelekeza itapokuwepo.

Itakuwa karibu na sayari ya Venus mida ya saa 1 kamili kama jua litakuwa limezama, ataiona kama nyota nyekundu nyekundu hv.
 
Acha kuongopa tafadhali, umewahi kuiyona hiyo MARS kwa jicho lako?
Mkuu hata leo sayari ya mars unao uwezo wa kuiona.

Mimi nimeiona, na huwa nazifuatilia hzo sayari.

Na nnajua namna ya kuzitambua.

Unaongea hivi kwasababu tu hujapata elimu hii ya anga na sayari.

Kuna sayari ziko angani watu hudhani ni nyota tu.
 
1 Wakorintho 15:56
Uchungu wa kifo ni dhambi, na nguvu ya dhambi ni sheria.
Hapa ndiyo huwa naona dini ya uislamu ina mapungufu mengi na haijakamilika.
1. Uislamu haujitegemei na haujitoshelezi kimafundisho ndiyo maana hata waumini wao wakichalenjiwa kidogo tu hukimbilia kwenye Biblia. Hawezi kukutolea mstari kwenye Quran
2. Waumini wao ni weupe sana vichwani kwasababu ya lugha, hapo ametoa maelezo kuhusiana na kifo lkn hakuna hata aya moja aliyoweka inayoelezea kifo. Ndiyo maana hukimbilia kwenye Biblia Takatifu. Waislamu wengi wanaijua Biblia kuliko hata Quran
3. Quran imeandikwa kiujanja tu. Unamuaminije mtu ambaye hajui kusoma na kuandika halafu akaoa binti wa miaka 12? Sheria inasemaje? Ukitaka kuthibitisha hilo Soma habari za Yesu kuzaliwa, kuteswa mpk kufufuka na kupaa halafu huyu huyu wanasema ndiye Issa lkn alizaliwa chini ya mtende. Uongo uliowazi, kati ya Biblia na Quran ipi ilianza?
4. Ukitaka kuona Quran imefungamana na ushirikina, fuatilia jinsi Al badili inavyosomwa
 
Back
Top Bottom