Umewahi kujiuliza hayo majeshi yange ishi vp bila uhalifu? Uhalifu unatakiwa kuwepo ili nao wapate kaziNi kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.
Kila jambo lina hekima zake Boss. Hata mwanao anapokengeuka lazima umkumbushe kwamba kuna kesho.
Rejea kwenye mada Mkuu, huko unakoelekea utachanganyikiwa zaidi, turudi kwenye mada hii nyepesi maisha ya baada ya kufa, na mambo ya yanayotokea wakati wa kufa ndio mzizi wa mada.
1 Wakorintho 15:56
Uchungu wa kifo ni dhambi, na nguvu ya dhambi ni sheria.
Hilo ndio jina la bwana ako?Kumbukumbu la Torati 6:10-25
Torati na nyie manasema iliyopo imechakachuliwa?Kumbukumbu la Torati 6:10-25
Huwezi unda Dunia na sayari kama sio mwanasayansi.
Au unafikiri Hii Dunia iliumbwa na Nani kama sio mwanasayansi?
Hii ni opinion yakoMwenye hofu na aisiye na hakika ya njia aliyonayo na wala hana hakika kwa kule aendako, huyo ndio mwenye kutishika.
Ahsante kwa ukumbusho ndugu.Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.
Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.
Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.
Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.
Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.
Viwango vya ukali wa kifo
Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.
Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.
Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.
Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.
“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.
Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:
View attachment 2700348
Hapana sio kweli, huwezi kumfanya mtu akawa mwema kwa kumtishia. Zaidi zaidi ataigiza wema tu maana wema hutoka ndani ya mtu kwa kuamua mwenyewe. Mungu hajasema tuwe wema ili tusiteseke na adhabu bali tuwe wema kwa kuwa ndivyo impendezavyo.Ni kama vilevile majeshi hupiga mazoezi makali, kwa ajili ya kutishia watu na kutishia nchi jirani badala ya kuhimiza amani kwa watu wake.
Kila jambo lina hekima zake Boss. Hata mwanao anapokengeuka lazima umkumbushe kwamba kuna kesho.
Acha kutisha watu wewe, unapata faida gani kusema uongo?Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.
Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.
Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.
Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.
Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.
Viwango vya ukali wa kifo
Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.
Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.
Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.
Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.
“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.
Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:
View attachment 2700348
Mkuu, Sayari ya Mars, Venus na Jupiter zinaonekana hata bila darubini.Wewe Mzee wa Elimu ya dini huwezielewa haya 🤪😆
Sayari zote zinaonekana kwenye darubini ila kuzifikia ndio shida
Sayari ya mars inaonekana kwa macho,Mimi sijakataa hayo, nakuuliza wewe umewahi kushuhudia hayo au unafuata mikumbo ya watu na kunakili vitabu?
Exactly kumbe wataalamu wapo humu ✅Mars inaonekana bila hata vyombo
Sayari ya Mars mbona inaonekana hata kwa macho yako, Japo sio kila siku ni kipindi na kipindiMimi nimekuuliza wewe swali? umewahi kushuhudia hiyo sayari ya MARS jibu ni ndio au hapana.
Na sio kila baada ya miaka, ni miezi......Na ni week mbili au 3 zilizopita Sayari ya mars pamoja na Jupiter zilionekana kwa pamoja.Mnafundishwa ujinga huko Bakiif naona.
Mars inaonekana kwa macho kila baada ya miaka kadhaa inapokuwa karibu na dunia
View attachment 2700417
Mkuu hata leo sayari ya mars unao uwezo wa kuiona.Acha kuongopa tafadhali, umewahi kuiyona hiyo MARS kwa jicho lako?
Hapa ndiyo huwa naona dini ya uislamu ina mapungufu mengi na haijakamilika.1 Wakorintho 15:56
Uchungu wa kifo ni dhambi, na nguvu ya dhambi ni sheria.