Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Haya ndio maumivu au uchungu wa kifo unaompata mtu anayekufa 'Sakaratul-Mauti'

Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.

Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.

Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.

Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.

Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.

Viwango vya ukali wa kifo

Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.

Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.

Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.

Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.

“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.

Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:

View attachment 2700348
Porojo
 
Kumbukumbu la Torati 6:10-25
Nilitegemea utaandika aya za kwenye Quran ili watu wathibitishe ulichoandika ila umeandika gazeti.
Uslamu ni dini ambayo haijakamilika kwenye mafundisho yake na haijitoshelezi kimaana.
Ukitaka kuthibitisha hilo,
1. Waislam wengi wanaijua Biblia kuliko Quran kwasababu hawana aya zinazojitosheleza ktk mafundisho yake.
2. Muislam hawezi kutoa mafundisho yake bila kuweka vifungu vya kwenye Biblia. Ukitaka kuthibitisha hilo, mwambie muislam hivi Mimi ni mkristo ni hubirie ili nishawishike ni silimu. Hapo ndiyo utajua dini ya uislamu haijakamilika na haijitoshelezi. Kitachoongelewa ni Biblia wala siyo Quran, mfano hai ni huu.
3. Waislamu waanamini ktk vitabu kwenye Biblia kumbukumbu la Torati na Zaburi ila hakuna mkristo anayeamini aya yoyote kwenye Quran.
4. mungu wao anasikia lugha moja tu ya kiarabu, km haujaswali kwa kiarabu hausikiki ndiyo maana wengi ukiwachalenji wanakimbilia kutoa mifano kwenye Biblia maana huku Mungu anasikia lugha zote. Ndiyo maana waislam wengi wanaijua Biblia kuliko Quran
 
Ni kweli kwamba MTU akifa lazima atoe haja kubwa na ndogo?
 
Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.

Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.

Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.

Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.

Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.

Viwango vya ukali wa kifo

Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.

Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.

Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.

Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.

“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.

Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:

View attachment 2700348
...Wewe Uliisha wahi Kufa, Ukayashuhudia Yote haya ? Ama ni Maandiko TU yamekuaminisha kwamba Ndivyo ilivyo?
KIFO ni SIRI ya MUNGU MWENYEWE. HAKUNA AJUAYE KWENYE KIFO KUNATOKEA NINI. [emoji120][emoji120]
 
Kama ulikuwa na roho mbaya utateseka tu🤣 ila kama hunaga baya na mtu kifo ni chepesi tu.
 
Mbona sasa hujaziweka dalili hizo katika mtiririko mathalani wa kuanzia dalili namba moja hadi ya mwisho ili wale wanaokabiliwa na kifo wataposoma wajue sasa hesabu ya siku imekaribia kutimia
 
Hapa ndiyo huwa naona dini ya uislamu ina mapungufu mengi na haijakamilika.
1. Uislamu haujitegemei na haujitoshelezi kimafundisho ndiyo maana hata waumini wao wakichalenjiwa kidogo tu hukimbilia kwenye Biblia. Hawezi kukutolea mstari kwenye Quran
2. Waumini wao ni weupe sana vichwani kwasababu ya lugha, hapo ametoa maelezo kuhusiana na kifo lkn hakuna hata aya moja aliyoweka inayoelezea kifo. Ndiyo maana hukimbilia kwenye Biblia Takatifu. Waislamu wengi wanaijua Biblia kuliko hata Quran
3. Quran imeandikwa kiujanja tu. Unamuaminije mtu ambaye hajui kusoma na kuandika halafu akaoa binti wa miaka 12? Sheria inasemaje? Ukitaka kuthibitisha hilo Soma habari za Yesu kuzaliwa, kuteswa mpk kufufuka na kupaa halafu huyu huyu wanasema ndiye Issa lkn alizaliwa chini ya mtende. Uongo uliowazi, kati ya Biblia na Quran ipi ilianza?
4. Ukitaka kuona Quran imefungamana na ushirikina, fuatilia jinsi Al badili inavyosomwa
Rekebisha andiko. alichumbia katoto ka miaka 6 aka anza kukaingilia kakiwa na miaka 9
 
Ukweli watu wasiopenda kuusikia huwa ni Kifo. Huu ndio ukweli wa Kituo cha Kwanza kuhusu Kifo: Kutengana au kuvunjika kwa uhusiano kati ya mwili na roho kunaitwa kifo. Na hayo ni mambo ya lazima kwa kila mtu nasio kutishana ndugu.
Life Asked Death Why Do People Loves Me And Hate You???
Death Replied Because Your A Beatiful Lie And I am The Painful Truth.

"DEATH IS THE PAINFUL TRUTH"
 
Acha vitisho mtoa mada
Watu wanaotapa tapa wakati wa kufa unaweza kuelezea kisayansi.Sawa na umeme unapoanza kuwa mdogo taratibu utaanza kusikia vifaa baadhi vile vilivyowekewa alarm vikianza kulalamika mfano ups za computer,haata simu yako ikianza kubakiza bar moja inaanza kuweweseka.
kwa mwili wa binadamu pia ni hivyo hivyo mawasiliano ya ubongo kupitia uti wa mgongo yakianza kukatika viungo vya mwili vikianza kukosa oxygen vinaanza kuhaha.
Ungeongelea mtu kuweweseka akifa hii ni kwa mgonjwa na hasa mtu akichinjwa au kunyongwa. je mtu akipigwa risasi ghafla ya ubongo anaweweseka vipi au akipigwa shoti ya umeme wa high voltage?
Dini ya kislam tatizo lake ndio hilo kujaribu kuelezea ubaya wa kifo wengine wanakwenda mbali zaidi kusema mtu anayekata roho anatoa sauti kali ambayo hakuna anayeisikia yenye uwezo wa kudondosha maghorofa huu ni uongo uliotukuka na wasio waislam na watasemaje.
Utaambiwa uzuri wa peponi unaogelea kwenye bahari ya asali na unapewa wanawake bikra mia

Kimsingi sipingi sana maana ni kujaribu kumkumbusha binadamu atende mema ila kiukweli sisi tunaoelewa na tuliosomea cuba tunalijua hili
 
Jina lingine huitwa ''Ulevi wa kifo'' haya ni 'maumivu ya kifo' au mafuriko ya mauti. Hakika Kila nafsi itataabika wakati wa mauti yake. Kwetu sisi waislamu tunazo dalili ambazo humpata mtu siku 40 kabla ya kufa kwake.

Nafsi zetu ipo siku zitalipwa adhabu ya udhalili kwa sababu zilikuwa zikisema uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na kuzifanyia kiburi Ishara zake.

Sakaratul Mauti ni Uchungu wa kifo, ni magumu ya pekee ambayo mtu anayekufa hupata kabla ya kifo chake na wakati nafsi inatoka kwenye mwili wake. Ni ngumu sana mwanaadamu kupata nafasi ya kutoa Wosia kwa jamaa zake akiwa katika kipindi hiki.

Ulevi wa mauti' ni hali maalum inayoambatana na ukali na ina athari kubwa katika nafsi na mwili wa mwanadamu, na miongoni mwa athari zake ni kutokea hali mbaya ya usingizi na ulevi kwa mtu anayekufa, na hali hii inamshinda, kubadilika. ufahamu wake na akili yake, hivyo kwamba mtu anayekufa katika hali hiyo anakuwa kama mlevi, na ndiyo sababu ikasemwa kwamba 'Kifo ni kichaa''. Siku zote anayekufa lazima ajisaidie haja kubwa na ndogo.

Na ulevi wa mauti kwa mtu anayekufa huwa ni mkali sana, yaani ukali wake unaoushinda na kuubadilisha ufahamu wake na akili yake ni kama ulevi kutokana na kinywaji.

Viwango vya ukali wa kifo

Ulevi wa kifo ni moja ya hali ngumu sana ambayo mtu hupitia mwisho wa maisha yake ya dunia wakati anakufa na roho inapotoka kwenye mwili wake, kifo na ukali wake, lakini wakati wa kufa kwake ni mwanzo wa faraja yake, na kuokoka kwake na matatizo ya dunia, hivyo anajikuta katika hatua nyingine ya maisha.

Ukali wa kifo “Kwa Muumini ni kama harufu nzuri anayoisikia, kisha analala usingizi kwa sababu ya wema wake, na uchovu wake wote na maumivu huondolewa kwake, na kwa mtu mwenye kiburi aliyepuuza matakwa ya MUNGU ni kama kuumwa kwa nafsi. Michomo ya nyoka na n'ge, ukali wake huwa ni mbaya zaidi.

Katika Hospitali nyingi kumeshuhudiwa watu wakitapa na kuhangaika wakati wa kukata roho, mwingine roho inatoka akiparamia ukuta kwa machungu.

Maumivu ya kifo ni kama chujio kwa watu wengi, ni lazima kila mwanaadamu kupitia hatua hizi, hata wanyama hupitia hatua hizi wakati wa kuchinjwa kwao, hupaparuka na kwenda hovyo. Uchungu wa kifo wakati mwingine umefananishwa na machungu anayopata mbuzi akichunwa ngozi yake akiwa mzima.

“Mauti ni msafishaji, huwachuja Waumini na dhambi zao, na ni uchungu wa mwisho unaowasibu, ni fidia ya dhambi iliyobakia.” Kwa ajili yao, na Atawatakasa walioamini na matendo yao mema. , ili iwe ni raha au faraja ya mwisho itakayowafuata, na iwe ni malipo mema ya mwisho watakayopata.

Uchungu wa mauti na ukali wake ni lazima kwa kila nafsi, na ni makali sana kwa watu wasiomjua MUNGU, na inaweza kuwa kali kwa baadhi ya waumini ili wanyanyue safu zao na kuwaondolea madhambi yao, kwa kuwa inaweza kuwa nyepesi. kwa wengi wao:

View attachment 2700348
kudadadadeq!!!!..hapa anayeweza kuvumilia ni mandonga peke yake!!
 
Kwaiyo mzimu unaanzisha uzi duuh kwel dunia imeisha
Sasa ndgu akuna alokufa akarudi kuja kutoa ushuhuda wala experience ya maumivu ya kifo

Ebu acha story zako za wazee wa kiarabu walokua wanasimuliana baada ya kumaliza kula ashua na tende kula jangwani
 
Back
Top Bottom