Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

kuna siku mchungaji wa Efatha mwingira alikuwa anasema ukiwa sehemu ya kazi na ukaona hakuna mchaga basi iyo sehemu haina pesa na haiwezi kuwa na maendeleo,vilevile mtaani kwako ukiona hakuna duka la mchaga basi ujue huo mtaa hauna pesa,na hata jela ukiingia na kuambiwa hakuna mfungwa ama mahabusu mchaga basi ujue iyo jela ni ya wajinga humo ndani,nikaja kuwaza na kuwazua nikaona ni kweli kabisa,kuna bosi wangu mmoja anabiashara zake anasema akifanya biashara na mchaga anakuwa makini nae na pesa anaiona ila akija mtu asiye mchaga anaweza sema jichagulie na asije kukugua akamruhusu aondoke zake ila akija mchaga anasema tunahesabiana kimoja baada ya kingine mwenyewe anasema akiwa anahesabiana nae akifika kati ama mwishoni mchaga lazima amchanganye wamefika labda mia mbili hamsini utasikia anasema mia mbili na 45 yaani anasemawale jamaa wana akili sana
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] watu wenye chuki wanawazungumzia in negative badala wajifunze mazuri
Uzuri mmoja mchaga ameshika elimu na biashara vyote sio kama mhaya amekomaa na elimu alafu uchumi hoi
 
Mmetununua wapi? Wakati unauziwa sehemu za zamani ...Sehemu mingi haijapangika .

Sisi hata tuishi nyumba ya makuti tunajua kuvaa na kunukia ila nyie wapi ..mtu ana pesa daily kuvaa mamitumba manguo makubwa kama mgonjwa wa TB hapa mjini Kuna joto[emoji23][emoji23]
Unataka MTU avae suti akiwa biasharani? Suti ina Mda wake
Sisi tunawaza mabilion wewe kama akili Yako inawaza perfume kazi ni Kwako,utakuja kuwarithisha wajukuu perfume?
 
Hili ndilo soko kuu la samaki Moshi Kwa sasa lililopo eneo la Mailisita katika wilaya ya Hai

Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa samaki waliohamishiwa eneo hilo walikabidhiwa eneo hilo lisilokuwa na miundombinu yoyote inayoendana na aina hiyo ya biashara.

Hakuna miundombinu ya vyoo maalumu kwa ajili ya wafanyabiashara hao, bali hutumia vyoo vilivyopo jirani na eneo hilo.

Mfumo wa maji safi na taka hakuna kutokana na. Kuwa magari huleta samaki wabichi na wengine huoshea eneo hilo hilo kabla ya kukaanga hapo na Kusafirisha.

Miundombinu ya jiko hakuna bali kila mtu hukaanga samaki hapo hapo anapoona Panafa.

Mvua na jua vinawaathiri kutokana na kuwa ni eneo la wazi na halijajengwa kwa namna yoyote ile ili liweze kuwangika na mvua wafanyabiashara hao.

Wakati huo huo hutozwa ushuru kila siku wa soko.


View attachment 2554409View attachment 2554410View attachment 2554411
Sikuwah kujua kama moshi kuna samaki... Na soko kuu la, samaki ni mshangao mwingine
 
Mabilion unaenda wapi ? Wapi mengi?

Ishi current sio future [emoji23][emoji23]hyo mentality ya ushamba na watu waoga
Watu waoga na washamba ni nyie mnaowaza Léo badala ya kesho
Akili inakuwa Haina tofauti na kuku[emoji2][emoji2][emoji2]
 
kuna siku mchungaji wa Efatha mwingira alikuwa anasema ukiwa sehemu ya kazi na ukaona hakuna mchaga basi iyo sehemu haina pesa na haiwezi kuwa na maendeleo,vilevile mtaani kwako ukiona hakuna duka la mchaga basi ujue huo mtaa hauna pesa,na hata jela ukiingia na kuambiwa hakuna mfungwa ama mahabusu mchaga basi ujue iyo jela ni ya wajinga humo ndani,nikaja kuwaza na kuwazua nikaona ni kweli kabisa,kuna bosi wangu mmoja anabiashara zake anasema akifanya biashara na mchaga anakuwa makini nae na pesa anaiona ila akija mtu asiye mchaga anaweza sema jichagulie na asije kukugua akamruhusu aondoke zake ila akija mchaga anasema tunahesabiana kimoja baada ya kingine mwenyewe anasema akiwa anahesabiana nae akifika kati ama mwishoni mchaga lazima amchanganye wamefika labda mia mbili hamsini utasikia anasema mia mbili na 45 yaani anasemawale jamaa wana akili sana
Acheni sifa za kishamba....


Nenda mikoa ya kusini huko njombe, mbeya,Iringa songwe nk...kule hukuti wachaga hata kidogo Hadi wale mamangi wenye viduka hakuna...


Wachaga wamejazana kaskazini na pwani huko kwingineko ni mmoja mmoja Sana...
 
Hili ndilo soko kuu la samaki Moshi Kwa sasa lililopo eneo la Mailisita katika wilaya ya Hai

Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa samaki waliohamishiwa eneo hilo walikabidhiwa eneo hilo lisilokuwa na miundombinu yoyote inayoendana na aina hiyo ya biashara.

Hakuna miundombinu ya vyoo maalumu kwa ajili ya wafanyabiashara hao, bali hutumia vyoo vilivyopo jirani na eneo hilo.

Mfumo wa maji safi na taka hakuna kutokana na. Kuwa magari huleta samaki wabichi na wengine huoshea eneo hilo hilo kabla ya kukaanga hapo na Kusafirisha.

Miundombinu ya jiko hakuna bali kila mtu hukaanga samaki hapo hapo anapoona Panafa.

Mvua na jua vinawaathiri kutokana na kuwa ni eneo la wazi na halijajengwa kwa namna yoyote ile ili liweze kuwangika na mvua wafanyabiashara hao.

Wakati huo huo hutozwa ushuru kila siku wa soko.


View attachment 2554409View attachment 2554410View attachment 2554411
Soko hilo lifungwe mara moja!
 
Mar wakinga na wapemba .[emoji23]..Tuelewe nn sasa
Sisi ndio tumeingia kariakoo na dar kwa ujumla miak ya Zaman wakfuata wapemba juzi juzi ndo wamekuja wakinga
Ukienda kimara,kibamba karibia ardhi yote ni ya wachaga
 
Acheni sifa za kishamba....


Nenda mikoa ya kusini huko njombe, mbeya,Iringa songwe nk...kule hukuti wachaga hata kidogo Hadi wale mamangi wenye viduka hakuna...


Wachaga wamejazana kaskazini na pwani huko kwingineko ni mmoja mmoja Sana...
Acha ghubu wewe mbeya,iringa,songea wapo wachaga télé tena wenye biashara au nikutajie?
Hakuna sehemu isiyo na mchaga,wachaga wamepata exposure Zaman mno mkuu both international and hapa mchin
 
Sisi ndio tumeingia kariakoo na dar kwa ujumla miak ya Zaman wakfuata wapemba juzi juzi ndo wamekuja wakinga
Ukienda kimara,kibamba karibia ardhi yote ni ya wachaga
Sisi ni customers wala hatuna stress maana tunajua duniani tunapita
 
Acha ghubu wewe mbeya,iringa,songea wapo wachaga télé tena wenye biashara au nikutajie?
Hakuna sehemu isiyo na mchaga,wachaga wamepata exposure Zaman mno mkuu both international and hapa mchin
Nilikuwa huko...huko kumejaa wakinga, wanyiha na kwa mbali wanyakyusa...

Wachaga hawapo kabisa...kama wapo basi wameajiriwa huko...


Huko kanda ya ziwa hawatambi hata kidogo...nyinyi mmejazana Dar na Arusha basi tena sehemu zenyew ni slums kama Kimara na mbezi...


Lakin check ndugu zenu mnaowaacha moshi[emoji23]
Vijumba vimechokaaa..mabati meusi[emoji23]
JamiiForums1575134899.jpg
JamiiForums-447122603.jpg
 
Back
Top Bottom