Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

Circulation na katika uchumi wa riba ...Hujaenda shule au wewe hujielewi.

Nakupa kazi kaangalie wanaokopa wangapi wanafanikiwa kibiashara hata kurudisha mkopo then compare na wanaoshindwa ndo uje hapa.

Uwe unasoma sio kukariri na kucopy kazi za watu vyuoni..
Kumbe wewe bure kabisa hujui nikikopa nikaizungusha fedha hiyo inazaa,nakurejeshea na riba Yako alafu na mm nakuwa nazid kuongeza mzunguko Wangu?
Au unadhani watu wanakopa wanaenda kuongeza MKE WA tatu na kucheza baikoko kama nyie? Ukikopa ukaenda kuongeza MKE ndio itakuwa hivyo
 
Hili ndilo soko kuu la samaki Moshi Kwa sasa lililopo eneo la Mailisita katika wilaya ya Hai

Wafanyabiashara wakubwa na wadogo wa samaki waliohamishiwa eneo hilo walikabidhiwa eneo hilo lisilokuwa na miundombinu yoyote inayoendana na aina hiyo ya biashara.

Hakuna miundombinu ya vyoo maalumu kwa ajili ya wafanyabiashara hao, bali hutumia vyoo vilivyopo jirani na eneo hilo.

Mfumo wa maji safi na taka hakuna kutokana na. Kuwa magari huleta samaki wabichi na wengine huoshea eneo hilo hilo kabla ya kukaanga hapo na Kusafirisha.

Miundombinu ya jiko hakuna bali kila mtu hukaanga samaki hapo hapo anapoona Panafa.

Mvua na jua vinawaathiri kutokana na kuwa ni eneo la wazi na halijajengwa kwa namna yoyote ile ili liweze kuwangika na mvua wafanyabiashara hao.

Wakati huo huo hutozwa ushuru kila siku wa soko.


View attachment 2554409View attachment 2554410View attachment 2554411
Sasa unatozaje ushuru KATIKA mazingira kama hayo?
 
Na hapo ndio stendi penyewe MOSHI kama mbelee
IMG_20230218_085005_849.jpg
 
Kumbe wewe bure kabisa hujui nikikopa nikaizungusha fedha hiyo inazaa,nakurejeshea na riba Yako alafu na mm nakuwa nazid kuongeza mzunguko Wangu?
Au unadhani watu wanakopa wanaenda kuongeza MKE WA tatu na kucheza baikoko kama nyie? Ukikopa ukaenda kuongeza MKE ndio itakuwa hivyo
Mzunguko wako upi?

Nimekwambia kaangalia idadi wanaoweza kufanikiwa au waliofanikiwa kwa njia ya kukopa ni ndogo mno.
Riba kubwa ni uwizi na utapeli watu mnashindwa daily nyumba zinauzwa
 
wanatufedhehesha wameahindwa na kampeni za kataa ndoa zimefeli ndio maana wamekuja kutushambulia wachaga. Pumbavu zao. .
Hao wengi ni wazaramo wanaona chuki maana tunazidi kuwaamisha Hadi mwanaromango tushawahamisha[emoji2][emoji2]
 
Mama aliagiza wachuuzi wapelekwe maeneo ya masoko.

Mtangulizi wake alisema andaeni miundombinu kisha muwapeleke lakini awamu hii ni kuwa suala la kufanyabiashara ni la mtu binafsi so long as analipa ushuru na kodi zingine hayo machangamoto mtajibeba wenyewe.

Kuna tofauti kubwa sana kati ya awamu iliyopita na hii ya sasa.


Tafsiri siyo ya kwangu
Hawa propagandist wanachukua kipande hiki chá picha eti Wana define wachaga ndivyo wanavyoushi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wewe si ndo umetutag hapa ili kulingisha ...na hata mkijetenga hamna jipya kwanza Nan akaishi huko wenyewe hampataki !
Jitengeni muondoke na chadema lenu halafu mkija kushangaa bahari huku ndo mtakuwa mnapata tabu...kitu gani tunategemea kutoka kwenu?
Chuki Yako ni kwasababu tumewasogeza kwanzia kariakoo Hadi mwanarumango[emoji2][emoji2]
 
Nyie si mnasemaga moshi ni kama new York sijui Amsterdam[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo litakuwa soko jipya nje kabisa ya mji nafikiri nauli shs 500 au 1000 kwa Hice kutoka mjini moshi.
Hata sijui kwa nini wameliweka mbali sana na mjini...
 
Wanaopajua Kilimanjaro wala huwashtia kwa vile mjini Pana manyumba ya zamani mengi .....Huko kijijini ndo kuzuri maana nyumba nyingi ni mpya na za kisasa.

Ni kwamba Moshi ndo kumechoka kuliko vijijini
Moshi vijijin Huko huduma zote zipo,mchaga Hana USHAMBA WA mji kama nyie
Uchagan Hadi supermarket zipo vijijin,bank vijijin,nyumba Hadi ghorofa vijijin Kila hudumaa IPO Kijiji hayo ndo maisha
Sio wenzetu unakuta MTU kuiona l'ami Hadi atembee km 200
 
Moshi vijijin Huko huduma zote zipo,mchaga Hana USHAMBA WA mji kama nyie
Uchagan Hadi supermarket zipo vijijin,bank vijijin,nyumba Hadi ghorofa vijijin Kila hudumaa IPO Kijiji hayo ndo maisha
Sio wenzetu unakuta MTU kuiona l'ami Hadi atembee km 200
😂😂Huo ni ubinafsi wa wale wakina mramba ,mtei .

Maji gani safi mnakunywa wakati meno yanakuwa na kutu sio quality tunataka maji masafi...Mbona kwetu hatuharibiki meno ?

Mjini na nyie ndo mmejazana mbona hamkai kwenu😂
 
Mzunguko wako upi?

Nimekwambia kaangalia idadi wanaoweza kufanikiwa au waliofanikiwa kwa njia ya kukopa ni ndogo mno.
Riba kubwa ni uwizi na utapeli watu mnashindwa daily nyumba zinauzwa
Hao wanakopa bila kufanya survey
Na sio ukope kama foundation,unatakiwa ukope ukiwa tayari una mtaji Ile inakuwa kwa ajili ya kupanua mtaji,Sasa HII ndio Siri ya wachaga kuwanunua nyie WA pwani Hadi mwanaromango
 
kuna siku mchungaji wa Efatha mwingira alikuwa anasema ukiwa sehemu ya kazi na ukaona hakuna mchaga basi iyo sehemu haina pesa na haiwezi kuwa na maendeleo,vilevile mtaani kwako ukiona hakuna duka la mchaga basi ujue huo mtaa hauna pesa,na hata jela ukiingia na kuambiwa hakuna mfungwa ama mahabusu mchaga basi ujue iyo jela ni ya wajinga humo ndani,nikaja kuwaza na kuwazua nikaona ni kweli kabisa,kuna bosi wangu mmoja anabiashara zake anasema akifanya biashara na mchaga anakuwa makini nae na pesa anaiona ila akija mtu asiye mchaga anaweza sema jichagulie na asije kukugua akamruhusu aondoke zake ila akija mchaga anasema tunahesabiana kimoja baada ya kingine mwenyewe anasema akiwa anahesabiana nae akifika kati ama mwishoni mchaga lazima amchanganye wamefika labda mia mbili hamsini utasikia anasema mia mbili na 45 yaani anasemawale jamaa wana akili sana
 
Hao wanakopa bila kufanya survey
Na sio ukope kama foundation,unatakiwa ukope ukiwa tayari una mtaji Ile inakuwa kwa ajili ya kupanua mtaji,Sasa HII ndio Siri ya wachaga kuwanunua nyie WA pwani Hadi mwanaromango
Mmetununua wapi? Wakati unauziwa sehemu za zamani ...Sehemu mingi haijapangika .

Sisi hata tuishi nyumba ya makuti tunajua kuvaa na kunukia ila nyie wapi ..mtu ana pesa daily kuvaa mamitumba manguo makubwa kama mgonjwa wa TB hapa mjini Kuna joto😂😂
 
Hamna maajabu [emoji23][emoji23]sisi hata tukiwa na kidogo tunafurahi ...Tunavaa sana tunapendeza ndo furaha yetu
Talking about kuvaa? Sisi tunawaza kumiliki ma bilion na more assets
Nchi nzima wachaga wapo kutoka na exposure Ktk elimu,mchaga anakuwa kapngwa Kaz mahali kwahyo hapohapo atabuni fursa,na elimu imesaidia wachaga kutawanyika nchi nzima
 
Talking about kuvaa? Sisi tunawaza kumiliki ma bilion na more assets
Nchi nzima wachaga wapo kutoka na exposure Ktk elimu,mchaga anakuwa kapngwa Kaz mahali kwahyo hapohapo atabuni fursa,na elimu imesaidia wachaga kutawanyika nchi nzima
Mabilion unaenda wapi ? Wapi mengi?

Ishi current sio future 😂😂hyo mentality ya ushamba na watu waoga
 
Back
Top Bottom