Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

Haya ndio mazingira ya soko kuu la Samaki Hai

Bado samaki wale wabichi sato na sangara kutoka mara ziwa victoria na wale wa kutoka bukoba moja kwa moja maana moshi kuna soko kubwa la samaki wabichi, kuna mchaga anaitwa lymo huchukua samaki wabichi ziwa rukwa kwa bei chee anapeleka kwao, anatumia scania za friji kama mbili hivi,
 
Hujui tuna nyumba ya mungu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila leo wachaga kama hawapo vile
Imagine[emoji23][emoji23]

Check matajiri wa nchi hii...wanajiita most successful tribe[emoji23][emoji23] ya nyoko labda...

Tanzania ni ile ile umaskini upo kila mahali

JamiiForums1575134899.jpg
 
baran Africa na Asia tunachangomoto sana ktk mazingira ya ufanyaji wa kazi, naonaga kama wale waPakistan wanagereji nzuri wanaunda vitu konki kabisa, wanafyatua adi engine za pikpk na magari, blocks, na vipuli vingi tu tena ni next level lakin ukiangalia ayo mazingira yao sasa dah ovyo ovyo
 
Nyie si mnasemaga moshi ni kama new York sijui Amsterdam[emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni eneo isolated walipopelekwa ,HII kasumba IPO maeneo mengi ya nchi,hâta iringa juz wamachinga walipelwkwa makaburini
 
Nawaona matajiri wa moshi wakiisema bk na stendi yetu ya matope...kumbe kwao ni matopeni...

Kwanza hao samaki wanawatoa wap[emoji23]
Hilo ni Soko temporary,wamepelekwa for temporary
Mbona kwenu kamachumu vumbi Kali na funza hatusemi?
JamiiForums-1953043374.jpg
 
Back
Top Bottom