Wahuni tu hao na wana mrengo wa kunichafuaInasemekana eti hata habari za tanzia unacheka ππ
Ha haaa cha asubuhi oyeeeeUsingizi umekata tangu saa nne nipo macho, sioni hata dalili za kulala....
Nasubiria tu ifike saa 12 nitumie cha asubuhi kutoka Tigo.
Kumbe Wangari ana haters kibao humuπ€£Sawa pakashume mapepe...Kafie mbele hukoo
Am not hater mkuu.Kwa kipi cha maana alichonacho mpaka niwe hater wake!!??nachukia upumbavu pumbavu..Kumbe Wangari ana haters kibao humuπ€£
Kwani mnafahamiana ?Am not hater mkuu.Kwa kipi cha maana alichonacho mpaka niwe hater wake!!??nachukia upumbavu pumbavu..
Oyee ni cha asubuhi hadi saa tatu....Ha haaa cha asubuhi oyeeee
ππ Imebidi nicheke tu, brother inaonekana unakereka sana mtu akikukera nenda kwa jina lake bonyeza ignore button...hauoni tena mambo yake.Am not hater mkuu.Kwa kipi cha maana alichonacho mpaka niwe hater wake!!??nachukia upumbavu pumbavu..
No no...kwan mkuu mbona upumbavu wa mtu ni rahis tu kuujua .Kwani mnafahamiana ?
Aisee. So, Wangari tatizo lake ni nini hasa ?No no...kwan mkuu mbona upumbavu wa mtu ni rahis tu kuujua .
NB
.humu ndan nafahamiana na dogo mmoja tu huyu dogo licha ya kumzid umri ila namkubal sana maana alinishauri niache kazi kisa nalipwa 700k wkati yeye hata kazi hana ila alinipa reasons. nikarud mtaan kuanza upya after 6 months nikapata deal ya kulipwa 4x ya mshahara wa kwanza.Na hiyo yote hatukua tumeonana.So humu ndan najuana na mtu mmoja tu...
Wala sitam ignore mkuu..ππ Imebidi nicheke tu, brother inaonekana unakereka sana mtu akikukera nenda kwa jina lake bonyeza ignore button...hauoni tena mambo yake.
ππππBasi unainjoi, usimind...Wala sitam ignore mkuu..
Ahahahah...Mkuu wewe unanitengeneza nishakuona π maswal yako yamekaa kisaikolojia zaid...But i thnk nimeshatoa sababu hapo juuAisee. So, Wangari tatizo lake ni nini hasa ?
single and searching...Mimi Niko group gani??
Wahuni sanaOyee ni cha asubuhi hadi saa tatu....
Ila Tigo ππ mafalah sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakunaga muda napata shida kama huu, yani nna umbea halafu nakosa wa kumpa, yani nateseka.....nimeshaongea mwenyewe hadi nimechoka
Jamaa ni msimbe.Kwa hiyo wewe mkuu upo kundi gani hapo??? Tuanzie kwako .
Mbona hunaga shida na mtu?? Au sijawai kukuona kwenye tisini zako.?Babe i thnk naishi kwenye dunia yangu ..mimi sina hata hofu na mtu eti...relax! Napenda zaidi maadui kuliko marafiki wanafiki[emoji3059]!