Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Rudi shule basi ujifunze kuandika vizuri mkuu .byeKero hata hata kuku ignore tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi shule basi ujifunze kuandika vizuri mkuu .byeKero hata hata kuku ignore tu
Jinsi ilivyo kero mpaka napata kigugumizi yanRudi shule basi ujifunze kuandika vizuri mkuu .bye
Hehehehe am here to stay .nabadooJinsi ilivyo kero mpaka napata kigugumizi yan
Kwan una pengine pa kwenda??Ndio ushafika hapaHehehehe am here to stay .nabadoo
Shost bye ...Kwan una pengine pa kwenda??Ndio ushafika hapa
Extrovert is ma buddy.....Asante sana chairperson
Mkuu ningeshangaa kama list yako angekosekana ndugu yangu Extrovert ....Huyu jamaa umemuweka kundi lenyewe kabisaaa...Halafu sasa, akicomment basi ni masihara 99%..ila asipocomment atalike...na huwa ananishangaza sana maana hata likes zake nyingi ni za kucheka tu hata kwenye vitu visivyochekesha....
Ukiona kwenye post yako wamelike wadau hata mia na kicheko kimoja...usipate tabu kujua huyo mmoja aliyecheka kati ya hao 100 ni Extrovert..Sijui ana bandama kubwa!!!
Additional point
Inaonekana mtoa mada una mzimia sana/ unamchukia sana Wangari Maathai ....moja kati ya hayo ni majibu.
Sawa pakashume mapepe...Kafie mbele hukooShost bye ...
Msambaa una manenooo 🤣🤣Unaona mpaka anasahau siku.
Me katika vitu ambavyo sitakaa nipate joto la makalio, ni kuwawazia member wa humu.
Haya, katutaja...kapata faida gani?
Akwendree zake huko na usponyo wake.
Tena leo nina mood nzuri ndo mana sitaki kumchamba sana huyo.
Labda baadae nikipata stimu...
👍👍👊👊👊👋💪Mnanimaindi sio?😅😅😅 mie kufurahi ndio jadi yangu
👍Asilimia kubwa ya uliowataja ndio wanaoifanya JF iwe JF, otherwise JF isingekuwa JF
😲😲🤣🤣We kibwengo hebu tulia nyani wewe
Hiyo niachie mimi..ntam block kote kote kuanzia yeye mpka mods wenyeweKitendo cha
Wangari Maathai
Kuwepo kila group inatosha Mods kum block[emoji2089][emoji2089]
🙄🙄🙄🙄 Umenipiga jungu sio???Evelyn Salt
mimi,napenda kusugua K sanaaaa,..unaniweka kundi gan???
Hahaha amekukumbusha iliwaka moto sio![emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] Umenipiga jungu sio???
Kwanini uteseke?Hakunaga muda napata shida kama huu, yani nna umbea halafu nakosa wa kumpa, yani nateseka.....nimeshaongea mwenyewe hadi nimechoka
Sio wa kuumwaga huu, natakiwa nimwambie mtu ambae moyo wake una kufuli....Kwanini uteseke?
Shusha huo umbea