Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabid niutafte huo uzi aisee bas na😷Kikoba tena[emoji23][emoji23]
Kitaongezwa kwenye list[emoji1787][emoji1787][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mbona sijawah kujishaua jamani😀😀! Anywys...sasa n wale wanaondika nna miliona 100 nifanye biashara gan tuwaweke wapi?🤣Kwenye huo uzi ndo kasema sijui madini....
Anyway mi mpaka sasa hivi bado nastaajabu, kwanini mtu akupangie cha kukomenti?
Hata kama ni kujishaua si wewe, inahuu[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sijanywa...nimepigwa jua balaa hapa!Mama ni wewe au Savanna?
pole shogaake mieSijanywa...nimepigwa jua balaa hapa!
Hahaha bora mkuu we umeligundua hiloo[emoji16]
Kuna watu hadi wanaiota JF na hizi hizi ID fekerooo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mnanimaindi sio?😅😅😅 mie kufurahi ndio jadi yanguAsante sana chairperson
Mkuu ningeshangaa kama list yako angekosekana ndugu yangu Extrovert ....Huyu jamaa umemuweka kundi lenyewe kabisaaa...Halafu sasa, akicomment basi ni masihara 99%..ila asipocomment atalike...na huwa ananishangaza sana maana hata likes zake nyingi ni za kucheka tu hata kwenye vitu visivyochekesha....
Ukiona kwenye post yako wamelike wadau hata mia na kicheko kimoja...usipate tabu kujua huyo mmoja aliyecheka kati ya hao 100 ni Extrovert..Sijui ana bandama kubwa!!!
Additional point
Inaonekana mtoa mada una mzimia sana/ unamchukia sana Wangari Maathai ....moja kati ya hayo ni majibu.
Washamba hawatambui umuhimu wetu.Inamaana wavuta ganja hatuna kundi letu?
Mimi nipo mkuu 😁😁Nafurahi kuona umerudi maana ulipotea sana mkuu
Vp Swalehe hajambo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Hahah...yup
Kama kwenye ule uzi sijui ulicomment nini kile then wakaanza kukuandama na hiyo sent from my 'TECNO KA7'...
Some folks are so last year kinda...wao wanaona black and white tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Mbona sijawah kujishaua jamani[emoji3][emoji3]! Anywys...sasa n wale wanaondika nna miliona 100 nifanye biashara gan tuwaweke wapi?[emoji1787]
Niko hapa Bambalagah...njoo uchunwe.Mnagongea wapi cheers nijikaribishe kuwachungulia?
Dahhhhhhh.Niko hapa Bambalagah...njoo uchunwe.
Ni kama wale mashabiki wanao ingia bure Purposedly kwenye vibanda vya mipira ili kuhamasisha wengine wawepo ? Kutokana na Styles zaoAsilimia kubwa ya uliowataja ndio wanaoifanya JF iwe JF, otherwise JF isingekuwa JF
Kero hata hata kuku ignore tuNikusaidie? Click ignore button uendelee kufaidi mema ya jf!...easy tu mbona!🥰