Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

Kwenye huo uzi ndo kasema sijui madini....


Anyway mi mpaka sasa hivi bado nastaajabu, kwanini mtu akupangie cha kukomenti?

Hata kama ni kujishaua si wewe, inahuu[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mbona sijawah kujishaua jamani😀😀! Anywys...sasa n wale wanaondika nna miliona 100 nifanye biashara gan tuwaweke wapi?🤣
 
Hahaha bora mkuu we umeligundua hiloo[emoji16]

Kuna watu hadi wanaiota JF na hizi hizi ID fekerooo

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hahah...yup

Kama kwenye ule uzi sijui ulicomment nini kile then wakaanza kukuandama na hiyo sent from my 'TECNO KA7'...

Some folks are so last year kinda...wao wanaona black and white tu
 
Asante sana chairperson

Mkuu ningeshangaa kama list yako angekosekana ndugu yangu Extrovert ....Huyu jamaa umemuweka kundi lenyewe kabisaaa...Halafu sasa, akicomment basi ni masihara 99%..ila asipocomment atalike...na huwa ananishangaza sana maana hata likes zake nyingi ni za kucheka tu hata kwenye vitu visivyochekesha....
Ukiona kwenye post yako wamelike wadau hata mia na kicheko kimoja...usipate tabu kujua huyo mmoja aliyecheka kati ya hao 100 ni Extrovert..Sijui ana bandama kubwa!!!

Additional point
Inaonekana mtoa mada una mzimia sana/ unamchukia sana Wangari Maathai ....moja kati ya hayo ni majibu.
Mnanimaindi sio?😅😅😅 mie kufurahi ndio jadi yangu
 
Hahah...yup

Kama kwenye ule uzi sijui ulicomment nini kile then wakaanza kukuandama na hiyo sent from my 'TECNO KA7'...

Some folks are so last year kinda...wao wanaona black and white tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
Hao wote ni shughuliless...humu ndo pa kupumulia[emoji16]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mbona kazi sana, kwamba kuna wale wanaopenda kuelezea issues zao na maisha yao kwa ujumla. Waacheni jamani wengine tunajifunza kitu, sio kila mtu anaweza kuandika mambo yake, matamanio yake, michongo yake.

Sasa wale wanaoweza kujiachia na kazi/michongo yao tuwaache, hawajishaui hata..wanatoa experience zao, na sisi tunapata madini. Japo kila kitu kwa kiasi bwana...dah!
 
Asilimia kubwa ya uliowataja ndio wanaoifanya JF iwe JF, otherwise JF isingekuwa JF
Ni kama wale mashabiki wanao ingia bure Purposedly kwenye vibanda vya mipira ili kuhamasisha wengine wawepo ? Kutokana na Styles zao
 
Back
Top Bottom