Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nikusaidie? Click ignore button uendelee kufaidi mema ya jf!...easy tu mbona!🥰Huyu Wangari Maathai ni mpaka kero yan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusaidie? Click ignore button uendelee kufaidi mema ya jf!...easy tu mbona!🥰Huyu Wangari Maathai ni mpaka kero yan
Nakufata huko huko tuone kama utaweza!Haswaa
Kundi namba 10 ni kidukuliloUngetaja mifano ya members katika kila kundi.
Hizi chuki kwako zinatokana na uchangiaji wako jukwaa la siasa au nini mpendwaNikusaidie? Click ignore button uendelee kufaidi mema ya jf!...easy tu mbona!🥰
Hata unitengue vipi sitenguliki.Kutokana na mamlaka nliopewa ya Kisheria, Katika Ibara ya 15 Kifungu (A) natengua uteuzi wa wateule wote humu katika huu uzi.
Kwasababu ya kutotajwa Magonjwa Mtambuka na ndege JOHN kwenye list ya "VIHEREHERE/MASHANKUPE/WANDAKUNDAKU WA JAMIIFORUMS".
😀😀😀 mimi pia sipendi mtu anifagilie..napenda hivi zaidi akili huwa inakuwa active...usipende kupendwa pendwa! Utakosa directionHizi chuki kwako zinatokana na uchangiaji wako jukwaa la siasa au nini mpendwa
Kuna mada za pombe kali za bei mbaya pia, kuna mada ya magari mtu anadai hawezi panda hizi IST yeye boy wake ana BMW X6.
Hiyo ya kubishana na Jack of all trades master of none ilitokea kwenye ile issue ya vocha za kulipwa na app gani sijui miaka mitatu iliyopita. Kuna jamaa nahisi alipigwa ban ndefu wakati alikuwa sahihi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna mada za pombe kali za bei mbaya pia, kuna mada ya magari mtu anadai hawezi panda hizi IST yeye boy wake ana BMW X6.
Hiyo ya kubishana na Jack of all trades master of none ilitokea kwenye ile issue ya vocha za kulipwa na app gani sijui miaka mitatu iliyopita. Kuna jamaa nahisi alipigwa ban ndefu wakati alikuwa sahihi.
Hahaha bora mkuu we umeligundua hiloo[emoji16]Ukiwa serious na yanayoelezewa hapa unaweza pata wakati mgumu kuwaelewa binadamu wenzako...
Fanya Jeiefu kama kijiwe cha kutoa stress, maisha yatakuwa simpo tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Inafurahisha [emoji1787] mbona wang’ari ummetaja sana jaman nasubiri aje
Amina.Mpwa, tumpuuze huyu!
Ndo kukosa kazi kwenyewe sasa.Duh ila jamaaa hongera sana
Umewezaje kuwafuatilia hao wote na kupanga makundi?
Yaan ni hatua kwa hatua step by stepMwamba una kumbukumbu sana aisee [emoji1787][emoji3]..
It's not fair at all[emoji848]Kwa hiyo umeamua kumuweka Wangari Maathai makundi yote, kwamba yeye anawakilisha makundi yote...mbona sio poa hata asee!
Mi nahisi madini Geita, huoni hiyo sentensi imerudiwa rudiwa[emoji848][emoji848]Hizi chuki kwako zinatokana na uchangiaji wako jukwaa la siasa au nini mpendwa
Mimi sikutegemea nimeshangaa na kustaajabu mnoo mnoo[emoji134][emoji134]Aisee kumbe watu mwafatilia nyendo za kila member humu...
Hahah, kanikumbusha tu ile thread ya Jack of all trades, watu waliompinga walitembezewa ban sio poa na walikua sahihi sasa. 😀Yaan ni hatua kwa hatua step by step
Mimi siwezi kukumbuka mavitu yote haya ya jf...[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app