Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mbona wangari mstaarabu Sana mkuu.au umemfananisha??No no...kwan mkuu mbona upumbavu wa mtu ni rahis tu kuujua .
NB
.humu ndan nafahamiana na dogo mmoja tu huyu dogo licha ya kumzid umri ila namkubal sana maana alinishauri niache kazi kisa nalipwa 700k wkati yeye hata kazi hana ila alinipa reasons. nikarud mtaan kuanza upya after 6 months nikapata deal ya kulipwa 4x ya mshahara wa kwanza.Na hiyo yote hatukua tumeonana.So humu ndan najuana na mtu mmoja tu...
Umesahau Waganga, walozi
Umewahi kurogwa?Ni yapi hayo mzee wangu
Hao mbwa deni lao na mimi ni mpaka kifo
Alipigwa ban matata sana mpaka akaweweseka!! sijui km atarudi ulingoni!! si unajua Wakenya wana hasira sana!! Mara ya mwisho nilimuona TMK Hosp. anapita ivi kwenye wheel chair sasa sijui ndo nini ile??Kwani Wangari Maathai alienda wapi huyu bibie mjuaji?
We jamaaaAlipigwa ban matata sana mpaka akaweweseka!! sijui km atarudi ulingoni!! si unajua Wakenya wana hasira sana!! Mara ya mwisho nilimuona TMK Hosp. anapita ivi kwenye wheel chair sasa sijui ndo nini ile??
Atakuwepo kwa I'd nyingineKwani Wangari Maathai alienda wapi huyu bibie mjuaji?
Huyo demu kila kitu anajuaAlipigwa ban matata sana mpaka akaweweseka!! sijui km atarudi ulingoni!! si unajua Wakenya wana hasira sana!! Mara ya mwisho nilimuona TMK Hosp. anapita ivi kwenye wheel chair sasa sijui ndo nini ile??
MwandamiziMbona huyo Wangari Mathai yupo kila kinda. Yeye anapewa cheo gani?
Alijifungua mtoto wa kiume akavuta yule!! siku hizi ukiomuona mweee anatia hurumaHuyo demu kila kitu anajua
Mwingine huyu hapa ...Daaa!! wewe umekulia humu humu mpaka umekuwa maarufu!! hii picha yako ni halisi ni kama nakuonaga kariakoo posta wewe!! na sometimes sana palee mtaa wa sikukuu ---COmforty Dispensary !! kwa Saju Hotel au siyo wewe Mzee??Wahuni tu hao na wana mrengo wa kunichafua
Haupo mbali na ukweli😅Mwingine huyu hapa ...Daaa!! wewe umekulia humu humu mpaka umekuwa maarufu!! hii picha yako ni halisi ni kama nakuonaga kariakoo posta wewe!! na sometimes sana palee mtaa wa sikukuu ---COmforty Dispensary !! kwa Saju Hotel au siyo wewe Mzee??
Kazee kana complications sana haka...vya namna hii kuoa huwaga shida sana.kuna hili zeee la kiingedha cha vibomba uchwara vya kulazimisha vile!! unajua kabisaaa huyu hayuko fluent ktk hili lkn analazimisha tu! mpaka wadhungu wenyewe hawaelewiga...... sijui kirangi kirang'a mtanisahihisha huko pancha .....or pancho vile!! Kira, any way lkn ivo!
Nanu huyo mkuu?Alijifungua mtoto wa kiume akavuta yule!! siku hizi ukiomuona mweee anatia huruma