Haya ndio ya makundi ya watu wa JF na tabia zao

Mwamba una kumbukumbu sana aisee [emoji1787][emoji3]..
 
The EXQUISITE THREAD.......👍👍👊👊👍👍👍🤣🤣🤣🤣

*******************
Mkuu Wangari Maathai ametajwa Sana.....🤣🤣🤣

Regards to EXTROVERT !!
 
So kumbe hatutakiwi kuandika tunachofeel au? Kwamba niache jukwaa za siasa au..pole kwa kuteseka..am here to stay👊
Hapana mkuu....sijamaanisha hivyo...🤣🤣

Umekwenda mbali mkuu....mimi sinyongi uhuru wa WENGINE....

Nilichosema tu umetajwa sana katika huu uzi wenye kuchekesha mkuu wangu Wangari Maathai....

Relax mkuu wangu🤣
 
Hapana mkuu....sijamaanisha hivyo...🤣🤣

Umekwenda mbali mkuu....mimi sinyongi uhuru wa WENGINE....

Nilichosema tu umetajwa sana katika huu uzi wenye kuchekesha mkuu wangu Wangari Maathai....

Relax mkuu wangu🤣
Mie wala hata sielewi ni nn...bas naenjoy tu kwa raha zangu..tena nije nitafte tsht yangu ya chadema every satoo natinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…