Hahah!!Kuna ndugu yangu huyu Mndali ndanyelakakomu hili jina pasi kutumia Web siwezagi kulitag na hata kulisoma sijawahi limaliza naishia Mndali tu.
Hahahaaa. Mie pia namkubali sana aiseee. Hana maneno mengi kamwe.Hahah!!
Umenikumbusha mtu wangu wa nguvu huyo jinalake naliangaliaga tu sidhani ata kama nimewahi kulisoma...
Enzi za saniKuna jamaa anajiita
Mjambaji
Pia kuna PROF NDUMILAKUWILI huyu jamaa Avatar na ID yake huwa nakumbuka mbali
Numbisa wangu!
Mie naonaga uvivu kulisoma lote rafiki naona kama siliwezi vile, ila nitalipitia kwa umakini zaidiHahahaaa. Mie pia namkubali sana aiseee. Hana maneno mengi kamwe.
Basi tuko sawa rafiki. Mie najuaga Mndali tu hilo lingine sinaga habari nalo kabisaaa. [emoji85].
Ila ukalisome bwana halafu uje kunifundisha namna ya kulitamka. [emoji12]
Hahahaa. Wacha uvivu bwana na wewe. [emoji12] [emoji12]Mie naonaga uvivu kulisoma lote rafiki naona kama siliwezi vile, ila nitalipitia kwa umakini zaidi
Avater yake eti mtu anapika kwa kutumia gesi ya kuungia vyuma
Enzi za sani
Acha tu nduguEnzi za sani
Hahah!!! Anamaliza tu gesi bure...Hahahaa. Wacha uvivu bwana na wewe. [emoji12] [emoji12]
Siku ya kwanza kuiona nilicheka sana ujue. Sababu pale sijui kama chakula chaweza iva rafiki.
Basi najipa kazi mie nitalisoma halafu nitakufundisha wewe. Hahahaaaa.
Kweli kabisa hamna anachofanya pale.Hahah!!! Anamaliza tu gesi bure...
Poa wewe lifatikie utanipa somo na mimi
Ndio maana nakupendaga [emoji85]Kweli kabisa hamna anachofanya pale.
Ila rafiki unapenda dezo aiseee. [emoji85] [emoji85]. Na kwa kuwa ni wewe wacha nikalimeze halafu nije kukupa njia za namna ya kulisoma hadi kulimaliza. Hahahaaaaa.
Hahahaaa. Sijui aliwaza nini kwa kweli.Hahah!! Na mimi kuna siku alinipa like ilibidi niiscreenshot kabisa mana id ilinishtua kidogo