Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Haya ndiyo mambo ya ajabu niliyowahi kuona na kushuhudia kwa macho yangu, sitoyasahau katika maisha yangu

Sitasahau nilipolala makabulini kisa kutafuta utajili usiku akaja Simba Kwa macho yangu namuona Simba usiku WA manane tena makabulini nikajikaza kiume baada ya mda akaja mtu na gari mpya Huku kafungulia nyimbo ya Rose mhando nibebe na ni usiku nimelala makabulini ghafla akapotea Yani usiku huo niliuona kama nimelala mwaka makabulini utafutaji huu Acha Tu mauza uza kibao
Ulizipata?
 
Sitasahau nilipolala makabulini kisa kutafuta utajili usiku akaja Simba Kwa macho yangu namuona Simba usiku WA manane tena makabulini nikajikaza kiume baada ya mda akaja mtu na gari mpya Huku kafungulia nyimbo ya Rose mhando nibebe na ni usiku nimelala makabulini ghafla akapotea Yani usiku huo niliuona kama nimelala mwaka makabulini utafutaji huu Acha Tu mauza uza kibao
Ulifanikisha suala lako au uliishia njiani?
 
ee bwana Nikiwa chuo miaka flani ,niliopoa pis ya chuo kozi tofauti na Mimi. .tukawa tuna date nae,. Nikumbuka siku Moja Ile pisi ilikuja geto usiku ,muhuni nikajikoki kula mzigo.
Bas bana badae usiku nkala mzigo then tukalala ,Ile mida ya usku nikawa naota ndoto pisi inanikaba Tena inanikaba huku inacheka ,mim sio mtu Wa dini sana japo nimelelewa kikristo ,nikaanza kikemea kwa jina la Yesu ndio mm kupata ahueni kushtuka hiv pisi siooni kitandan kumbaka hapo ni ghetto usiku. Afu night Kali ,kwanza nikahisi hii ni ndoto ,kujichek mbna sipo ndotoni ,nilikaa kama dk 20_30 mtu simuon sio yeye ,Wala nguo zake ,hata viatu sioni duuh...nilitetemeka vibaya mno ,,...yule bint Toka siku Ile usiku sjawai muona .nikajaribu kuulizia watu Wa kozi wote wanakataa hamna bint WA namna hiyo ,piga namba zake hapatikani ,lkn nakumbuka tulipiga story za chuo ,kipindi kile boom lilichelewa tukawa tunafarijiana

Toka siku hiyo skuwai lala geto peke yangu mpaka namaliza chuo.

Aliniacha na maswali mengi sana
 
Hii iliwahi kututokea tulipokuwa wanafunzi wa shule Moja ya day huko Morogoro. Ni kweli paka zilikuwa nyingi, zinapiga kelele na kulia usiku kama watoto. Pia zilikuwa zinatembea kwenye bati kwa vishindo vikubwa kama vya Binadamu. Siku Moja tukakubaliana tuwaue kwani tulipanga wanafunzi 4 wavulana watupu kwenye hiyo nyumba.

Jamaa Mmoja akalipiga na kuliua paka Moja. Hahaaaa, Mzee J baba mwenye nyumba akawa mkali kwanini tumeua paka wake. Akatuwashia moto kweli Jumamosi Ile. Ile nyumba ilikuwa na mauza uza mengi sana. Mungu katulinda na kutusaidia sana na kimsingi ndipo nilipopataga pia jini mahaba pale. Haya masuala ya kiroho sema sana ila omba yasikukute.
Ulilila jicho jini mahaba?
 
Haya mambo unaweza bisha sana lakini walinzi wanajua binafsi nimeyaona nilipopewa jukumu la kulinda kwa mda hadi mlinzi apatikane ilikua ni kulinda mnara wa simu njombe huko upo karibu na makaburi.

Ikifika saa 6 usiku hadi kama saa 9 ndo unaona watu wanaenda makaburini wapo na moto tena wapo uchi njinsia zote, mara unakuta umeme umekata tu wote wa tanesco na jenereta ila sehemu zingine upo
 
ee bwana Nikiwa chuo miaka flani ,niliopoa pis ya chuo kozi tofauti na Mimi. .tukawa tuna date nae,. Nikumbuka siku Moja Ile pisi ilikuja geto usiku ,muhuni nikajikoki kula mzigo.
Bas bana badae usiku nkala mzigo then tukalala ,Ile mida ya usku nikawa naota ndoto pisi inanikaba Tena inanikaba huku inacheka ,mim sio mtu Wa dini sana japo nimelelewa kikristo ,nikaanza kikemea kwa jina la Yesu ndio mm kupata ahueni kushtuka hiv pisi siooni kitandan kumbaka hapo ni ghetto usiku. Afu night Kali ,kwanza nikahisi hii ni ndoto ,kujichek mbna sipo ndotoni ,nilikaa kama dk 20_30 mtu simuon sio yeye ,Wala nguo zake ,hata viatu sioni duuh...nilitetemeka vibaya mno ,,...yule bint Toka siku Ile usiku sjawai muona .nikajaribu kuulizia watu Wa kozi wote wanakataa hamna bint WA namna hiyo ,piga namba zake hapatikani ,lkn nakumbuka tulipiga story za chuo ,kipindi kile boom lilichelewa tukawa tunafarijiana

Toka siku hiyo skuwai lala geto peke yangu mpaka namaliza chuo.

Aliniacha na maswali mengi sana
Dah aise hii dunia Kuna viumbe vya ajabu tunaishi navyo mkuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo unaweza bisha sana lakini walinzi wanajua binafsi nimeyaona nilipopewa jukumu la kulinda kwa mda hadi mlinzi apatikane ilikua ni kulinda mnara wa simu njombe huko upo karibu na makaburi.

Ikifika saa 6 usiku hadi kama saa 9 ndo unaona watu wanaenda makaburini wapo na moto tena wapo uchi njinsia zote, mara unakuta umeme umekata tu wote wa tanesco na jenereta ila sehemu zingine upo
Kweli kabisa mkuu nitaileta story ya bwana mmoja nilimkuta anabaka ng'ombe

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sister yangu alishawahi kutana na hili tatizo (anaona vitu ambavyo havipo)

Mnaweza mkawa naye pamoja afu ghafla akaanza kupiga kelele kuwa "niache, niache" huku akijificha kama ishara ya mtu anayetaka kumchukua bila ridhaa yake.

Anakuwa serious analia na kulia na sometimes katika purukushani unakuta mpaka anaji jeruhi, anasema watu anaowaona wanatisha wana meno marefu na nywele nyingi wanamuambia twende nyumbani

Mara adai kutokewa na watu waliokufa wakisema "twende ambapo tupo sisi"

Makuzi yetu ya kiafrika na uduni wa elimu ulifanya watu wakubali majibu yasio sahihi kuwa ni ushirikina kwa kuyaamini macho na ubongo wetu.

Lakini tulipoenda kwa Doctor ambaye ni mbobezi kwenye maswala ya mental health alitusaidia na sasa hilo tatizo halipo tena

Sayansi inasema muda wote haupaswi kuyaamini macho, masikio na ubongo wako

They can play fool sometimes
Sister yako alikuwa na nyege tu! (Sorry kama nimekukwaza)
Hakuwa na tatizo la akili wala nini niamini mimi pia ni daktari mstaafu wa magonjwa ya akili.
 
Nilifanikisha lakini hazikudumu baadae nikaenda kaliwa huko nikaambiwa nitafute nywele za chizi na kweli nikakamata chizi nikampeleka salon nikachukua nywele dah pesa hizi Mungu ndio anajua tunayopitia watu wake
Hatari kabisa
 
Kuna magonjwa yanawaattack watu very rarely sasa kutokujua huko(kukosa elimu) kunapelekea watu kudhani ni ushirikina kumbe sio.Miaka minne nyuma nilianza kusikia sauti za ajabu masikioni pia mlio wa kengele yani imagine kengele inalia masikioni mwako wawezo kuhisi umerogwa kumbe ni ugonjwa unaitwa tinnitus sasa magonjwa kama haya ni very rare kuyasikia lakini yapo.
 
Haya mambo unaweza bisha sana lakini walinzi wanajua binafsi nimeyaona nilipopewa jukumu la kulinda kwa mda hadi mlinzi apatikane ilikua ni kulinda mnara wa simu njombe huko upo karibu na makaburi.

Ikifika saa 6 usiku hadi kama saa 9 ndo unaona watu wanaenda makaburini wapo na moto tena wapo uchi njinsia zote, mara unakuta umeme umekata tu wote wa tanesco na jenereta ila sehemu zingine upo
Hivi mnashindwaga kurecord video au kupiga picha mtuletee tuone?
 
Back
Top Bottom