Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
- Thread starter
- #21
Lotion hiyo sijui ngoja niangalie imeundwa kwa chemicals zipi..Mmh. Hayazidishi kweli sababu yalivyo mepesi.
Mie natumia Enchanteur body lotion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lotion hiyo sijui ngoja niangalie imeundwa kwa chemicals zipi..Mmh. Hayazidishi kweli sababu yalivyo mepesi.
Mie natumia Enchanteur body lotion
umeniwah[emoji23]Haters watasema wewe mwanaume wa Dar 😀
Binafsi nashukuru kwa somo
Itabidi nianze ila napata shaka kama mimi kila nikitaka kwenda Ofisini lazima nitupie na kapoda kidogo sasa hilo futa la nazi litaweza himili poda yangu au ndio nayo inabidi niache?unaweza kudhani hivyo,ningeweza kueleza kwa kirefu Sana but lugha yake ya kidaktari watu wasingeelewa chemical za coconut oil,kwanni inasaidia..nikipata muda weekend nitaeelezea kwa kirefu..
Sawa Mkuulotion hiyo sihijui ngoja niangalie imeundwa kwa chemicals zipi..
✌okay hakikisha unajifuta vizuri hadi ukauke ndo u apply mafuta..and siku moja moja hata kwa week nawa uso na maji ya moto...ukianza nambie...naeza kukuzawadia kitu
Morgan nawe mwanaume WA Dar kama Mimi???hahaumeniwah[emoji23]
hahahahaha nlkua nataka nseme uzi wa wanaume wa dar naona kanitime kanivunja moyoMorgan nawe mwanaume WA Dar kama Mimi???haha
poda sumu nawe, au hutaki kua na ngozi kama yangu? hah shauri yako.. urembo sio gharama, muulize jokate anapaka nini.. au flaviana matata.. by the way sijui skin tone yako.. mimi mweusiItabidi nianze ila napata shaka kama mimi nikitaka kwenda Ofisini lazima nitupie na kapoda kidogo sasa hilo futa la nazi litaweza himili poda yangu au ndio nayo inabidi niache?
Hahahaaaaa. Duuh sidhani kama hawapaki kitu wale bana.poda sumu nawe,au hutaki kua na ngozi kama yangu??hah shauri yako..urembo sio gharama,muulize jokate anapaka nini..au flaviana matata..by the way sijui skin tone yako..mimi mweusi
haha kama ndio hivyo sawa.. hongera kama unavaa hijab, miwani ile sunglasses.. ngoja nikomee hapa, washaanza kuniita mwanaume WA DarHahahaaaaa. Duuh sidhani kama hawapaki kitu wale bana.
Mie rangi yangu ni hiyo hapo kwenye Avatar.
hah sema tu mzee, me PIA nilikua Gangster.. lakini now mniache kidogohahahahaha nlkua nataka nseme uzi wa wanaume wa dar naona kanitime kanivunja moyo
hahahahaha ila kuna vijana wapo sirias wanasema kua na chunus ndo uanaumehah sema Tu mzee,me PIA nilikua Gangster..lakini now mniache kidogo
Hahahaaa. Ahsante sana Mkuu.haha kama ndo hivyo sawa..hongera kama unavaa hijab,miwani ile sunglasses..ngoja nikomee hapa,washaanza kuniita mwanaume WA Dar
hizo Ni bange..hahhahahahaha ila kuna vijana wapo sirias wanasema kua na chunus ndo uanaume
jambo zuri,Leo watakuona unajisumbua bure,hah lakini wao wataanza kuzeeka visura vimejikunjaaaaa,sisi ndo kwanza babfaces..kama natania but faida kubwa ya kutunza ngozi,huzeeki mapema..mwalimu wangu WA secondary,bibi WA miaka 60,but mzuri kuliko mabinti WA 19,and younger than them..Hahahaaa. Ahsante sana Mkuu.
Kujali afya ya ngozi sidhani kama ni jambo baya Mkuu.
Hahaaa. Kwa hili watakuelewa wale wachache wanaopenda ngozi zao ila kina sie mmh.jambo zuri,Leo watakuona unajisumbua bure,hah lakini wao wataanza kuzeeka visura vimejikunjaaaaa,sisi ndo kwanza babfaces..kama natania but faida kubwa ya kutunza ngozi,huzeeki mapema..mwalimu wangu WA secondary,bibi WA miaka 60,but mzuri kuliko mabinti WA 19,and younger than them..
okay ndugu..karibu uleHahaaa. Kwa hili watakuelewa wale wachache wanaopenda ngozi zao ila kina sie mmh.
Sawa Mkuu sio mbaya inapendeza sana.
karibuasanteee mkuu