Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
- Thread starter
- #81
binti kiziwi kuja hapa kwa dokta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miyeyusho sana wewe!binti kiziwi kuja hapa kwa dokta
Je Kwa Uso wenye ngozi kavu wapake nini? Asante sana.Nimesema Extra Virgin coconut oil ndugu .. ni yale ambayo hayajachangwanywa na chochote .. supermarket yapo buku 5, but Mimi naonaga kama ya ujanja tu .. nanuaga uswahilini .. ukiwa na chupa buku,kama huna chupa, buku jero .. kama Una muda, hata WW unaweza ukachemsha utuuzie.. KARIBU
Enheee tell me.Forest Hill Halafu ukila ukashiba uje hapa tujadili kuhusu mafuta ya nazi.
Mpenzi wako wa kike au wa kiume??Miyeyusho sana wewe!
Typical mwanaume wa Dar, anyways uzi mzuri sana. Hongera kwa kujali ngozi.
Share skin routine yako nimpe mpenzi wangu.
Halafu my skin is super dry tunafanyaje?
Mkuu kabla ya kukwambia Cha kufanya kwanza tujue muonekano wa ngozi yako,kama niJe Kwa Uso wenye ngozi kavu wapake nini? Asante sana.
Wa kike? haha nigga* I am straight asf..!Mpenzi wako wa kike au wa kiume??
Mi yangu ni tone gani hapo?Mkuu kabla ya kukwambia Cha kufanya kwanza tujue muonekano wa ngozi yako,kama ni
Light.
Fair.
Medium.
Deep (Dark)
Na kama wewe mbantu kama Mimi,kwenye huu weusi napo tone(shades) zime tofautiana Kuna,
caramel,
almond,
hazelnut,
toffee,
java,
espresso
ebony
deep ebony
Kila aina ya ngozi(tone) Ina treatment yake..
Mi yangu ni tone gani hapo?
Mi yangu ni tone gani hapo?
Cheupe dawa..Mi yangu ni tone gani hapo?
Mwambie atafute Hela tu hahaha...Wa kike? haha nigga* I am straight asf..!
Nataka kwa kiingereza 😀Cheupe dawa..
White medicine...Nataka kwa kiingereza 😀