Haya ndiyo ya kufanya kama una uso wenye mafuta

Haya ndiyo ya kufanya kama una uso wenye mafuta

Mzee kumbe we ni dume?dah haya bwana,yaan unaenda had kwa doctor,..nmekubali,..au labuda mi mushamba ngosha,..hahah,

Mi hata mafuta sipakag daah,mi nkioga na sabun fulesh imetoka hyo,sasa nianze tembea na wipes mkuu si watanambia mi mchele mchele au niwe na vichupa vya wese la nazi ndan hata dem wangu atanimaindi

Anyway huu uzi haunifai
 
Mzee kumbe we ni dume?dah haya bwana,yaan unaenda had kwa doctor,..nmekubali,..au labuda mi mushamba ngosha,..hahah,

Mi hata mafuta sipakag daah,mi nkioga na sabun fulesh imetoka hyo,sasa nianze tembea na wipes mkuu si watanambia mi mchele mchele au niwe na vichupa vya wese la nazi ndan hata dem wangu atanimaindi

Anyway huu uzi haunifai
haha kweli mzee
 
View attachment 722088
Natumai wote ni bukheri wa afya mimi pia nipo okay kuna mdau kwenye post moja kauliza atumie nini,ana uso wenye Mafuta mengi oily face mimi pia nina tatizo kama Hilo.

Lakini now sio tatizo tena najua kuhudumia ngozi yangu daily iwe healthy au mnataka na kapicha ka ushaidi mimi ni mmoja ya wanaume ambao walikua wanaamini kupaka mafuta ni mambo ya kike but miaka mitatu ya nyuma nikaona too much mda wote uso una mafuta,kujifuta kila dakika nikafanya research now kama wewe una tatizo kama langu tumia njia hizi.

1: Mafuta ya Nazi.
mafuta ya nazi ndio mchawi,unaweza ukashangaa why mafuta ya nazi unahisi kama utazidisha tatizo hapana mafuta ya nazi yanakinga ngozi na bacteria,mwanga wa jua pia yapo thick ukipaka uso mda wote unakua dry..extra virgin coconut oil ndio mazuri zaidi ni yale yasiyochanganywa na kitu chochote..

2:Usijishike shike uso
mafuta mengi yanatoka sababu nyingine ni kua na ngozi iliyokufa,ukiwa una shika shika uso,unapeleka uchafu ,bacteria usoni, kama unahisi mafuta yamezidibusijishike tumia cleanser paper tena jifute utosini,kwenye pua ,na kidevunibplease usijishike uso u want stay dry and nice do as i say.

3: Nawa uso mara mbili kwa siku hili swala niliambiwa na daktari wa ngozi,kua kama utanawa mara kwa mara ukidhani unaondoa mafuta,ndio unazidisha coz mwili Wako asili yake mafuta,mda wote ukiyatoa,yanarudi kwa Kasi..

4:drink alot of water and fanya mazoezi..

ili temperature kwenye mwili iwe balanced na kuondoa uchafu,dying skin watu watakushangaa.


MATOKEO: Nina miaka miwili nafanya hivyo,ukiniona uso kama msanii mwenye mafanikio haha kidding uso kama mtoto so soft,sina kipele cha joto,uso hauna tena mafuta wewe mwenyewe ukikutana na mimi utashangaa like daaamn man your skin inspired cocoa butter.

NOTE:Afya ya ngozi ni jambo bora kama unavyolinda mambo mengine my excuses me wanaume wa Dar na hili jukwaa la urembo&Utanashati.
Kumbe, duh!
 
Haha swali langu nashindwa kuliweka vizuri..i mean hiyo powder Ni Loose powder au pressed powder??maana Kila aina ina kazi yake,and kila skin tone ina powder yake
Mara nyingi napenda za watt tu kama bby Johnson Nk, au angel face
 
Somo linanihusu direct, sema sijaelewa ni mafuta ya nazi ya mtindo upi maana kuna mafuta ya nazi chungu nzima siku hizi.... tafadhali waweza eleza type ya mafuta ili kuniweka sawa mkuu.
Em jaribu kutengeneza mwenyewe nyumbani. Kama hujui angalia tutorials za you tube jinsi ya kutengeneza mafuta ya nazi. Ni rahisi sana
Kuna/saga nazi zako km tatu hivi
Chuja vizuri
Acha ilale kwa fridge usiku wote
Asubuhi mafuta yatakuwa yamejitenga juu na maji chini
Engua mafuta hayo na chemsha kwa moto mdogo
Acha yapoe, chuja...tayari kwa kutumia
 
Natumia Dove lotion vipi niachane nayo maana mafuta usoni kwangu ishakuwa jadi
 
Mimi Nina ngozi ya mafuta lakini sipatani kabisaa na mafuta ya Nazi ..huwa napaka Jonson's baby lotion ile ya chupa na USO wangu upo vizuri tu..
 
Mzee kumbe we ni dume?dah haya bwana,yaan unaenda had kwa doctor,..nmekubali,..au labuda mi mushamba ngosha,..hahah,

Mi hata mafuta sipakag daah,mi nkioga na sabun fulesh imetoka hyo,sasa nianze tembea na wipes mkuu si watanambia mi mchele mchele au niwe na vichupa vya wese la nazi ndan hata dem wangu atanimaindi

Anyway huu uzi haunifai
🤣🤣🤣🤣
 
View attachment 722088
Natumai wote ni bukheri wa afya mimi pia nipo okay kuna mdau kwenye post moja kauliza atumie nini,ana uso wenye Mafuta mengi oily face mimi pia nina tatizo kama Hilo.

Lakini now sio tatizo tena najua kuhudumia ngozi yangu daily iwe healthy au mnataka na kapicha ka ushaidi mimi ni mmoja ya wanaume ambao walikua wanaamini kupaka mafuta ni mambo ya kike but miaka mitatu ya nyuma nikaona too much mda wote uso una mafuta,kujifuta kila dakika nikafanya research now kama wewe una tatizo kama langu tumia njia hizi.

1: Mafuta ya Nazi.
mafuta ya nazi ndio mchawi,unaweza ukashangaa why mafuta ya nazi unahisi kama utazidisha tatizo hapana mafuta ya nazi yanakinga ngozi na bacteria,mwanga wa jua pia yapo thick ukipaka uso mda wote unakua dry..extra virgin coconut oil ndio mazuri zaidi ni yale yasiyochanganywa na kitu chochote..

2:Usijishike shike uso
mafuta mengi yanatoka sababu nyingine ni kua na ngozi iliyokufa,ukiwa una shika shika uso,unapeleka uchafu ,bacteria usoni, kama unahisi mafuta yamezidibusijishike tumia cleanser paper tena jifute utosini,kwenye pua ,na kidevunibplease usijishike uso u want stay dry and nice do as i say.

3: Nawa uso mara mbili kwa siku hili swala niliambiwa na daktari wa ngozi,kua kama utanawa mara kwa mara ukidhani unaondoa mafuta,ndio unazidisha coz mwili Wako asili yake mafuta,mda wote ukiyatoa,yanarudi kwa Kasi..

4:drink alot of water and fanya mazoezi..

ili temperature kwenye mwili iwe balanced na kuondoa uchafu,dying skin watu watakushangaa.


MATOKEO: Nina miaka miwili nafanya hivyo,ukiniona uso kama msanii mwenye mafanikio haha kidding uso kama mtoto so soft,sina kipele cha joto,uso hauna tena mafuta wewe mwenyewe ukikutana na mimi utashangaa like daaamn man your skin inspired cocoa butter.

NOTE: Afya ya ngozi ni jambo bora kama unavyolinda mambo mengine my excuses me wanaume wa Dar na hili jukwaa la urembo & Utanashati.
Hii inajitaji maelezo marefu zaidi ili tuelewe,mafuta ya Nazi yana kiasi kikubwa cha mafuta ndani yake,ukipaka kwenye ngozi ya mafuta ndio unaongeza zaidi,inakuwaje hayo ndio yaondoe tatizo la mafuta na chunusi?au wewe ngozi yako ni mchanganyiko yaani sio ya mafuta kwa %100?
 
Mimi Nina ngozi ya mafuta lakini sipatani kabisaa na mafuta ya Nazi ..huwa napaka Jonson's baby lotion ile ya chupa na USO wangu upo vizuri tu..
Hii ya mafuta ya Nazi kwenye ngozi ya mafuta naona kama tatizo litazidi,Hio Johnson baby lotion ina ingredients gani,haina mafuta ndani yake?
 
Unaweza kudhani hivyo, ningeweza kueleza kwa kirefu Sana but lugha yake ya kidaktari watu wasingeelewa chemical za coconut oil,kwanni inasaidia.. nikipata muda weekend nitaeelezea kwa kirefu..
Naomba somo liendelee
Lkn Nina swqli moja

Mtu mwenye ngozi yoyote iwe kavu, au ya mafuta au mchanganyiko wote wanatumia hayo mafuta kwa usawa?
 
Back
Top Bottom