Khalid Sankara
New Member
- Nov 3, 2021
- 4
- 21
Haya ni baadhi ya mambo ambayo Wachambuzi wanaamini yatatokea kabla ya NEW WORLD ORDER.
1. Ubadilishwaji wa katiba nyingi Duniani kuendana na mfumo mpya wa utawala Duniani.
2. Upandaji wa bei za bidhaa muhimu
3. Mabadiliko katika sarafu( mfumo wa manunuzi Duniani kote)
4. Uwepo wa Dini mmoja ambayo makao makuu yake yatakuwa Mashariki Ya Kati.
5. Binadamu wote kulazimika kupata chapa ili waweze kupata huduma yoyote.
6. Anguko la utawala wa Marekani
7. Afrika kugawanywa kwa Mara nyengine tena katika spheres of influence ( Sehemu kubwa ya Afrika hili jambo limeshafanikiwa mbaka sasa ni nchi chache tu ambazo zinagombaniwa mbaka sasa)
8. Ukandamizaji wa Uhuru wa kujieleza na haki za binadamu Duniani kote.
9. Utengenezwaji wa majanga fake I.e. Njaa, ukame n.k.
10. Vita
11. Mfumuko wa bei usiohimilika
12. Uzinduzi wa kipato cha kujikimu Duniani kote.
13. Uibukaji wa kundi jipya la matajiri wa nje ya mfumo.
14. Dunia kupitia katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historia ya Mwanadamu
15. Uzinduzi wa taratibu na teknolojia mpya kufatilia mienendo ya Mwanadamu.
16. Binadamu wengi kupoteza nafsi zao.
1. Ubadilishwaji wa katiba nyingi Duniani kuendana na mfumo mpya wa utawala Duniani.
2. Upandaji wa bei za bidhaa muhimu
3. Mabadiliko katika sarafu( mfumo wa manunuzi Duniani kote)
4. Uwepo wa Dini mmoja ambayo makao makuu yake yatakuwa Mashariki Ya Kati.
5. Binadamu wote kulazimika kupata chapa ili waweze kupata huduma yoyote.
6. Anguko la utawala wa Marekani
7. Afrika kugawanywa kwa Mara nyengine tena katika spheres of influence ( Sehemu kubwa ya Afrika hili jambo limeshafanikiwa mbaka sasa ni nchi chache tu ambazo zinagombaniwa mbaka sasa)
8. Ukandamizaji wa Uhuru wa kujieleza na haki za binadamu Duniani kote.
9. Utengenezwaji wa majanga fake I.e. Njaa, ukame n.k.
10. Vita
11. Mfumuko wa bei usiohimilika
12. Uzinduzi wa kipato cha kujikimu Duniani kote.
13. Uibukaji wa kundi jipya la matajiri wa nje ya mfumo.
14. Dunia kupitia katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historia ya Mwanadamu
15. Uzinduzi wa taratibu na teknolojia mpya kufatilia mienendo ya Mwanadamu.
16. Binadamu wengi kupoteza nafsi zao.