Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeletewa dini ukaichukua na madhara yake ndio haya sasa... haya vuta pumzi ufikiri upya...Unalinganisha kafara ya Yesu na hizi za kipepo kweli?? Fikiri mara mbili
!Mambo yote unayoyajua wewe! Yote kabisa chini ya jua unayodhani ni upuuzi! Mfano mambo ya Imani! Wapo watu kutokana na kukosa ajira pamoja na kuwa wamesoma wanaona kusoma sasa ni upuuzi kabisa! Kwao ni upuuzi lakini ukifuatilia kwa makini hakuna upuuzi hapo!
sasa ukiambia msingi wa dini ya mzungu na upotoshaji wake kupitia vitabu hivyo hivyo utakubari?Issue ya NWO asilimia kubwa ya vijana wa kizazi kipya hawawezi kuielewa, maana wamezaliwa na kukuta dunia ikiwa nzuri na inaendelea kuwa nzuri ya kuvutia.
Mbali na kuhoji kwa maswali ya kebehi huwa awapendi kufukunyua haya mambo, siri nyingi zipo ndani ya vitabu ila wanaosoma wakileta kwa social media wanaleta dharau za kitoto.
namba 666 ni namba yenye nguvu... sasa watu wana aminishwa ni chapa ya mpinga kristo ili wachache waendelee kunufaika nayo... wajinga waliwao.Namba sita sio kweli ingawaje mpaka hayo yanatokea mimi sitakuwepo.
Kila kitu kinapatikana kwa kusoma maswali yako yote majibu yake ni kusoma.sasa ukiambia msingi wa dini ya mzungu na upotoshaji wake kupitia vitabu hivyo hivyo utakubari?
adam na hawa waliishi miaka mingapi ? na tangu wafe mpaka sasa wana umri gani?
Huwezi yaelewa haya kwa akili ya kawaida.Namba za shetani zipo sita.Na KILA number Ina kitu inasimamia.111,333,555,666,999.namba 666 ni namba yenye nguvu... sasa watu wana aminishwa ni chapa ya mpinga kristo ili wachache waendelee kunufaika nayo... wajinga waliwao.
ni kama kuambiwa mwanamke akila maini atazaa kiumbe cha ajabu (enzi hizo)
leo ukiambiwa wazungu wamechezesha historia ya dunia utaona utani...
kama ilivyochezeshwa historia ya farao... wengi wamemeza taarifa nyingi za kupotoshwa kwa manufaa ya wachache...
mabudha pale india, mashaurin pale china, pale japani na korea wana dini zao za asili, huko tawain, thailend etc pia wange angamia wote, lakini ndio kwanza wanapiga hatua za kimaendeleo
endeleeni na mafirimasoni...
Nyingine...Huwezi yaelewa haya kwa akili ya kawaida.Namba za shetani zipo sita.Na KILA number Ina kitu inasimamia.111,333,555,666,999.
666 inashughulika na uchumi
999 Inashughulika na technology.
Wengi hawatakuelewa hapa ila Hayo yatatokea baada ya baadhi ya watu kutoweka ghafla duniani.
Then itafuata miaka 7 ya shida ambayo haijapata tokea ktk historia ya binadamu duniani
Na wameshaanza jana imezinduliwa statue/sanamu of digital currency Washington D.C kuashiria dunia sasa inakwenda kuhamia kwenye digital currency
Gakuna cha wait n see..hizi ni story za abunuwasi.Wait and see
Mbona umelezea mbili tu.Huwezi yaelewa haya kwa akili ya kawaida.Namba za shetani zipo sita.Na KILA number Ina kitu inasimamia.111,333,555,666,999.
666 inashughulika na uchumi
999 Inashughulika na technology.
Ngoja niiingie chimbo tazieleza zote hizo codes kwa kina
Soma kitabu cha new word orderChanzo gani cha huu ujumbe mkuu? Au vijiwe vya kahawa
Kwa hiyo akirudi ndani ya hizo dk 5 akazaliwa mtoto yeye atakuwa kundi gani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watafiti wa elimu ya mambo yasiyoonekana wanasema Yesu amebakiza dakika 5 tu arudi mara ya pili kuchukua watu wake.Baada ya hapo neema itafungwa watakaobaki watakuwa chini ya utawala wa chuma wa Shetani hadi atakaporudi mara ya tatu kuihukumu dunia ya shetani na watu wake milele