Kuna vitu vinaonekanaga kama upuuzi hivi lakini vina maana kubwa mno! Wahenga walisemaga "HAKUNA UPUUZI ULIO UPUUZI MTUPU"! Lazima kuna kitu unaweza kupata/kujifunza kupitia hicho unachodhani ni upuuzi!upuuuuuzi... endelea kupiga lamli, endeleeni kuaminishwa na viongozi wenu kuhusu freemason kuwa watoa roho, mapepo na kila jina baya...
naomba kuishia hapo...
Mbona waganga wa kienyeji wanavyo vibali unayajua wanayofanya Ili kuuongeza nguvu za kudumisha uganga.Mganga yeyeto ni lazima auwe watu Ili kumtolea sadaka shetani afurahi Ili ampe nguvu zaidi.Huwez kanusha kwa vitu vya kijinga... Ni sawa leo tuanze kukuita wewe chizi unaokotauchafu barbarani... Then wewe uite press conference ya kukanusha taarifa hzo..
In short kama zingekuwa tuhuma hzo ni halali zingenyimwa vibali vya kuendesha matukio yao kwenye nchi husika..
All inferior mind.. Ndio wanapotosha hayo mambo.. Kile ni kikundi tu kama vikundi vingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...... Eti lucifer ndio kiongozi wao...Mbona waganga wa kienyeji wanavyo vibali unayajua wanayofanya Ili kuuongeza nguvu za kudumisha uganga.Mganga yeyeto ni lazima auwe watu Ili kumtolea sadaka shetani afurahi Ili ampe nguvu zaidi.
Uchawi umegawanyika katika makundi matatu
,Blacks magic,white magic na Red magic.
Freemason, mitume na manabii feki, madikteta,watenda miujiza,Wana mazingaombwe nk hawa wapo kwenye kundi la white magic.Makundi yote haya matatu boss wao ni mmoja Lucifer.Na huwezi kuwa luciferous bila kutoa damu.Damu upatikana kwa kuua mtu watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...... Eti lucifer ndio kiongozi wao...
Enewei... Tuambie sasa kama unamjua mganga hata mmoja anae ua... Na kapewa kibali na serikali... Au hata anajulikana kwa jumuia ya uganga wa jadi
Ku
Kuua ni siri
Wazungu wanawadanganya sanaWatafiti wa elimu ya mambo yasiyoonekana wanasema Yesu amebakiza dakika 5 tu arudi mara ya pili kuchukua watu wake.Baada ya hapo neema itafungwa watakaobaki watakuwa chini ya utawala wa chuma wa Shetani hadi atakaporudi mara ya tatu kuihukumu dunia ya shetani na watu wake milele
Sasa Kama mambo yenyewe ndiyo hayo unajiandaaje!? Maana hadi kukamilika kwa hiyo nadharia karibu sote tutakaojadili hoja yako ninahakika hatutakuwepo duniani. Sasa hayo maandalizi unayotaka tuyafanye niya'aina gani!? Labda kuchonga Jeneza na kuandaa eneo la kuzikiwa!!Haya ni baadhi ya mambo ambayo Wachambuzi wanaamini yatatokea kabla ya NEW WORLD ORDER.
1. Ubadilishwaji wa katiba nyingi Duniani kuendana na mfumo mpya wa utawala Duniani.
2. Upandaji wa bei za bidhaa muhimu
3. Mabadiliko katika sarafu( mfumo wa manunuzi Duniani kote)
4. Uwepo wa Dini mmoja ambayo makao makuu yake yatakuwa Mashariki Ya Kati.
5. Binadamu wote kulazimika kupata chapa ili waweze kupata huduma yoyote.
6. Anguko la utawala wa Marekani
7. Afrika kugawanywa kwa Mara nyengine tena katika spheres of influence ( Sehemu kubwa ya Afrika hili jambo limeshafanikiwa mbaka sasa ni nchi chache tu ambazo zinagombaniwa mbaka sasa)
8. Ukandamizaji wa Uhuru wa kujieleza na haki za binadamu Duniani kote.
9. Utengenezwaji wa majanga fake I.e. Njaa, ukame n.k.
10. Vita
11. Mfumuko wa bei usiohimilika
12. Uzinduzi wa kipato cha kujikimu Duniani kote.
13. Uibukaji wa kundi jipya la matajiri wa nje ya mfumo.
14. Dunia kupitia katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historia ya Mwanadamu
15. Uzinduzi wa taratibu na teknolojia mpya kufatilia mienendo ya Mwanadamu.
16. Binadamu wengi kupoteza nafsi zao.
bila Shaka anamaanisha watu wengi watauawa, nahisi ni mcha Mungu huyu na anachotaka nikutushawishi tufanye maandalizi ya huko tuendako na si tutokako.No.16 una maana gani mkuu?
Wote wanaua sio kwa maana hio ya kijinai.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...... Eti lucifer ndio kiongozi wao...
Enewei... Tuambie sasa kama unamjua mganga hata mmoja anae ua... Na kapewa kibali na serikali... Au hata anajulikana kwa jumuia ya uganga wa jadi
Wote wanaua sio kwa maana hio ya kijinai.
Zipo njia nyingi utumia Mfano kupandikiza magonjwa ambayo upelekea kifo,kusababisha ajali Ili kutoa kafara,kumtuma Jini akaue,nk kwa uchache.
Vifo hivi upimwa kiroho na si kimwili, serikali inashughulika kimwili na dini ni kiroho, vipimo vya kiserikali haviwezi pima roho, vipo vipimo vya kiroho ndivyo vina ushahidi ya kwamba huyu kauliwa kichawi.
Hii ni elimu kubwa Sana kwako ndugu huwezi yaelewa haya labda tu kama una elimu ya dini, au elimu ya mambo ya ulimwengu usioonekana.
Hii elimu ipo tangu kale hata kabla ya uwepo wa wazungu duniani,Wazungu wanawadanganya sana
Freemason ni agents wa lucifer kusimamia shughuli zote za kisiasa kiuchumi na kijamii duniani Ili ulimwengu wote uwe chni ya shetani.Kwa hyo free mansoon ndio kazi yao hyo..[emoji23][emoji23][emoji23]
Freemason ni agents wa lucifer kusimamia shughuli zote za kisiasa kiuchumi na kijamii duniani Ili ulimwengu wote uwe chni ya shetani.
Tengeneza njia yako kabla.bila Shaka anamaanisha watu wengi watauawa, nahisi ni mcha Mungu huyu na anachotaka nikutushawishi tufanye maandalizi ya huko tuendako na si tutokako.
Yes Kazi kuu ya shetani ni kuharibu ulimwengu wote umuabudu yeye.Shetani hana urafiki kabisa na mwanadamu,atakupa pesa huku ukimaliza ndugu zako na wakiisha tu lazima akuue kisha atachukua mali zake atampa mwingine hivyo hivyo.Kwa hyo shetani hawezi kufanya hvyo.. Mpka aue watu ??
Yes Kazi kuu ya shetani ni kuharibu ulimwengu wote umuabudu yeye.Shetani hana urafiki kabisa na mwanadamu,atakupa pesa huku ukimaliza ndugu zako na wakiisha tu lazima akuue kisha atachukua mali zake atampa mwingine hivyo hivyo.
Mali za freemason hazirithiki upukutika labda tu kama mmiliki wake alikuunganisha na kuzimu ikutambue na upewe code number ya kutambulika kwamba we pia ni member wao.