Haya ndiyo yatakayotokea kabla ya New World Order. Vipi umejiandaaje?

Sasa free manson wote wajiunge pamoja.. Wamuue tu.. Kama wanakutana na huyo shetani..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi ya ajent ni kuleta watu kwa shetani.wanaletwa vipi kupitia tiba,mavazi,miziki,utajiri,ibada,michezo,nk.
Lete maswali yako yote
 
upuuuuuzi... endelea kupiga lamli, endeleeni kuaminishwa na viongozi wenu kuhusu freemason kuwa watoa roho, mapepo na kila jina baya...

naomba kuishia hapo...
MwanaCCM peke mwenye kutumia akili yake vizuri.

Umenena vyema mkuu. Haya mastori ya nwo ni ya kufikirika sana.
Kupanda bei ya vitu baada ya muda haishangazi hata.
 
Ebu acha ujinga.... Tafuta pesa uone kama hizi story utazickia... Watu wanao amini hivi ni watu ambao wamekata tamaa ya maisha na wenye elimu ndogo..

Achana na hizi habar zishapitwa na wakati..
Kazi ya ajent ni kuleta watu kwa shetani.wanaletwa vipi kupitia tiba,mavazi,miziki,utajiri,ibada,michezo,nk.
Lete maswali yako yote
 
Ebu acha ujinga.... Tafuta pesa uone kama hizi story utazickia... Watu wanao amini hivi ni watu ambao wamekata tamaa ya maisha na wenye elimu ndogo..

Achana na hizi habar zishapitwa na wakati..
Elimu ni pana ndugu elimu haina mipaka.Pesa tunazo zipo kwenye madini zimejaa tele.
 
una safari ndefu sana...
 
mambo ya kipuuzi kama?
 
Unajua maana ya nafsi kweli? Unauzaje nafsi kwanza?
 
hata yesu alitolewa kafala, hapo vipi? ibra alitaka mtoa mwanaekafara ikaja kondoo... naona kuna kuna uganga ktk dini zetu
 
hata yesu alitolewa kafala, hapo vipi? ibra alitaka mtoa mwanaekafara ikaja kondoo... naona kuna kuna uganga ktk dini zetu
Unalinganisha kafara ya Yesu na hizi za kipepo kweli?? Fikiri mara mbili!
 
mambo ya kipuuzi kama?
Mambo yote unayoyajua wewe! Yote kabisa chini ya jua unayodhani ni upuuzi! Mfano mambo ya Imani! Wapo watu kutokana na kukosa ajira pamoja na kuwa wamesoma wanaona kusoma sasa ni upuuzi kabisa! Kwao ni upuuzi lakini ukifuatilia kwa makini hakuna upuuzi hapo!
 
Hizo ni ruling....

Unaaminishwa ili wanapotekeleza usishangae
 
Shukuru kupata taarifa hizi nenda kajipange usisubiri mpaka yakupate! Duniani kuna mambo mengi ya ajabu!
Issue ya NWO asilimia kubwa ya vijana wa kizazi kipya hawawezi kuielewa, maana wamezaliwa na kukuta dunia ikiwa nzuri na inaendelea kuwa nzuri ya kuvutia.

Mbali na kuhoji kwa maswali ya kebehi huwa awapendi kufukunyua haya mambo, siri nyingi zipo ndani ya vitabu ila wanaosoma wakileta kwa social media wanaleta dharau za kitoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…