Haya ndiyo yatakayotokea kabla ya New World Order. Vipi umejiandaaje?

Uzi wako bila endorsement ya Mathanzua mtambo wa conspiracy hamna kitu
 
Unalinganisha kafara ya Yesu na hizi za kipepo kweli?? Fikiri mara mbili
umeletewa dini ukaichukua na madhara yake ndio haya sasa... haya vuta pumzi ufikiri upya...
 
!
 
sasa ukiambia msingi wa dini ya mzungu na upotoshaji wake kupitia vitabu hivyo hivyo utakubari?

adam na hawa waliishi miaka mingapi ? na tangu wafe mpaka sasa wana umri gani?
 
Namba sita sio kweli ingawaje mpaka hayo yanatokea mimi sitakuwepo.
 
Namba sita sio kweli ingawaje mpaka hayo yanatokea mimi sitakuwepo.
namba 666 ni namba yenye nguvu... sasa watu wana aminishwa ni chapa ya mpinga kristo ili wachache waendelee kunufaika nayo... wajinga waliwao.

ni kama kuambiwa mwanamke akila maini atazaa kiumbe cha ajabu (enzi hizo)

leo ukiambiwa wazungu wamechezesha historia ya dunia utaona utani...

kama ilivyochezeshwa historia ya farao... wengi wamemeza taarifa nyingi za kupotoshwa kwa manufaa ya wachache...

mabudha pale india, mashaurin pale china, pale japani na korea wana dini zao za asili, huko tawain, thailend etc pia wange angamia wote, lakini ndio kwanza wanapiga hatua za kimaendeleo

endeleeni na mafirimasoni...
 
Maisha ya Duniani ni mabaya sana kuliko maisha mengine baada ya kifo
 
sasa ukiambia msingi wa dini ya mzungu na upotoshaji wake kupitia vitabu hivyo hivyo utakubari?

adam na hawa waliishi miaka mingapi ? na tangu wafe mpaka sasa wana umri gani?
Kila kitu kinapatikana kwa kusoma maswali yako yote majibu yake ni kusoma.

Huwezi kukimbia vitabu na ndivyo vimekupa elimu unaonekana mjanga. Leo ukiambiwa umetokana na nyani si unakataa, why?.
 
Huwezi yaelewa haya kwa akili ya kawaida.Namba za shetani zipo sita.Na KILA number Ina kitu inasimamia.111,333,555,666,999.
666 inashughulika na uchumi
999 Inashughulika na technology.
 
Huwezi yaelewa haya kwa akili ya kawaida.Namba za shetani zipo sita.Na KILA number Ina kitu inasimamia.111,333,555,666,999.
666 inashughulika na uchumi
999 Inashughulika na technology.
Nyingine...
 

Wengi bado wamelala
 
Kwa hiyo akirudi ndani ya hizo dk 5 akazaliwa mtoto yeye atakuwa kundi gani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
New world order:

Homosexual will be normal in the society

Parents will not have time to rise their children


Mdogo mdogo wanaitafuna dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…