Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Kuomba msamaha ni kukiri kosa sio kujisahaulisha na kutaka mambo yaende tu kwa kuwa umeamua wewe, ni rahisi mtenda kusahau lakini mtendwa anaumia daima.
HV Mond kamkosea nn Kiba,mnasahau kipindi Mondi anatoka Bob Junior na Kiba walimtimua sharobaro records wakizani ndo itakuwa anguko lake,mungu kamfikisha mpaka hapa alipo Kiba kajaribu kuvuruga events nyingi sana za Mondi ila Mondi yupo kimya tu show nyingi za Mondi Kiba nae alikuwa anaandaa zake the same date ili kuipunguza makali show za Mondi ila Mondi huwezi kumkuta mtandaoni au kwa interview akilia lia na hiki ndo kinanifanya nimkubali huyu kijana maaana tit for tat is a fair game no kulalamikaling
 
Kwa akili zako hizo Mondi si angekuwa anaongoza Afrika kwa views kama anauwezo wa kupunguza views za Kiba,kuna muda fikiri kabla ya kuchangia hoja maana unazid jishushia hadhi
 
Ww acha kupiga ramli , kitu gani kibaya alichofanyiwa , huyo jamaa yenu kiba ni hopelessy , kwann hasiweke wazi iko kitu?
 
Vitu gani vibaya ? Mbona hamvisemi ?
 
Msio
 
Hivi unaposema kiba hategemei mziki na diamond anategemea mziki maana yake nini. Diamond ana biashara kama radio, tv na matangazo kibao. Niamboe kiba anategemea nini
Tv na radio sio za naseeb yeye kuna share tuu anayopata ila sio biashara yaake inamaana mwenye hio biashara akiaamua Leo hio kumuondoa anamtoa so usisifie vitu usivyovijua
 
A
Ali kiba ana akili za kimasikini na atabak msanii wa kilocal wanavosemaga ana dharau kumbe kweli
ACha kuongea ujingaa wewe unajua kiba na we ni sawa ?endelea kusubir awe masikin bongo bhana ukiwa msanii usipojianika ww na mali zako kwenye media ww ni masikin...mutukomeee hatutakii shoboo mjifunze kubalance shoboo manake huku kwenye media mnatafuta wema machoni pa wanadamu wakati upande wa pili upuuz yaan mond anajua kucheza na akili za wajinga wenzakee
 
Hicho kitu kibaya ni kipi asichosema?! Sana sana kuna wakati alipoulizwa kuhusu bifu lao alitaja sababu za kijinga kabisa... suala la kufutiana sauti kwenye wimbo!!

Hakuna lolote zaidi ya mambo ya kipumbavu! Si ajabu hapo kaenda kwa mganda wa kienyeji kaambiwa nyota yako imechukuliwa na mpinzani wako! Sasa kama sio upumbavu tuite nini!

Muziki duniani kote umebadilika! Muziki duniani kote siku hizi watu wanatoa ngoma back to back kwa sababu ule upuuzi wa zamani kwamba eti ngoma mzuri inaishi, hivi sasa huo upuuzi hauna nafasi!!

Huo upuuzi hauna nafasi kwa sababu siku hizi media za kusikiliza ngoma zipo nyingi, na matokeo yake, ngoma ikitoka kwa siku unaweza kuisikia hata mara mia na ushee... ukipanda daladala utaisikia, ukipanda UBA utaisikia, kwa Dar kila uchochoro utakaopita, utaisikia kwa njia mbali mbali! Matokeo yake, ngoma hata ikiwa kali vipi, baada ya muda mfupi itachosha tu kutokana na kuisikia mara kwa mara!

Kutokana na hilo, ili watu wasipotee, ndo hapo linapokuja suala la back to back! Sio zama za akina Marijani Rajabu hizi kwamba mtu ukisikia ngoma yake leo, unaweza usiisikie tena wiki mzima au hata mwezi kwa sababu huna kokote kwa kuisikia zaidi ya Radio Tanzania, na matokeo, kila unapoisikia ngoma kwako inakuwa mpya!


Sasa Kiba na akili zake za kizamani anaamini akitoa ngoma moja, mwaka mzima ita-trend tu! Ikiwa tofauti, ndo pale wajinga hukimbilia kwa waganga wa kienyeji na kuambiwa wamerogwa kumbe mchawi wao ni ujinga wao wenyewe!!!
 
Angalieni mashabiki wa Kiba hawa! Na ndo tatizo lingine la Kiba ndo hili... ana akili sawa na mashabiki wake!! Mtu hata ngoma hadi mashabiki wake walalamike sana ndo anatoa lakini bado ana wafuasi kibao halafu mnaamini anarogwa!!!!

Ngoja nikuulize: Tangia Kiba umfahamu ameshawahi kutoa ngoma na watu wasiipokee/! Au amerogwa asiwe anaenda studio kutoa ngoma?!
 
Kiboko ya diamond ni harmonize, kwa sababu wote ni wachawi wakubwa na harmonize kamzidi diamond, diamond kamzidi ali kiba, wote wanga hawa
Hapa umenena, hata Dully Sykes siku anahojiwa na Salama Jabiri kwenye Mkasi alisema kiaina hawa watoto wageni kwenye game wachawi ki norma.
 
ac ACHEN UFA.....L KIBA HAWEZ JIBU HIVYO.
 
Acha ushabiki maandazi
Dogo uliza uambiwe mi hii bongo fleva naijua nje ndani visa na mikasa ya wasanii navijua km vyote hujui chochote kuhusu huu muziki km umeanza kushabikia muziki siku nyingi itakuwa 2005 na huyo diamond utakuwa umemjua kwenye jisachi au kamwambie so you know nothing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…