Alikibakuli uliibiwa penseli na mond kwani mlisoma shule moja??kwanza we kiba ndio ulikuwa kwenye game kitambo tangu enzi za kina ndio mzee.Sasa kwanini mond anakuacha mbali hivo?yaani kiba we hunaga nyimbo nzuri kabisa sio mashairi wala video sanasana unabebwa na clouds ndio maana unafanyaga interview vipindi vyote vya clouds fm kwa sik moja kuanzia PB, LEO TENA, mpaka XXL, mi sijawahi on a ubebwaji huo?lakini still bado tu humfikii mond.Tuyaache hayo Mond kaamua kupuuzia bifu kakuita ukajiunge nae angalia ulicho jibu, we jamaa una upeo mdogo sana kacheze mpira tu.