Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Hakuna kitu kama hicho. Hivi unaweza kuniambiaje, mtu ametoa nyimbo zaidi ya nne kwa vipindi tofauti na kila wimbo unapotoka unapata views za kutosha.

Ila wakati watu wengi wanapoanza kuuangalia ghafla views zinasimama kwa siku nzima na views zikianza kusoma zinapungua kwanza ndipo zinaendelea na mwisho wa siku wimbo haufikishi views nyingi.

Sasa hapo mchawi wa alikiba anakuwaje alikiba mwenyewe?
Hapa unataka kusemaje ?
 
Hapo ndio tunajua tofauti ya mtu anayeamini Misingi ya Hard work (Platinumz) na yule anayesubiri miujiza(Miracle) kukua kimziki zaidi.., Hapo Lazima Uamini "UCHAWI" (Kurogwa)-Kiba

Ila sikutegemea kama KIBA ataweza kutumia neno hili "UNIKOME" naona tunazidi Punguza idadi ya wanaume Tanzania.
 
Hapo ndio tunajua tofauti ya mtu anayeamini Misingi ya Hard work (Platinumz) na yule anayesubiri miujiza(Miracle) kukua kimziki zaidi.., Hapo Lazima Uamini "UCHAWI" (Kurogwa)-Kiba

Ila sikutegemea kama KIBA ataweza kutumia neno hili "UNIKOME" naona tunazidi Punguza idadi ya wanaume Tanzania.
Angalau we nimekuelewa kk
 
Mimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.

Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!


Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.

Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.

Yaana yeye siku zote ni INNOCENT
sawa tanasha
 
Mimi walivyovujisha video ya Nandy eti wanamkomoa Ruge ndio niliwaona takataka kabisa.

Unamuumiza Billnass na Nandy kwa kuwa una biff zako na Ruge !!


Halafu alivyo mnafiki walipokuwa Dubai akawa anajiweka karibu na Nandy kama vile ni mtu mwema saaana.

Jamaa ni mnafiki sana ndio maana hata mademu zake anawavuruga halafu anajifanya yeye ndo kakosewa.

Yaana yeye siku zote ni INNOCENT

Siku inakuja ambayo sallam, tale, diamond na mama yake watalia na kusaga meno..save my post
 
Kwakweli watu wengi sana hawajaelewa hili suala. Lipo hivi , Hamornez amejiondoa WCB na kuondoka kwake hakuna ishara yakuwa ameondoka vizuri yani niwazi kuwa hakukuwa na maelewano mazuri na WcB. Sasa huyohuyo konde boy leo amekuwa na maelewano mazuri na Clouds mpaka kufanya mahojiano nao. Clouds ni team Kiba. Na nina amini yakuwa Konde na Kiba ni marafiki kwa sasa, kwahiyo hata kama Ali alikuwa anahujumiwa kwa njia ya uchawi na WCB basi siri zote atakuwa anazo kwa sasa. Ila mimi binafsi siamini haya mambo. Kwamana riziki yako kama ipo ipo tu.
kwa nn watu mnaamini kuwa kiba anarogwa na mond.....mnatumia kigezo gani kutuaminisha swala ilo?
 
Hakuna kitu kama hicho. Hivi unaweza kuniambiaje, mtu ametoa nyimbo zaidi ya nne kwa vipindi tofauti na kila wimbo unapotoka unapata views za kutosha.

Ila wakati watu wengi wanapoanza kuuangalia ghafla views zinasimama kwa siku nzima na views zikianza kusoma zinapungua kwanza ndipo zinaendelea na mwisho wa siku wimbo haufikishi views nyingi.

Sasa hapo mchawi wa alikiba anakuwaje alikiba mwenyewe?
kwa hiyo viewz zikiganda mtuhumiwa ni mond et?
 
Alikibakuli uliibiwa penseli na mond kwani mlisoma shule moja??kwanza we kiba ndio ulikuwa kwenye game kitambo tangu enzi za kina ndio mzee.Sasa kwanini mond anakuacha mbali hivo?yaani kiba we hunaga nyimbo nzuri kabisa sio mashairi wala video sanasana unabebwa na clouds ndio maana unafanyaga interview vipindi vyote vya clouds fm kwa sik moja kuanzia PB, LEO TENA, mpaka XXL, mi sijawahi on a ubebwaji huo?lakini still bado tu humfikii mond.Tuyaache hayo Mond kaamua kupuuzia bifu kakuita ukajiunge nae angalia ulicho jibu, we jamaa una upeo mdogo sana kacheze mpira tu.
 
Alikibakuli uliibiwa penseli na mond kwani mlisoma shule moja??kwanza we kiba ndio ulikuwa kwenye game kitambo tangu enzi za kina ndio mzee.Sasa kwanini mond anakuacha mbali hivo?yaani kiba we hunaga nyimbo nzuri kabisa sio mashairi wala video sanasana unabebwa na clouds ndio maana unafanyaga interview vipindi vyote vya clouds fm kwa sik moja kuanzia PB, LEO TENA, mpaka XXL, mi sijawahi on a ubebwaji huo?lakini still bado tu humfikii mond.Tuyaache hayo Mond kaamua kupuuzia bifu kakuita ukajiunge nae angalia ulicho jibu, we jamaa una upeo mdogo sana kacheze mpira tu.
Si ndio hapo mkuu, Eti mtu yupo kwenye game toka sijui 2005 kazubaaga tu,leo anaanza kulilia anahujumiwa, Hivi kila siku unahujumiwa wewe tu, sasa si uhujumu na wewe ufanikiwe.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
You know nothing bro hujui kinachoendelea kati ya hao wawili so bro kwa kimya tu na ukiwa msanii usijenge urafiki na mond don't try that it'll cost you big time.
Harmonize,Lavalava,Mbosso na Rayvanny ni wakulima?
 
Back
Top Bottom