Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

Haya ndo majibu ya Alikiba na Harmonize kwa Diamond Platinumz baada ya kupata mwaliko wake...

O
Ndo maana nasemaga Chibu ni ana akili shenzi yule insta yote imechafuka ni Mond tu na pencil mpaka picha zishatengenezwa [emoji3][emoji3] huyu jamaa haji kukauka midomoni mwa wabongo na hapo ndo anapowawin wengine.
Hii ndio comment bora kabisa kwenye huu Uzi watu wanapiga kelele tu lakini uili ndio lengo
 
HV Mond kamkosea nn Kiba,mnasahau kipindi Mondi anatoka Bob Junior na Kiba walimtimua sharobaro records wakizani ndo itakuwa anguko lake,mungu kamfikisha mpaka hapa alipo Kiba kajaribu kuvuruga events nyingi sana za Mondi ila Mondi yupo kimya tu show nyingi za Mondi Kiba nae alikuwa anaandaa zake the same date ili kuipunguza makali show za Mondi ila Mondi huwezi kumkuta mtandaoni au kwa interview akilia lia na hiki ndo kinanifanya nimkubali huyu kijana maaana tit for tat is a fair game no kulalamikaling
Zitaje hizo Show..
 
Naona team mond mmetoa mapovu humu mpaka panateleza.

Anyway pensel ndio habari ya mjini.
 
Ukiwa na team za vichaa lazima uugue depressants,

Nasubilia mm mziki mzuri niskilize tu kutoka kwa msanii yoyote ata kama ni harmorapa
[emoji122] [emoji122] [emoji122] Upo kama mimi kabisa
 
Ukiielewa hii sentensi " unaniibia pencil harafu unanisaidia kuitafuta" na
" ukitaka nikuweke uchi watu watu wajue unachonifanyia, basi hilo tamasha hatokuja hata mtu mmoja"

Ukizielewa hizi sentesi utagundua ali anakitu kikubwa alichofanyiwa na mondi( mawazo yangu ni views za you tube n.k), na ali hataki kusamehe.

Pia nia ya mond ni kuiangusha clouds, hivyo anajifanya kumaliza bifu na kiba ili awashinde clouds. Pia mondi anajifanya hataki bifu mbele ya watu huku akifanya mambo ya ajabu nyuma ya pazia.

Leo hii anamtaka harmonize, wakati mwenye show ya iringa alimtukana mbele ya watu na hata kwenye sherehe ya juzi kati hapo kam diss sana harmo.

MNAFIKI AWAKOME HARMO NA KIBA. AFANYE MWENYEWE KWANI KUNA KITU KIMEWAHI KUHARIBIKA KWENYE HIZI FESTIVAL AMBAZO KIBA NA HARMO HAWAJA PERFOM.
Kwani Kiba anawasaidia nini clouds?
 
Hicho kitu kibaya ni kipi asichosema?! Sana sana kuna wakati alipoulizwa kuhusu bifu lao alitaja sababu za kijinga kabisa... suala la kufutiana sauti kwenye wimbo!!

Hakuna lolote zaidi ya mambo ya kipumbavu! Si ajabu hapo kaenda kwa mganda wa kienyeji kaambiwa nyota yako imechukuliwa na mpinzani wako! Sasa kama sio upumbavu tuite nini! Muziki duniani kote umebadilika! Muziki duniani kote siku hizi watu wanatoa ngoma back to back kwa sababu ule upuuzi wa zamani kwamba eti ngoma mzuri inaishia, hivi sasa huo upuuzi hauna nafasi!!

Huo upuuzi hauna nafasi kwa sababu siku hizi media za kusikiliza ngoma zipo nyingi, na matokeo yake, ngoma ikitoka kwa siku unaweza kuisikia hata mara mia na ushee... ukipanda daladala utaisikia, ukipenda UBA utaisikia, kwa Dar kila uchochoro utakaopita, utaisikia kwa njia mbali mbali! Matokeo yake, ngoma hata ikiwa kali vipi, baada ya muda mfupi itachosha tu kutokana na kuisikia mara kwa mara!

Kutokana na hilo, ili watu wasipotee, ndo hapo linapokuja suala la back to back! Kiba na akili zake za kizamani anaamini akitoa ngoma moja, mwaka mzima ita-trend tu! Ikiwa tofauti, ndo pale wajinga ukimbilia kwa waganga wa kienyeji na kuambiwa wamerogwa kumbe mchawi wao ni ujinga wao wenyewe!!!
Hayo ya kuroga au kuibiana nyota umesema wewe, kwa nini Kiba huwa hana muda wa kumzungumzia Mondi lakini mondi anapenda kumzungumzia kiaba? Kama alitoa mkono ukakataliwa why asiendelee na namaisha yake? Kwa nini Kiba na sio Barnaba, Ben pol, kina Timbulo Ommya dimpoz, why anataka kufanya tamasha na Kiba? Sasa Kiba kasema amkome, na amkome kweli kama ana nyota na a shine kivyake amuache Kiba kasema KOMA.
 
Diamond Ni boss mzuri Sana, unajua unapotafuta pesa personal issue unaweka pembeni una focus kwenye core subject. Diamond anaweza piga show bila wao na akafanikiwa lakini ameona Ni vyema akawashirikisha jamaa zake, lakini Kama hawataki sio lazima.
Hajui kutumia fursa huyo. Bifu bila kuingiza hela haina maana. Simlaumu lakini labda fedha alizonazo zinamtosha.
 
ukipata watasema, ukikosa watasema, pia ukionesha ubinadam utaonekana mbaya hivo nivema kushika njia yako mwenyewe
 
Kiba amepotea kwenye Game miakaa mingi iliyopitaa Bifu yake na Mondi ndo inazidi kumuwekaa juu.. Akikosea akapatana na Mondi aiseee kwisha habari yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiki atapata wapi sijui watu watamuongelea kwa kipi akati hata hit song hatoi akitoa za kifalaa baada ya miaka minne sijui[emoji23][emoji23]
Hakuna kitu kama Kiba kupotea, Kiba anaimba music wake kwa jinsi yake kama Mondi anavyo imba muziki wake kwa jinsi yake, Kiba hakuja kuchuana na Mondi anafanya music kwa kuwa ni fani yake, kuhusu mziki kuchuja kama kweli ni mpenzi wa muziki hakuna muziki unaochuja haraka kama wa Mondi unatoka una hit sana lakini unapotea haraka sana, na hii ndio style ya muziki wa wasanii wengi sasa, hakuna muziki unao ishi, hakuna ni heat na kutoweka.
 
Kuna kitu kibaya Diamond "anaweza takuwa" amemfanyia Kiba ndio maana kila wakati anataka wayamalize, kama ni hivyo bora aombe msamaha yaishe maana kosa halina muda wa kuisha bila kuondoa tofauti, kama anaona muda umepita kosa limepita atakuwa anajidanganya.
Himani za kushirikiana tu. Wote NI waswahili mbumbu walio pata pesa
 
Back
Top Bottom