Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

Mbona umekatisha story hii, alivyoingia kwenye nyumba ya RM,RM alimgomea, kwa bwana yule ilikuwa fedheha kweli, akatuma kikosi kazi kimpige toxic, mama wa watu akaenda kuponea KUBA,Si kila mwanamke ni wa kumchezea, kuna walio thabiti na wenye misimamo!, mwanamke imara na jasiri.
 
Si alizaa nae huyu demu akampa uwaziri, jamaa uwakilishi huko nje.

Ilisemekana lakini.
 
N
Kwa hiyo unataka kutuambiaje? Hizi tuhuma nzito sana, ila ile ya Jokate kale kajamaa kakafukuzwa kazi mkutanoni kisa kumfuata fuata jokate- hahaha

Jiwe alikuwa na wivu wa balaaa.
Noma sana mwamba!! Mpaka U......me. Teacher naye ilikuwa MBUNYYE ya Mwamba....๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™
 
๐Ÿ”จ
 

Hii ni kampeni ya October 2025. Tutasikia mengi Sana ili Samia aonekane ana unafuu, mwema, muadilifu. JPM anatumiwa kama ngazi na awamu hii ya sita.

Huyu makamu na genge lake waliokuwa wanavujisha siri za kila aina kwa kigogo, mange wangekaa kimya miaka mitatu wakijua haya?

Mmejaribu kila kitu. Malizieni kwamba alibaka wanawake, watoto, wazee na wapinzani wake ikulu.
 
Mama alipaswa kuelewa hili lilikuwa suala la chama kushika patamu, sorry chama kushika hatamu!
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„
 
Kwani makamu wake alikuwa haishi na mume? hivi kwa mfano sasa ni Raisi hakai na mume wake ikulu?
 
"Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana wanawake ndani ya chama, Kuna siku aliibuka nyumbani kwa Makamu wa Rais akiwa na nguo za kulalia, Makamu akamtishia kwamba angejiuzulu" Nukuu

๐Ÿ‘†๐Ÿฅบ
 
Naona mnatumia nguvu kubwa kuzidi kumchafua Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli , lakini hata mkimchafua mkumbuke kila nafsi itaonja mauti mtakemstake.
Pumzika kwa amani Dkt John Pombe Magufuli rais wa awamu ya tano, watanzania wazalendo tutaendelea kukukumbuka kwa mema uliyoitendea nchi.
 
Alihojiwa kuhusu kifo cha mtoto wa Magufuli, ambacho kisababisha mgongano ndani ya ndoa ya Magufuli, TISS walikuwa wanataka hiyo issue isijulikane๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿค”๐Ÿ™‡๐Ÿฟโ€โ™‚
Happy New year!
Kwanini huwa unapenda kurudia kilichoandikwa kwenye mร da?
Sababu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ