Haya ni makosa watu huyafanya na kuwagharimu kwenye ngumi za Mtaani (Street Fights)

Haya ni makosa watu huyafanya na kuwagharimu kwenye ngumi za Mtaani (Street Fights)

" Kumsumkuma mtu baada ya kusukumwa"
..................
" Ikiwa umesukumwa jibu kwa ngumi, usijibu kwa msukumo".😁😁😁 SIO RAHISI KIHIVYO MKUU.


Mkuu kusema ni rahisi kuliko kutenda. Ngumi sio sawa na mpira wa miguu kwamba useme ukizidiwa utampasia mwenzako.


Uzi wako ni sahihi kabisa kama unaongea na watu wangumi na sio wenzangu na Mimi ambae anaingia kwenye pambano la ngumi huku kimoyomoyo akiomba Mungu afanye muujiza atokee mtu wa kuamua.

Kikubwa kuliko vyote ambacho umekisahau ni kuhusu saikolojia ya watu kwenye ngumi.

Unajua kwanini mtu huwa anasukuma baada ya kusukumwa? Do u know the psychology behind?


Ni kwamba wote wana ogopana? Anaeanza kusukuma anaogopa na anae rudisha msukumo anaogopa pia.

Wanasukumana kwa ajili ya kubuy time waje watu wagombelezee au kujaribu kugather courage ya kurusha ngumi kwa mara ya kwanza.

Kupigana sio jambo rahisi kama ambavyo mtoa mada unajaribu kuiweka
Kwamba unaomba mungu atokee mtu aamue ahahahahahahahahaa.
 
"Nimependa uzi wako"

Ila kwakuwa sasa hivi watu wengi wanaumwa magonjwa MTAMBUKA ni vizuri kujiepusha na ugomvi hata Kama MTU una mmudu .
Kweli aiseee....

Unaweza kuishia kupata kesi mbaya itakayokugharimu pakubwa
 
Kipi rahisi kwako mkuu, kuwa mikononi mwa polisi au kuwa marehemu na muuaji wako awe mikononi mwa polisi? Kile rahisi ndo option sahihi.

Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagu. Kama unadhani kubaki jera ni uhai, basi nao ni uchaguzi
 
Una umri gani bro, ambaye mpaka wa leo unawaza kupogana ngumi.
Siku hizi kuna usemi, kabla ya kupigana na mimi, utapigana na hela yangu. No physical fights, kama kipindi cha ujima
Boss wa Super Feo na mpambe wake walitembezewa mkong'oto na Mchina wa New Force pale Songea.

Unaongelea pesa?
 
" Kumsumkuma mtu baada ya kusukumwa"
..................
" Ikiwa umesukumwa jibu kwa ngumi, usijibu kwa msukumo".😁😁😁 SIO RAHISI KIHIVYO MKUU.


Mkuu kusema ni rahisi kuliko kutenda. Ngumi sio sawa na mpira wa miguu kwamba useme ukizidiwa utampasia mwenzako.


Uzi wako ni sahihi kabisa kama unaongea na watu wangumi na sio wenzangu na Mimi ambae anaingia kwenye pambano la ngumi huku kimoyomoyo akiomba Mungu afanye muujiza atokee mtu wa kuamua.

Kikubwa kuliko vyote ambacho umekisahau ni kuhusu saikolojia ya watu kwenye ngumi.

Unajua kwanini mtu huwa anasukuma baada ya kusukumwa? Do u know the psychology behind?


Ni kwamba wote wana ogopana? Anaeanza kusukuma anaogopa na anae rudisha msukumo anaogopa pia.

Wanasukumana kwa ajili ya kubuy time waje watu wagombelezee au kujaribu kugather courage ya kurusha ngumi kwa mara ya kwanza.

Kupigana sio jambo rahisi kama ambavyo mtoa mada unajaribu kuiweka
Hahaha dahh
 
Sikuhiz ugomvi sio isue vijana wanaongoza kutembea na visu na viwembe tena mkalie mbali usiruhusu akusogelee then kuwa makini mikonon mwake, huwa wakitoa anaewa kukua na endapo atakushikia silaha ukiweza mtyming basi mpe kisago adi akalazwe
 
Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagu. Kama unadhani kubaki jera ni uhai, basi nao ni uchaguzi
Mkuu, ukishambuliwa na mwizi mtaani na una nafasi ya kumtusua utamwacha akufanye atakavyo sababu unaogopa asife?
 
Mimi nachojua ukipigana na adui haitakiwi uwe muoga hatakama unaona haumudu inatakiwa ujiamini sana.. na kama adui atadhamiria kutumia silaha za maangamizi za kuondoa uhai wako. Basi "lethal force" inabidi itumike haraka iwezekanavyo ili kuokoa uhai wako na sheria itakulinda
 
Asante kwa SoMo zuri hasa kwasisi wababe uchwara wa mtaa .

Mimi najitahidi kuongeza pumzi ya kukimbia lakini pia najaza kamkono kangu ,alafu mdomo mkwara mwingi kiasi kwamba Kama hunijui ukakuta nampiga mtu biti basi utasema jamaa anaua .

Ila kubwa kuliko najitahidi kuwa na mbio shitukizi yaani kikubwa sahau kupambana na Mimi dakika kumi na tano alafu naona utanizidi maguvu lazima nile winga

Ila sipigani sehemu nisiyoona Kuna ukaribu na mawe ili hata njia za kula winga zikifungwa basi nihamie kwenye mandazi ya Mungu
Kukimbia ni lazima upate uchungu wa mapigo ya mpinzan wako,huwez kukimbia hivi hivi tu kwa maneno
 
Uzi mzur sana huu

Mimi sikupata fursa ya kupgana pgana wakat nikiwa mdogo

Hvyo najitahid kwa watoto wangu hasa wa kiume wawe kidogo na kauwezo kakupambana ili kuondoa uonevu wa kijinga mtaan
 
Mkuu, ukishambuliwa na mwizi mtaani na una nafasi ya kumtusua utamwacha akufanye atakavyo sababu unaogopa asife?

Kwa mwizi inaeleweka. Na huwa niko fiti sana kumdhibiti mhalifu
 
Back
Top Bottom