Haya ni makundi ambayo hayataingia kwenye ufalme wa Mungu: Jitazame wewe uko wapi?

Haya ni makundi ambayo hayataingia kwenye ufalme wa Mungu: Jitazame wewe uko wapi?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
TAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI
Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma.

Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu.

1. Maafisa wa TRA
Hawa watu hawana utu kabisa,wao hujiangalia wao tu. Hawafanya makadirio kwa haki mpaka umpe rushwa na anaweza akakataa vile vile.

2. Jeshi la polisi Tanzania
Hapa siongei sana kila mtu ni shuhuda. Hakunaga haki polisi ya Tanzania.

3. Mafundi wowote
Hapa waadilifu ni wachache sana,labda ukute anamwogopa Mungu kwa kiasi fulani lakini lazma tu akudanganye.

4. Wanajeshi
Usiue lakini ukiwa mwanajeshi sheria hii ya Mungu haitofanya kazi na bila kuitii wewe utaitwa msaliti na kifo kitakuita.

5. Wafanyabishara matajiri
Hakuna ubaya kuwa tajiri lakini wengi wao huabudu mali zao,kila wakati wanawaza mali zao,pesa zao na jinsi ya kujiongezea mali nyingi zaidi jambo ambalo linamueka kando Mungu.

Ni kazi gani nyingine?
 
Hapana! Wapo wacha Mungu katika makundi hayo ambao wanamhofu Mungu kuliko unavyofikiri.Isipokuwa kazi hizo zina mitego mingi ya kuangukia katika dhambi hata kama hutaki.
Kuhusu kundi la wanajeshi!Mwanajeshi akiua kama yuko Vitani hana dhambi kabisa.
Dhambi inakuwa kwa aliyemtuma kwenda vitani.
 
TAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI
Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma.

Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu.

1. Maafisa wa TRA
Hawa watu hawana utu kabisa,wao hujiangalia wao tu. Hawafanya makadirio kwa haki mpaka umpe rushwa na anaweza akakataa vile vile.
2. Jeshi la polisi Tanzania.
Hapa siongei sana kila mtu ni shuhuda. Hakunaga haki polisi ya Tanzania.

3. Mafundi wowote:
Hapa waadilifu ni wachache sana,labda ukute anamwogopa Mungu kwa kiasi fulani lakini lazma tu akudanganye.

4. Wanajeshi.
Usiue lakini ukiwa mwanajeshi sheria hii ya Mungu haitofanya kazi na bila kuitii wewe utaitwa msaliti na kifo kitakuita.

5. Wafanyabishara matajiri: Hakuna ubaya kuwa tajiri lakini wengi wao huabudu mali zao,kila wakati wanawaza mali zao,pesa zao na jinsi ya kujiongezea mali nyingi zaidi jambo ambalo linamueka kando Mungu.

Ni kazi gani nyingine?
Wanaofitinisha watu ndani ya Jamii kama WEWE ulivyoorodhesha hapo juu☝️
 
Kama kwenda peponi ni kutii zile anti 10 zote kwa ukamilifu basi ni kama hakuna atakayekwenda peponi.

Simba tunamtamani Adebayor wa Gendarmerie ,tungekuwa naye yule mambo yangekuwa safi.

Amri ya kumi hapo chaliii.
 
wale wanaofanya hesabu za debit and credit kisha kinachoonekana hakina mwelekeo wanapeleka suspense account kwa maslahi yao
 
Back
Top Bottom