Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema Mkuu?Kwenye simulizi ya dark days 17/03/2021 the so called the old CEO na team yake mbingu wataishikia tu.
TAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI
Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma.
Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu.
1. Maafisa wa TRA
Hawa watu hawana utu kabisa,wao hujiangalia wao tu. Hawafanya makadirio kwa haki mpaka umpe rushwa na anaweza akakataa vile vile.
2. Jeshi la polisi Tanzania.
Hapa siongei sana kila mtu ni shuhuda. Hakunaga haki polisi ya Tanzania.
3. Mafundi wowote:
Hapa waadilifu ni wachache sana,labda ukute anamwogopa Mungu kwa kiasi fulani lakini lazma tu akudanganye.
4. Wanajeshi.
Usiue lakini ukiwa mwanajeshi sheria hii ya Mungu haitofanya kazi na bila kuitii wewe utaitwa msaliti na kifo kitakuita.
5. Wafanyabishara matajiri: Hakuna ubaya kuwa tajiri lakini wengi wao huabudu mali zao,kila wakati wanawaza mali zao,pesa zao na jinsi ya kujiongezea mali nyingi zaidi jambo ambalo linamueka kando Mungu.
Ni kazi gani nyingine?
Wewe hutaingia mbinguniTAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI
Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma.
Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu.
1. Maafisa wa TRA
Hawa watu hawana utu kabisa,wao hujiangalia wao tu. Hawafanya makadirio kwa haki mpaka umpe rushwa na anaweza akakataa vile vile.
2. Jeshi la polisi Tanzania.
Hapa siongei sana kila mtu ni shuhuda. Hakunaga haki polisi ya Tanzania.
3. Mafundi wowote:
Hapa waadilifu ni wachache sana,labda ukute anamwogopa Mungu kwa kiasi fulani lakini lazma tu akudanganye.
4. Wanajeshi.
Usiue lakini ukiwa mwanajeshi sheria hii ya Mungu haitofanya kazi na bila kuitii wewe utaitwa msaliti na kifo kitakuita.
5. Wafanyabishara matajiri: Hakuna ubaya kuwa tajiri lakini wengi wao huabudu mali zao,kila wakati wanawaza mali zao,pesa zao na jinsi ya kujiongezea mali nyingi zaidi jambo ambalo linamueka kando Mungu.
Ni kazi gani nyingine?
Mambo ya kwenda mbinguni anayajua Mungu mwenyewe inawezekana ukamwona mtu mshenzi na nn lakn siku ya siku akaenda mbinguni na yule ambaye kila siku kanisani akaenda motoniTAHADHARI: MADA SIO YA KIDINI
Katika ulimwengu tuliopo na tulikopita kuna makundi au kazi ambazo ukifanya tu kaa ukijua lazma utende dhambi kwa lazma.
Orodha ambayo ni vigumu sana kuuona ufalme wa Mungu.
1. Maafisa wa TRA
Hawa watu hawana utu kabisa,wao hujiangalia wao tu. Hawafanya makadirio kwa haki mpaka umpe rushwa na anaweza akakataa vile vile.
2. Jeshi la polisi Tanzania.
Hapa siongei sana kila mtu ni shuhuda. Hakunaga haki polisi ya Tanzania.
3. Mafundi wowote:
Hapa waadilifu ni wachache sana,labda ukute anamwogopa Mungu kwa kiasi fulani lakini lazma tu akudanganye.
4. Wanajeshi.
Usiue lakini ukiwa mwanajeshi sheria hii ya Mungu haitofanya kazi na bila kuitii wewe utaitwa msaliti na kifo kitakuita.
5. Wafanyabishara matajiri: Hakuna ubaya kuwa tajiri lakini wengi wao huabudu mali zao,kila wakati wanawaza mali zao,pesa zao na jinsi ya kujiongezea mali nyingi zaidi jambo ambalo linamueka kando Mungu.
Ni kazi gani nyingine?
Nipo nilikuwa chatle kwenye maombolezo ndo nimerudi mjini.Kwema Mkuu?
Umepotea!
Wachawi ni permanent, wana ufalme wao
- Wachawi
- Wanawake wanaoomba watumiwe nauli na ya kutolea halafu wanazima simu
- Wanawake wanaoomba hela ya kwendea saluni huku wakiimba solidarity forever wakati Ukraine 🇺🇦 wanawake wenzao wanamiminiwa mabomu
sie wa chaputa tutakuw tunachochea kuni za hao maafwandeP O L I S I ASILIMIA KUBWA WATAISHIA MOTONI
magaidi wanavamia nchi unasubili amri kutoka kwa MUNGU?Apo utaonana nae mbingunKwa muelekezo wa Mungu sio kujiamulia
Jiwe[emoji848]Kwenye simulizi ya dark days 17/03/2021 the so called the old CEO na team yake mbingu wataishikia tu.
Hakuna tofauti na uliowahukumuKwann mzee?
wanahaki ya kuua masses of innocent people?wale wa kibiti walitaka haki gan ?msumbiji,kenya,somalia ni ulevi wa kidini uliochanganyika na ushetaniKwanini wavamie? Unamaana kuna haki zao zimebinywa