smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Ukihukumu na wewe utahukumiwa!!.....na kwa kipimo kile upimiacho ndo utakacho pimiwa......wala huoni boriti iliyo ndani ya jicho lako!......ewe mnafiki ondoa boriti.... Mathayo7;1 kwa sababu Mungu mwana aliyanena haya... ivo!!
na wewe umo kwenye hukumu!....kwa muktadha huo badili kichwa cha habari kiwe ivi......''Haya ni makundi ambayo hatutaingia kwenye ufalme wa Mungu'' unasikia!! Km haitoshi soma Warumi 2;1-4.....je? wadhani utajiepusha na hukumu ya Mungu?.........
Mbali na hapo hii kuhukumu wenzio ... inatosha kukuhukumu siku ya Mwisho!!....kila mtu humu anajua Zakayo alikuwa TRA wa enzi hizo!! lkn Mwana wa Mungu alimuita!! na zaidi ya yote alienda kupiga Msosi nyumbani Mwake!!! sasa ina maana yeye alikula vya mdhambi???
Yaani umeamua kukashfu maksudi siyo? ebu tamka mwenyewe unamlenga nani!! kabla sija kushushia vitu vizito sasa ivi!!..... si unajua humu unaweza jibizana na Malaika bila ya wewe kujua??.. Labda utubu kwa Moyo wa dhati na mie nijue kweli umetubu!!
lkn ukiweka kiburi mbele hukumu ya haki ina kuhusu!! kwa mujibu wa nukuu ya Maandiko hayo!....Nasubiri hapa utubu............
na wewe umo kwenye hukumu!....kwa muktadha huo badili kichwa cha habari kiwe ivi......''Haya ni makundi ambayo hatutaingia kwenye ufalme wa Mungu'' unasikia!! Km haitoshi soma Warumi 2;1-4.....je? wadhani utajiepusha na hukumu ya Mungu?.........
Mbali na hapo hii kuhukumu wenzio ... inatosha kukuhukumu siku ya Mwisho!!....kila mtu humu anajua Zakayo alikuwa TRA wa enzi hizo!! lkn Mwana wa Mungu alimuita!! na zaidi ya yote alienda kupiga Msosi nyumbani Mwake!!! sasa ina maana yeye alikula vya mdhambi???
Yaani umeamua kukashfu maksudi siyo? ebu tamka mwenyewe unamlenga nani!! kabla sija kushushia vitu vizito sasa ivi!!..... si unajua humu unaweza jibizana na Malaika bila ya wewe kujua??.. Labda utubu kwa Moyo wa dhati na mie nijue kweli umetubu!!
lkn ukiweka kiburi mbele hukumu ya haki ina kuhusu!! kwa mujibu wa nukuu ya Maandiko hayo!....Nasubiri hapa utubu............