Haya ni makundi ambayo hayataingia kwenye ufalme wa Mungu: Jitazame wewe uko wapi?

  • Wachawi
  • Wanawake wanaoomba watumiwe nauli na ya kutolea halafu wanazima simu
  • Wanawake wanaoomba hela ya kwendea saluni huku wakiimba solidarity forever wakati Ukraine 🇺🇦 wanawake wenzao wanamiminiwa mabomu
 
Wewe hutaingia mbinguni
 
Ufalme wa mbinguni ni wenye nguvu pekee ndio wataingia ukiwa mnyonge na dhaifu sahau kuingia mbinguni
 
Mambo ya kwenda mbinguni anayajua Mungu mwenyewe inawezekana ukamwona mtu mshenzi na nn lakn siku ya siku akaenda mbinguni na yule ambaye kila siku kanisani akaenda motoni
 
Tukiwapiga mitama mnaanza wanajeshi wakolofi .kama unaijua biblia baada ya harun na moses kufa aliefuata yoshua kaua zaidi ya falme 31 na maelfu ya watu
 
Tukiwapiga mitama mnaanza wanajeshi wakolofi .kama unaijua biblia baada ya harun na moses kufa aliefuata yoshua kaua zaidi ya falme 31 na maelfu ya watu
Kwa muelekezo wa Mungu sio kujiamulia
 
yule mwenye uzi wa kula kimasihara sijui..... yaani yule sijui.....
 
Mkuu ina maana wewe ndo utakaa jukwaa la kaskazini kule mbinguni
 
Kwanini wavamie? Unamaana kuna haki zao zimebinywa
wanahaki ya kuua masses of innocent people?wale wa kibiti walitaka haki gan ?msumbiji,kenya,somalia ni ulevi wa kidini uliochanganyika na ushetani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…