Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Uchaguzi 2020 Haya ni mambo 10 niliyoona kwa CCM Vs CHADEMA mpaka sasa kuelekea kipute cha kampeni rasmi

Hayo mambo yako yote uliyoisifia CCM hakuna hata moja la ukweli, jambo moja la msingi ni kwamba CCM inabebwa na Tume ya uchaguzi na jeshi la polisi.

Hata huyo Magufuli unayemsifia anaonekana yupo composed ni kwasababu anajua kuna kura za wizi atazipata yeye na wagombea wa chama chake majimboni. Wastaafu wanakaa miaka zaidi ya miwili bila mafao yao halafu unasema Magufuli yuko composed!.

Kuhusu Katiba Mpya unasema hilo halina maana, hapo ndipo nimekuona ulivyo myopic kwenye mambo muhimu, kwa taarifa yako Katiba Mpya ni muhimu kama au zaidi ya uchaguzi wenyewe, kwangu hakuna maana ya kufanya uchaguzi wakati playing field haiko level, ila kwako unaona sawa tu!.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mleta mada ana hoja sana ila ndio hivyo ubishi umewajaa
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Hoja nzuri, ila Lissu anahitaji wachambua hoja kama ZZK kwenye kampeni. Chadema hawana wachambua hoja.

Chadema wanaweza kuwa wanahitaji muungano kuliko ACT kwa sababu JPM amesha jifunza namna ya kupambana na siasa za Uharakati. Ila siasa za hoja CCM haiwezi. ACT wamejikita kwenye siasa za Hoja.

Tungoje tuone ila kama muungano wa Upinzani haitakuwepo basi ACT ataweza kupata viti vingi Bungeni kuliko Chadema.
 
Very objective observation or points ila Ufipa watapinga itadhani ni matusi kumbe ni silaha umewapa ya kujilinda. Wacha wabaki mtandaoni na matamko ya jogoo watastuka wenzao wapo mbali mno.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hakuna uchaguzi mwepesi kwa ccm kama huu wa mwaka huu
 
Umetoa maoni yako vzr tu.
Mwenye akili atayatumia kunufaika, tatizo wengi nadhani humu ni vijana wadogo ambao wanadhani nguvu za kimwili ni uwezo.
Hata kumuibia mwenzako ni strategy inayohitaji werevu, usione wale wachezesha karata 3 wamejipanga kuondoka na hela .

Hili la tume huru sawa lkn kama kuibiwa hata kwa kuhesabu mikono kama watu wamejipanga wanakutoka ukiwa hapo. Mbona hii ya keusi na kekundi watu hawafungwi macho?

Ukisikia wazee wamememaliza tofauti zao chunga sana.
Watakuacha uzungunge Tz hii na Cruizer halafu unaliwa dk za majeruhi wanakaa kunywa kahawa.
Hii mbinu ya kuchokozana wao kwa wao sijui kwanini watu hawaelewi?
Mbona wahuni tu mtaani hujifanya kupigana ili mkisogea watoke na kitu cha mtu au wakubambikie unatakakuwaibia?.

Ikumbukwe sisiem ni miongoni mwa vyama vyenye nguvu duniani kati ya vyama vya siasa. Sasa hivi wako kipya kama hawapo.

Kwa Maoni yangu huenda mwaka hui sisiem wakawa na upinzani mdogo kuliko kwa sababu kura za upinzani zitagawanyika mara 2.
Act na cdm wanaugawa upinzani.

Mwisho Tz ni yetu. Hata mi nataka kuwatumikia kama rais wenu 2025.
Chama mtanichakulia wenyewe
 
Umetoa maoni yako vzr tu.
Mwenye akili atayatumia kunufaika, tatizo wengi nadhani humu ni vijana wadogo ambao wanadhani nguvu za kimwili ni uwezo.
Hata kumuibia mwenzako ni strategy inayohitaji werevu, usione wale wachezesha karata 3 wamejipanga kuondoka na hela .

Hili la tume huru sawa lkn kama kuibiwa hata kwa kuhesabu mikono kama watu wamejipanga wanakutoka ukiwa hapo. Mbona hii ya keusi na kekundi watu hawafungwi macho?

Ukisikia wazee wamememaliza tofauti zao chunga sana.
Watakuacha uzungunge Tz hii na Cruizer halafu unaliwa dk za majeruhi wanakaa kunywa kahawa.
Hii mbinu ya kuchokozana wao kwa wao sijui kwanini watu hawaelewi?
Mbona wahuni tu mtaani hujifanya kupigana ili mkisogea watoke na kitu cha mtu au wakubambikie unatakakuwaibia?.

Ikumbukwe sisiem ni miongoni mwa vyama vyenye nguvu duniani kati ya vyama vya siasa. Sasa hivi wako kipya kama hawapo.

Kwa Maoni yangu huenda mwaka hui sisiem wakawa na upinzani mdogo kuliko kwa sababu kura za upinzani zitagawanyika mara 2.
Act na cdm wanaugawa upinzani.

Mwisho Tz ni yetu. Hata mi nataka kuwatumikia kama rais wenu 2025.
Chama mtanichakulia wenyewe
Sasa watu kama Lusungo, Bak, salary slip and the like, hao hawatumiagi akili ni full mihemuko
 
Mtu kama Prof Baregu sifahamu aliko kwasasa au ameachana na siasa.
Kuna watu mhimu zaidi hawapo nao tena ndio maana sarakasi zimekuwa nyingi.

Imagine Tundu Lissu bado anawaambia WANANCHI Mbowe alipigwa na WASIOJULIKANA, HII N KUKOSA facts za kuwaambia Watanzania na kutaka huruma za Watanzania.
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
Mtazamo
Kwani unalipwa kiasi gani ?
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]

Kwanza kula 5 kijana kwa bandiko mujarab.

Wanachokifanya upinzani hadi sasa ni kurusha makombora ya masafa mafupi yalokoswa kiufundi.

Na hata wakianza kurusha yale ya masafa marefu CCM iko tayari kuyapokea hukohuko hewani maana yatakuwa hayana mwelekeo sahihi.

Tungoje kameni zianze rasmi.
 
Wakuu,

1) What a match!, Mpaka sasa CCM inabebwa na watu wenye experience ambao kipindi kama hiki ndio unajua uwezo wao. Wao kelele nyingi ziko kwenye mipango (strategies) kuliko kelele na matamko ya majukwaani.

2) Tundu Lissu is impressive as usual lakini seems Chadema hawakumuandaa, experience yake ya uanaharakati ndio unaofanya aonekane active uwanjani lakini bado hajawa na madhara kihoja ingawa bado mapema. Mambo ya kusema atamshtaki JPM kwa rushwa ya kununua jogoo laki moja ni uanaharakati si level zake tena kama mgombea Urais.

3) John Pombe Magufuli yuko composed sababu ya records zake awamu hii ya kwanza. Lakini pia kwasasa nguvu kubwa ipo kwenye kupanga vyema mabeki Majimboni na Udiwani. Hapo ndio unapoona timu kubwa na yenye watu wazoefu inavyohandle mchezo. Ni kama wameamua kuacha wapinzani wacheze huku wao wakikamilisha ramani ya ushindi.

4) Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri

5) Kimbinu CCM wana kazi kubwa ya kumaliza mchakato wa wagombea Ubunge na Udiwani bila mpasuko lakini maeneo mengi kimbinu wamejipanga kushinda.

6) John Pombe Magufuli takwimu zinambeba na wananchi wanajua matokeo yake wakimchagua tofauti na Lissu ambaye anapaswa kujikita kwenye hoja zenye matarajio ya wananchi hasa wanyonge walio wengi. Je ataweza kuaminisha wananchi ili wamchague?

7) Financially CCM wako stable kuhandle kampeni kuliko CHADEMA ambayo imepanga pia kusimamisha wagombea majimbo yote.

8) John Pombe Magufuli amefanikiwa kuhakikisha watendaji wake wote wanajua takwimu za mambo yaliyofanyika awamu hii hivyo itabidi kila hoja za Lissu zinazogusa takwimu ajipange otherwise akikosea atapingwa hata na Makatibu Tarafa. Hizo takwimu zimeimbwa muda mrefu na hata wananchi wengi wamezikariri.

9) Angalizo, Lissu usihangaike na wimbo wa katiba mpya hauna mashiko kwa wananchi wanyonge na hautampa kura. John Pombe Magufuli pia awekeze hoja kwenye mipango mipya hasa mapinduzi kwenye kilimo na uwekezaji.

10) Wapinzani bila kusimamisha mgombea mmoja huu utakuwa uchaguzi mgumu hadi majimboni kuliko wakati wowote.

Mizania pima mwenyewe, hayo ni maoni yangu binafsi [emoji41]
0
 
Ni bahati mbaya tu, unajaribu kulinganisha Mazuri ya aliyepo madarakani dhidi ya mapungufu ya mpinzani wake.

Laiti ungefanya kinyume cha nilichokisema hapo juu ungeshangaa mwenyewe kuona ni wapi mizania imelalia!
 
..
Kimbinu Chadema wanahitaji timu bora kumzunguka Lissu wakiwemo waandamizi wa serikali zilizopita akiwemo Nyalandu ili kumshape Lissu kama Mgombea Urais lakini pia mipango ya kusaidia kampeni Majimboni ambako hali si nzuri...

Kwa nyongeza, iwapo CHADEMA, chama ambacho viongozi wake, wanachama na wafuasi wanaamini Lissu ni mtaji mkubwa au turufu ya kuingia Ikulu, wanapaswa kutambua yafuatayo:
1) Lissu siyo mwanasiasa wala mwanaharakati kwa hoja zake na matendo. Ili awe "presidential material" yabidi apigwe msasa. Hoja zake hadi sasa ni kama za kuwasilisha mahakamani.
2) Wagombea wa CHADEMA wajipange vilivyo kujibu tuhuma dhidi ya M/Kiti wao kuhusu matumizi mabaya ya fedha za chama, rushwa ya ngono, na ulevi wake wa kupindukia.
3) Kususia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa athari zake zitaonekana wakati wa kampeni, ikizingatiwa chama kina upungufu wa fedha kuendesha kampeni.
4) Kitendo cha CHADEMA, Chama Kikuu cha Upinzani, kuwaengua Wabunge wengine wa vyama vya upinzani, kwenye Baraza la Mawaziri kivuli, athari zake zitajitokeza katika Uchaguzi Mkuu huu.
5) Hama hama ya Madiwani na Wabunge kwenda vyama vingine vya siasa, hasa CCM, na kudaiwa wamenunuliwa, pia madhara yake yatajitokeza kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
6) Matumizi ya lugha isiyo staha, hasa ikilenga kumdharilisha na kumtukana Rais, inaweza kuwa "pendeka" kwa wafuasi lakini si kwa jamii ya WaTz ambao kwao heshima ni kitu cha bure.
 
Kwanza kula 5 kijana kwa bandiko mujarab.

Wanachokifanya upinzani hadi sasa ni kurusha makombora ya masafa mafupi yalokoswa kiufundi.

Na hata wakianza kurusha yale ya masafa marefu CCM iko tayari kuyapokea hukohuko hewani maana yatakuwa hayana mwelekeo sahihi.

Tungoje kameni zianze rasmi.

..nina wasiwasi ccm watafanya kampeni za mipasho kama walivyokuwa wakifanya ktk bunge la Ndugai.

..miaka ya zamani ccm walikuwa wanaonekana watu wenye heshima, na hadhi fulani ktk jamii, lakini tangu Jpm aingie wamebadilika na kuwa watukanaji. Na kwa kuwa hawachukuliwi hatua na Polisi, ccm wameanza kuonekana kama ni bullies/madhalimu.
 
Tunashukuru na tunaheshimu maoni yako, ni kweli cdm wanaweza kuwa hawajajipanga vizuri, ila hukuhitaji kuweka sababu zote hizo, maana uchaguzi wa sasa hivi utafanyika kwa utashi na maamuzi ya madaraka ya Magufuli.

Subiri kadiri joto la uchaguzi linavyopanda, kama hujaona yale aliyoagiza kufanyika kwenye chaguzi zote za marudio na uchaguzi wa SM kujirudia. Naona unataka kutuaminisha huko ccm kuwa kuna mbinu sana, wakati maamuzi yote ya uchaguzi huu anayo Magufuli.
Word, Magu hapendi uchaguzi huru na hili cdm na Act wanalijua sasa wameamua kumvuruga kwanza nje ya uwanja
 
..nina wasiwasi ccm watafanya kampeni za mipasho kama walivyokuwa wakifanya ktk bunge la Ndugai.

..miaka ya zamani ccm walikuwa wanaonekana watu wenye heshima, na hadhi fulani ktk jamii, lakini tangu Jpm aingie wamebadilika na kuwa watukanaji. Na kwa kuwa hawachukuliwi hatua na Polisi, ccm wameanza kuonekana kama ni bullies/madhalimu.

Kwani Chadema hawatukani?

Haoa mtandaoni tu ni kielelezo cha watu fulan humu kushindwa kujibu hoja na walicho nacho to offer ni matusi.

CCM safari hii nadhani wamejipanga vizuri zaidi kukilo miaka yote.

Ndo maana wamewaachia tu uwanja kwa sasa.
 
Back
Top Bottom